MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Mfanyabiashara maarufu kijana jijini Mwanza anaingia katika orodha ya Watanzania wachache nchini na labda pia anaweza kuwa kati ya watu wawili watatu wasio na asili ya Kiasia kumiliki ndege binafsi ya kupigia misele.
Kijana huyo (jina kapuni kwa sababu za kibiashara na kiusalama) ni mfanyabiashara mkubwa wa vifaa vya maji na kila kitu kinachohusika na maji (plumbing) na ni nadra sana kwa mtu yeyote yule anayetumia huduma za maji Kanda ya Ziwa ambaye hajatumia bidhaa zake. Huku ikidhaniwa kuwa share yake katika soko la plumbing ikiwa karibia asilimia 89.
Pia aina ya ndege inaendelea kubaki kapuni. Ndege inategemewa kufika nchini wiki ijayo ambapo mara tu baada ya kutua itaelekea mkoa wa Mara kwenda kupewa baraka na wazee wa mkoa huo ambao ndio hasa asili ya kijana huyo mchapakazi.
Vijana tufanyeni kazi haya yanawezekana.
Kijana huyo (jina kapuni kwa sababu za kibiashara na kiusalama) ni mfanyabiashara mkubwa wa vifaa vya maji na kila kitu kinachohusika na maji (plumbing) na ni nadra sana kwa mtu yeyote yule anayetumia huduma za maji Kanda ya Ziwa ambaye hajatumia bidhaa zake. Huku ikidhaniwa kuwa share yake katika soko la plumbing ikiwa karibia asilimia 89.
Pia aina ya ndege inaendelea kubaki kapuni. Ndege inategemewa kufika nchini wiki ijayo ambapo mara tu baada ya kutua itaelekea mkoa wa Mara kwenda kupewa baraka na wazee wa mkoa huo ambao ndio hasa asili ya kijana huyo mchapakazi.
Vijana tufanyeni kazi haya yanawezekana.