Mfanyabiashara Mwanza anunua ndege binafsi ya kutembelea

Kusadikika, unanunua ndege ya kutembelea? Ukitaka wenda sokoni, shambani, dilukani nk unaitumia
 
Kwa ujinga huu tutapata kweli Katiba Mpya?
 
Au ni yale mandege ya kupaa angani usiku kuwanga?
 
Jina la tajiri kapuni
Jina la ndege kapuni.

Kulikuwa na haaja gani ya kuandikau uzi huu
 
Hongeren sana Wakurya.. Mnapambana kuwafikia Wachaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…