TANZIA Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga

TANZIA Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga

Uchagani mafukara wengi tu
Soma ripoti ya nbs kilaza wewe Kilimanjaro hali ya umaskini ni 10% tu
90% wana kipato kikubwa na cha kati
Pia Kilimanjaro ndio mkoa wenye makazi bora vijijin kitaifa
Kilimanjaro hakuna mtu analala nyumba ya nyasi
Pia Kilimanjaro 80% ya kila kaya kuna maji na umeme njoo usafishe macho wewe mshamba wa kyerwa
 
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.

Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.

Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.

Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili

Clouds
MIkOpo mikopo mikopo
 
Soma ripoti ya nbs kilaza wewe Kilimanjaro hali ya umaskini ni 10% tu
90% wana kipato kikubwa na cha kati
Pia Kilimanjaro ndio mkoa wenye makazi bora vijijin kitaifa
Kilimanjaro hakuna mtu analala nyumba ya nyasi
Pia Kilimanjaro 80% ya kila kaya kuna maji na umeme njoo usafishe macho wewe mshamba wa kyerwa
Acha uwongo wewe,machalii wa kichaga kibao tunawatuma mjini hapa,njaa mpaka kwenye kope
 
Bongo bila uchaguzi tunakua na majibu tu kajinyonga na polisi wanatoka na majibu hayo hayo bila hata kufanya uchunguzi wowote..
 
Tujifunze kuwacheki wale tunaowapenda....people are going through a lot

Anyway apumzike alipopaandaa
 
Mithali 31:6 “Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.

7 Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake”.
 
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.

Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.

Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.

Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili

Clouds
 
Back
Top Bottom