Irimi mdalasini tangawiziHuyu alipewa papa iliyoungwa 😹😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Irimi mdalasini tangawiziHuyu alipewa papa iliyoungwa 😹😹😹
Kwakweli mimi huwa nawashangaa wanaohangaika kumridhisha mwanamke.Kusema kweli katika vitu naogopa kufanya ni kushiriki ngono Kwa usaidizi wa Viagra ama dawa za kuongeza nguvu za kiume
Kwani ukipiga kimoja cha sekunde 25 unakuwa hujainjoi 🤗
Ukiona una 40 na bado upo vizuri ni jambo la kushukuru Mungu, ila huko Mtaani hali ni mbayaDogo anakudanganya nani miaka 40 nguvu zinaanza kuisha? Hapa gari ndio inawaka moto muulize shangazi yako atakusimulia
SeriousSema kweli
Ni wachache wenye huo mtazamoKwakweli mimi huwa nawashangaa wanaohangaika kumridhisha mwanamke.
Utoe pesa, ulipie guest, chakula, vinywaji na bado akiwa anaondoka umlipe halafu umridhishe pia, kama umekula hela yangu basi wewe ndie unaepaswa kuhangaika niridhike.
Sijafika umri huo wa poor performance ila nikiufikia siwezi hatarisha afya yangu ili ke aridhike.
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
Vijana Wana hatari sana, ukiwa ni Mzee wa kuja unaweza kujikuta unapoteza pension yote Kwa huyo binti 😜Ukawekewa mdomoni.. Mi najua mdomo kazi yake kupokea msosi..
Aiseh ni hatari, bila shaka itakuwa ni dalisalama hukoUkiona una 40 na bado upo vizuri ni jambo la kushukuru Mungu, ila huko Mtaani hali ni mbaya
Kuna watu hata kutafuta round moja tu hadi wabustiwe
Labda ulivyojiweka kunawafanya wakuone mzeeHe?!!
Kumbe wenye miaka 50+ wanaweza kuchukua wanawake wenye 25+?!.
Mimi nina 39, lakini nikitongozaga wanawake wenye 24+, jibu ninalopewa mpaka nanyong'onyea "we baba nikome, na uzee wote huo nitakupeleka wapi?!, nyoko we"
Hakika Mkuu, naunga mkono hojaBwana wee mie nashangaa sana...mbona 20seconds zinagosha kabisa
Sijui broWho's next
Hilo tatizo lipo Tanzania nzima, sikiliza vilio vya Wanawake hata hapa JF utaonaAiseh ni hatari, bila shaka itakuwa ni dalisalama huko
Hakika Mkuu, yanini kujiumiza kiasi hichoBora unywe konyagi.. blue pills ni noma🔵
Hatari sanaSasa Mbowe 52- demu 27=25 dah!
Nini kilimkuta huyu Mmachame?
Alikuwa anapigania nini??Pumzika kwa amani mpiganaji. Haya mambo yanaweza kumpata mtu yoyote wakati wowote
Ni masikitiko mkuu, afya kwanza aisee..Ni wachache wenye huo mtazamo
Kuna Mzee wa miaka 56 nilikuta anaagiza vumbi la Kongo Kwa jamaa mmoja alikuwa dereva wa maroli ya kwenda Congo 🙌
Yaani watu hawana huruma na afya zao kabisa
Biashara na harakati zake za kumwingizia kipato. Ndiyo maana akafikia guestAlikuwa anapigania nini??