Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
ExactlyZongiii au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyZongiii au
Umepita mule muleZongiiiiii
Sio tu kuwezekana,pia iwe ni jambo endelevu na la uhakika,🤔Mfanyabiashara maarufu kijana jijini Mwanza anaingia katika orodha ya Watanzania wachache nchini na labda pia anaweza kuwa kati ya watu wawili watatu wasio na asili ya Kiasia kumiliki ndege binafsi ya kupigia misele.
Kijana huyo (jina kapuni kwa sababu za kibiashara na kiusalama) ni mfanyabiashara mkubwa wa vifaa vya maji na kila kitu kinachohusika na maji (plumbing) na ni nadra sana kwa mtu yeyote yule anayetumia huduma za maji Kanda ya Ziwa ambaye hajatumia bidhaa zake. Huku ikidhaniwa kuwa share yake katika soko la plumbing ikiwa karibia asilimia 89.
Pia aina ya ndege inaendelea kubaki kapuni. Ndege inategemewa kufika nchini wiki ijayo ambapo mara tu baada ya kutua itaelekea mkoa wa Mara kwenda kupewa baraka na wazee wa mkoa huo ambao ndio hasa asili ya kijana huyo mchapakazi.
Vijana tufanyeni kazi haya yanawezekana.
Mfanyabiashara mwenye sifa hizo ni Zongii. duka lake lipo mitaa ya Rwegasore
Zongiiiiii
Zongii ndio mfanya biashara mkubwa mwanza wa hizo vitu, na Yeye ndie mzaliwa wa mkoani mara na mkewake ni mwenyeji wa mkoa wa KageraZongiii au
Napapenda sana huko...nimehama huko namiss sana beach za Mwanza aisee...any way wape hi huko wananzengoOoh Nyegezi Stand juu vzuri, Mim nmekua Mwanza na napenda kuish huku zaid.
Possibly ndege imenunuliwa toka SumbawangaPia aina ya ndege inaendelea kubaki kapuni. Ndege inategemewa kufika nchini wiki ijayo ambapo mara tu baada ya kutua itaelekea mkoa wa Mara kwenda kupewa baraka na wazee wa mkoa huo ambao ndio hasa asili ya kijana huyo
NdioUmepita mule mule
Sawa ccy nitawapa hi woteNapapenda sana huko...nimehama huko namiss sana beach za Mwanza aisee...any way wape hi huko wananzengo
Hongera sana deogratias Nalimi Kisandu a.k.a Civilian Coin kwa kununua ndegeMfanyabiashara maarufu kijana jijini Mwanza anaingia katika orodha ya Watanzania wachache nchini na labda pia anaweza kuwa kati ya watu wawili watatu wasio na asili ya Kiasia kumiliki ndege binafsi ya kupigia misele.
Kijana huyo (jina kapuni kwa sababu za kibiashara na kiusalama) ni mfanyabiashara mkubwa wa vifaa vya maji na kila kitu kinachohusika na maji (plumbing) na ni nadra sana kwa mtu yeyote yule anayetumia huduma za maji Kanda ya Ziwa ambaye hajatumia bidhaa zake. Huku ikidhaniwa kuwa share yake katika soko la plumbing ikiwa karibia asilimia 89.
Pia aina ya ndege inaendelea kubaki kapuni. Ndege inategemewa kufika nchini wiki ijayo ambapo mara tu baada ya kutua itaelekea mkoa wa Mara kwenda kupewa baraka na wazee wa mkoa huo ambao ndio hasa asili ya kijana huyo mchapakazi.
Vijana tufanyeni kazi haya yanawezekana.
Mi nilifkr ni wachina kumbe ni mwamba , atakuwa na shillingsMfanyabiashara mwenye sifa hizo ni Zongii. duka lake lipo mitaa ya Rwegasore
Kwa washamba na mademu washamba Sana. Mademu wa mwanza wanavaa chupi nyeusi na kahawia.Yeah dear nipo Mwanza.
Hongera sana deogratias Nalimi Kisandu a.k.a Civilian Coin kwa kununua ndege
Iwe washamba isiwe, Tuvae nguo za ndani kijani au purple ilimradi sili nyumbani kwa baba ako aaah shida Iko wapi.🤨Kwa washamba na mademu washamba Sana. Mademu wa mwanza wanavaa chupi nyeusi na kahawia.
Mirangi ya chp zenu yote inatunza uchf mademu wa mwanzaIwe washamba isiwe, Tuvae nguo za ndani kijani au purple ilimradi sili nyumbani kwa baba ako aaah shida Iko wapi.🤨
Chek mlivyo watupu kichwani mademu wa mwanza hovyo kabisaLkn mbona mtoto wa La Kairo alivonunua kile kijindege chake Cha ziwani hakuvuma.
Sawa tu kwa kua bikini ya kuvaa kwenda kumtingishia bwana ako huna basi mim hata nikimiliki chupi zenye rangi ya matrakooo yangu sio shida.Mirangi ya chp zenu yote inatunza uchf mademu wa mwanza