Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Nimekuelewa japo sjaupenda huu mfumo

Maana mm n mswahili haswa.
 
Mimi nishazipata.
 

Sio ni maandalizi ya tukinyimwa misaada wapi pa kuwabania
 

Nchi zingine upo utaratibu huu au tumekopi rwanda
 
Aaah safi Sana jiwe kamatia hapo hapo anza na mapolisi na wafanyakazi wa tume waanze kusabmit TIN namba ukifika December awajatuma sisitisha mishahara Hadi walete TIN ndo fungua.
Mitano tena kwa jina la Yesu na Muhammad
 
Hilo tangazo limetolewa tokea mwezi wa 7, kwahiyo halijaanzia ulivyoona hiyo clip
ne
 
Kuuza gari bila TRA kujua manake unayemuuzia habadili jina lako, na asipobadili manake TRA hawatojua kama uliuza hilo gari. Point yako kama haieleweki
 
YULE BWANA MKUBWA AMEPIGA MAHESABU YAKE NA KUONA HII NCHI NI TAJIRI 🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…