TANZIA Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga

TANZIA Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga

Mlevi hawezi kujinyonga, hilo wazo na nguvu kujitumdika anatoa wapi? Mke wake alikuwa wapi mpaka jamaa anakutwa asubuhi amejinyonga.
Sahihi kabisa Mkuu,

Eti Mke alikua akiwaomba majirani wamsaidie kumbeba mumewe ili wamuingize ndani,

Halafu eti asubuhi wanakuta kajinyonga!

Hapa kuna kitu kinafichwa,uchunguzi unahitajika.
 
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.

Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.

Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnyw
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.

Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.

Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.

Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili

Clouds
Madeni ya benki, stress za kiuchumi na kibiashara zinachangia pakubwa sana kujiuwa kwa wafanyabiashara wengi.
 
Biashara kwa sasa zinahali mbaya sana, watu hawana pesa alafu ukifikiria kufilisika ndio kabisa unaona bora ufe tu
 
Kwa
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.

Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.

Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.

Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili

Clouds
Kwa hiyo akijinyonga mkewe akiwa wapi?

Achenu Conclusion za kindezi.

Afrika hata mtu akiuawa hakuna anayejali mnakimbilia tu kajinyonga
 
Back
Top Bottom