Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa Mkuu,Mlevi hawezi kujinyonga, hilo wazo na nguvu kujitumdika anatoa wapi? Mke wake alikuwa wapi mpaka jamaa anakutwa asubuhi amejinyonga.
Madeni ya benki, stress za kiuchumi na kibiashara zinachangia pakubwa sana kujiuwa kwa wafanyabiashara wengi.Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.
Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.
Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnyw
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.
Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.
Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.
Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili
Clouds
Hili nalo ni neno. Yafaa likatazamwe na kuzingatiwa.Sahihi kabisa Mkuu,
Eti Mke alikua akiwaomba majirani wamsaidie kumbeba mumewe ili wamuingize ndani,
Halafu eti asubuhi wanakuta kajinyonga!
Hapa kuna kitu kinafichwa,uchunguzi unahitajika.
TRAUkute madeni.....
Itakuwaje APEPE ilhali huyo jamaa kazamia tuu wala hajaalikwa?APEPE.
A - ALAZWE
PE- PEMA.
PE- PEPONI.
Wachaga wanateketea kwa kasi. Daaah
Kwa hiyo akijinyonga mkewe akiwa wapi?Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.
Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.
Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.
Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili
Clouds
Hahaha Genta unataka kusemaje?Alikuwa anashabikia Chama gani kati ya CCM na CHADEMA?
Swali la msingi sana hili.Alikuwa anashabikia Chama gani kati ya CCM na CHADEMA?
Nikijibiwa alikuwa anashabikia Chama gani ndipo nitakuwa na la Kusema ila nawaona mnakwepa tu Kujibu kulikoni?Hahaha Genta unataka kusemaje?
Nan kakwambia wanateketea kwa kasi wewe anti-chaga?Wachaga wanateketea kwa kasi. Daaah
Na nashangaa Watu wanalikwepa sana Kulijibu wakati Mimi tayari nimeshaona tatizo lilipo na ninataka tu Majibu yao.Swali la msingi sana hili.
Hao ni vilaza wa kisambaa wanachojua ni kulogana tuAccumen Mo na darcity kweli watahuzunika?
Madeni ni kawaida hakuna asiye na deniUkute madeni.....
Mijinga kweliUnajibizana na hao wajinga wajinga wenye chuki na wachaga? Mijitu imeshindwa maisha inabaki kudhani kuwa wachaga ndiyo sababu iliyofanya wasiendelee.