Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Dhamabi sana na watahukumiwa kwa waliyo yafanyaTRA walimfirisi na wakamuibia, Dada yake alifariki kwa mshtuko, na mke wake huyu jamaa alipata kichaa, ukienda kumuona Muhimbili anachoongea ni ''TRA wamaetuibia, TRA wametufirisi'' kaehuka. Dhambi hii haita waacha salama