Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Wivu na chuki zake dhidi ya Wachagga hazitasaidia. Wachagga ni level za kimataifa huku tulishatoka muda sana.Wachagga walikufanyia ukatili wa kingono au? Maana unachuki nao kupita kiasi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu na chuki zake dhidi ya Wachagga hazitasaidia. Wachagga ni level za kimataifa huku tulishatoka muda sana.Wachagga walikufanyia ukatili wa kingono au? Maana unachuki nao kupita kiasi!
Soma ripoti ya nbs kilaza wewe Kilimanjaro hali ya umaskini ni 10% tuUchagani mafukara wengi tu
Wivu na chuki zake dhidi ya Wachagga hazitasaidia. Wachagga ni level za kimataifa huku tulishatoka muda sana.
MIkOpo mikopo mikopoMfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.
Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.
Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.
Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili
Clouds
Kishoiya mkubwa huyo hajitambui.Apunguze ushamba
Haifai kusema maneno hayo kwa asiye muislamu, lile la mwanzo sawa ila hii hapana.اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك يارب العالمين
Acha uwongo wewe,machalii wa kichaga kibao tunawatuma mjini hapa,njaa mpaka kwenye kopeSoma ripoti ya nbs kilaza wewe Kilimanjaro hali ya umaskini ni 10% tu
90% wana kipato kikubwa na cha kati
Pia Kilimanjaro ndio mkoa wenye makazi bora vijijin kitaifa
Kilimanjaro hakuna mtu analala nyumba ya nyasi
Pia Kilimanjaro 80% ya kila kaya kuna maji na umeme njoo usafishe macho wewe mshamba wa kyerwa
Pole Sana Kwa kufiwaAccumen Mo na darcity kweli watahuzunika?
Kwani kasemaje hapo? Tunaomba ututafsirie mkuu.Haifai kusema maneno hayo kwa asiye muislamu, lile la mwanzo sawa ila hii hapana.
Mwenyeweليس المغفرة للكا فرين
Hakika kila nafsi itaonja umauti.Naam Naam
كُلُّ نَفْسٍ ذَآئِقَةُ الْمَوْت
Wewe tena 😂Hakika kila nafsi itaonja umauti.
Wewe Sasa unafaa Kwa matumizi binafsi
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.
Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.
Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.
Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili
Clouds
Nimefanyaje mtu anguWewe tena 😂
Nafaa kwa matumizi gani Tena..?Nimefanyaje mtu angu
Hapo amesema ewe allah msamehe na umrehemu, na umuweke katika pepo za juu, ewe bwana wa viumbe.Kwani kasemaje hapo? Tunaomba ututafsirie mkuu.