pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Wanataka kukomoa ..sasa haya mambilimbi hayariziki ukikomoa ni kama unajikomoa mwenyewe mwisho wa siku unakufa kifo Cha aibu. Haya tuyaache yasagane yenyewe kwa yenyeweKusema kweli katika vitu naogopa kufanya ni kushiriki ngono Kwa usaidizi wa Viagra ama dawa za kuongeza nguvu za mapenzi
Kwani ukipiga kimoja cha sekunde 25 unakuwa hujainjoi [emoji847]
Hahahaha,Me wengi kuanzia 50 huwa wanalazimisha tu hayo mambo ya kutaka wasichana wadogo.
Wengi hali zao si hali.
Inakuwa ni Win - Win Kwa Kila mmoja π€Hahahaha,wewe utakua ume enjoy yeye mpigwaji anakua ame enjoy
Viagra ilimuondoa makamu wa raisAtakuwa alipiga Viagra bila ushauri wa Dr!
Sa mtu ka huyo anahangaishwa na nini?Hahaha..........yaani anakuja binti anamwambia Boda wake amsubiri kabisa nje
Ni sekunde 25 tu waaa
Hahahaha,Inakuwa ni Win - Win Kwa Kila mmoja π€
Hahahaaaa.Hahahaha,
HahahahaSa mtu ka huyo anahangaishwa na nini?
Si bora atulie tu aachie vijana hiyo michezo. π€£π€£
Miaka 50+ hao bado ni vijana sana. Hata WHO imepandisha umri wa kuitwa mzee ni miaka 60. Mtu wa miaka 40+na 50+ mko bracket moja.Miaka 52 unachepuka ni ushamba .
We cheka tu rafiki. π€£π€£Hahahaha
Kusema kweli Mungu atusaidie Wanaume, yaani tunatumia nguvu nyingi kumridhisha Mwanamke ambaye inawezekana tumetumia hela nyingi kumpataWanataka kukomoa ..sasa haya mambilimbi hayariziki ukikomoa ni kama unajikomoa mwenyewe mwisho wa siku unakufa kifo Cha aibu. Haya tuyaache yasagane yenyewe kwa yenyewe
Huyo mzee sio Chaliifrancisco kweli?π€
Mkuu unatafuta kupopolewa hapa. πMiaka 52 unachepuka ni ushamba .
Mkuu unatafuta kupopolewa hapa. πMiaka 52 unachepuka ni ushamba .
Mie acheka tu ,maana sio mazurWe cheka tu rafiki. π€£π€£
Mambo ya kukamia mechi uzeeniJeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
UmedanganywaNyapu imezima kidume!" ! Nasikikiaga watu wazima 50+ performance hushuka sana., sasa mtu anatumia madawa kujibust, ili aendane na kasi ya mtoto wa elfu 2, mwisho wa siku presha inamchukua