Mfanyabiashara Mwanza anunua ndege binafsi ya kutembelea

Huyu ni zongii tu sasa pale Nyamhuge -Nyasaka ataipaki nje au kwenye barabara ya mawe?
 
Hakuna TAJIRI wa pesa hizo asijulikane,nilijua utasema biashara ambayo watumiaji wake n wachache kumbe ni plumbing!

Kuna mafundi humu,wenye nyumba na wengineo humu JF kitendo chakusema tu sifa zake hizo kwa uchache JINA lingeshatolewa hapa.

ukiona mpaka sasa hajulikani Basi sio kweli (hayupo) kama ni kweli basi hata hiyo ndege kununua ni tetesi, Naona hii ni kama tu story zingine kwasababu Hamna DON anaedeal na bidhaa hiyo Tusimjue wajenzi bomoa bomoa sisi..

Siri zipo Nchi za Wenzetu not TANZANIA. Mjomba utajulikana tuuu ukiwa nazo ukiwa huna watakujua tuuu.
 
imbombo ngafu naloli
 
Fundi anaitwa Zongii kenge ana pesa yaani Hadi KERO.
 
Hivi kama mtu ana biashara halali, analipa kodi kwa nini ajifiche

Huku makampuni ya mafuta yamepandisha bei katika masoko na wametukomesha haswa ila hawafichi faida
 
Saaafi green city mbeya hiyo haina shanapa I know mbeya nimeishi mbeya nawajua wadada wa mbeya smart na wajanja! Confidence 💯
Katika maisha nimekaa Mbeya sikujua kuwa mbususu huwa zinanuka,nilivyokuja Moro walahi najuta kuto rudi kwetu kuchukua kifaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…