Mfanyabiashara Mwanza anunua ndege binafsi ya kutembelea

Mfanyabiashara Mwanza anunua ndege binafsi ya kutembelea

Huyu ni zongii tu sasa pale Nyamhuge -Nyasaka ataipaki nje au kwenye barabara ya mawe?
 
Hakuna TAJIRI wa pesa hizo asijulikane,nilijua utasema biashara ambayo watumiaji wake n wachache kumbe ni plumbing!

Kuna mafundi humu,wenye nyumba na wengineo humu JF kitendo chakusema tu sifa zake hizo kwa uchache JINA lingeshatolewa hapa.

ukiona mpaka sasa hajulikani Basi sio kweli (hayupo) kama ni kweli basi hata hiyo ndege kununua ni tetesi, Naona hii ni kama tu story zingine kwasababu Hamna DON anaedeal na bidhaa hiyo Tusimjue wajenzi bomoa bomoa sisi..

Siri zipo Nchi za Wenzetu not TANZANIA. Mjomba utajulikana tuuu ukiwa nazo ukiwa huna watakujua tuuu.
 
Mfanyabiashara maarufu kijana jijini Mwanza anaingia katika orodha ya Watanzania wachache nchini na labda pia anaweza kuwa kati ya watu wawili watatu wasio na asili ya Kiasia kumiliki ndege binafsi ya kupigia misele.

Kijana huyo (jina kapuni kwa sababu za kibiashara na kiusalama) ni mfanyabiashara mkubwa wa vifaa vya maji na kila kitu kinachohusika na maji (plumbing) na ni nadra sana kwa mtu yeyote yule anayetumia huduma za maji Kanda ya Ziwa ambaye hajatumia bidhaa zake. Huku ikidhaniwa kuwa share yake katika soko la plumbing ikiwa karibia asilimia 89.

Pia aina ya ndege inaendelea kubaki kapuni. Ndege inategemewa kufika nchini wiki ijayo ambapo mara tu baada ya kutua itaelekea mkoa wa Mara kwenda kupewa baraka na wazee wa mkoa huo ambao ndio hasa asili ya kijana huyo mchapakazi.

Vijana tufanyeni kazi haya yanawezekana.
imbombo ngafu naloli
 
Fundi anaitwa Zongii kenge ana pesa yaani Hadi KERO.
 
Hivi kama mtu ana biashara halali, analipa kodi kwa nini ajifiche

Huku makampuni ya mafuta yamepandisha bei katika masoko na wametukomesha haswa ila hawafichi faida
 
Saaafi green city mbeya hiyo haina shanapa I know mbeya nimeishi mbeya nawajua wadada wa mbeya smart na wajanja! Confidence 💯
Katika maisha nimekaa Mbeya sikujua kuwa mbususu huwa zinanuka,nilivyokuja Moro walahi najuta kuto rudi kwetu kuchukua kifaa
 
Back
Top Bottom