Tusubili waanze kupokea mishaara mipya, baada ya kupokea muezi miwili ya mwanzo tutaanza kuwaona wanafiki wataanza kusema Bora mishaara hisinge pandishwaHuo mfumko wa bei unamhusu mfanyakazi TU na kukuacha wewe pembeni au sijakuelewa? Nyongeza ya mshahara Kwa mfanyakazi ni muhimu mno kuliko huo mfumko wa bei. Siuandiki umuhimu huo hapa Kwa kuyalinda maslahi mapana ya wafanyakazi.
Unakuta mtu masikini wa Mungu analipwa laki tatu na sabini leo ameongezewa elfu 30 na kuwa laki nne anafurahi kama zwazwa vile!
Kiasi kile kile ndugu zwazwa anachokihangaikia kama malipo yake ya mwezi mzima kilaza mmoja ndani ya mjengo anakipokea kwa sitting allowance ya nasaa yasiyozidi 6 😄!
Hakika mazwazwa hatutoisha!
Hapo ndipo unapofeliUlivyomtaja tu jiwe,sijaendelea kusoma huu ushuzi wako.
Wakati huo ngano na mchele kilo itakuwa elfu 3 na Unga 2500, mafuta ya kupikia elfu 10 litaTusubili waanze kupokea mishaara mipya, baada ya kupokea muezi miwili ya mwanzo tutaanza kuwaona wanafiki wataanza kusema Bora mishaara hisinge pandishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishamuuliza km yeye ananipenda?!Humpundi mama hamia burundi
Jikite kwenye mada ewe zwauzwau!Mtukufu Jiwe aliongeza asilimia ngapi vile?
Anakupenda ndiomana amekupa nyongeza ya 23.3Ulishamuuliza km yeye ananipenda?!
Usifikiri kila awaye ni mtumishi wa wana siasaAnakupenda ndiomana amekupa nyongeza ya 23.3