zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kama SSH kafeli inaonyesha JPM hakuandaa mifumo mizuri ili hta akistaafu nchi isitetereke!! Kma kiongozi alifeli kwenye sustainability na succession management basi hakufaa kuwa Rais.Aliyemtaja Samia na mambo ya 2030 hapa nani?
Jikite kwenye mada acha kuhemka!
Acha wale Bata maana rais alisema hawezi kukaa anafokea watu wazima.Kwa mujibu wa yule jamaa sasa hivi maafisa wa TRA wanajipigia tu rushwa kwa sababu hata wakikomaa mdau anapiga simu juu na wao wanaishia kufokewa tu
CCM ipishe 2025 impishe nani sasa?Chadema,ambacho kimeshindwa japo kuhimili kinapotikiswa kwa mbinu za kuvurugwa?!Acha speculation na sio nyuzi hii tu. Ww ni CCM na serikali iliyopo ni ya CCM sasa mnapojifanya JPM na SSH ni vyama tofauti tuwaeleweje? Unless unakiri kwamba CCM mmeshindwa kuongoza nchi mpishe 2025 maana hta Samia akitoka bado mtajifanya mnamsifia kinafiki na kumponda atakayekuwepo.
Very weird
Kuna watu katika hii nchi ni wapumbavu na hawana akili.Kama SSH kafeli inaonyesha JPM hakuandaa mifumo mizuri ili hta akistaafu nchi isitetereke!! Kma kiongozi alifeli kwenye sustainability na succession management basi hakufaa kuwa Rais..
Nyoosha maelezo,Soma uelewe
Jiwe lilikuwa vizuri kwenye Kodi......"...wakati wa Magufuli ilifikia wakati wafanyabiashara wanagombania kulipa kodi kwa hiari yao...
Sasa kama CHADEMA sio mbadala si mchukue mwana CCM unayemuona ndio ana sifa za Urais aanzishe chama amuondoe SSH??CCM ipishe 2025 impishe nani sasa?Chadema,ambacho kimeshindwa japo kuhimili kinapotikiswa kwa mbinu za kuvurugwa?!
Kwa sasa hakipo chama mbadala kwa CCM nahofia utaendelea kusubiri sana!
Una hoja hasa kwenye suala la kuandaa mifumo mizuri lakini ni nani wakuaminiwa ku-push hiyo agenda maana hao tudhanio ndiwo ajabu kesho wake zao wakihongwa Ubunge wa viti maalum nao wanahamia huku kwetu na kuwa wapambe wetu kuzidi hata wapambe wenyeji!Kama SSH kafeli inaonyesha JPM hakuandaa mifumo mizuri ili hta akistaafu nchi isitetereke!! Kma kiongozi alifeli kwenye sustainability na succession management basi hakufaa kuwa Rais...
Lakufunga biashara ilikuwa ni biashara za wapiga dili! Nambie kampuni gani hata ya usafirishaji ilifunga biashara? Maana shop rite walifunga wakati wa kikwete!Walikuwa wanagombea kulipa kodi au walikuwa wanagombea kufunga biashara?
Awamu ya fukuza fukuza ilisha isha na Magufuli wakeJamaa yangu unataka nimtaje ili afukuzwe kazi ama?
Hamna kitu ka hiko mtu asiyependa rushwa CCM lazima ajiuzuru aanzishe chama sio anabaki ndani afu analalamika? Mfano Polepole alipokua msemaji mbona hakukamata hao anaowaita wahuni ila leo kaachia madaraka ndio analialia wahuni mara anatishia kuwataja n.k then utasema huyo mtu anachukia rushwa??Tambua,hata ndani ya CCM wapo watu wasiopendezeshwa na baadhi ya mambo hasa yahusuyo ufisadi, rushwa,upendeleo na mengine mengi kwayo.Lakini,watakimbilia wapi ilhali hata huko kuna watu wasio weza kusimamia imani zao!
Download NBS report za kuanzia 2019 to 2017 utaona biashara zilizofungwa na kufunguliwa then rudi hpa uandike hiki ulichoandika.Lakufunga biashara ilikuwa ni biashara za wapiga dili! Nambie kampuni gani hata ya usafirishaji ilifunga biashara? Maana shop rite walifunga wakati wa kikwete!
Chadema iwekeze kwenye Itikadi ili hata inapotikiswa kwa mbinu za kishamba km kuhongwa Viongozi wake wasikubali kukimbia chama.Sasa kama CHADEMA sio mbadala si mchukue mwana CCM unayemuona ndio ana sifa za Urais aanzishe chama amuondoe SSH?...
Bado nasema una hoja.Lakini...Hamna kitu ka hiko mtu asiyependa rushwa CCM lazima ajiuzuru aanzishe chama sio anabaki ndani afu analalamika? Mfano Polepole alipokua msemaji mbona hakukamata hao anaowaita wahuni ila leo kaachia madaraka ndio analialia wahuni mara anatishia kuwataja n.k then utasema huyo mtu anachukia rushwa?...
Tatizo unaangalia CHADEMA kwa wabunge na viongozi sio ile core ya chama nchi nzima. Hvi kuna mwenyekiti wa kanda au katibu wa kanda aliyehamia CCM hii miaka mitano bar Mathew suleiman? Walioahama ni hawa wa siasa za majimboni ila zile post za kichama tu bila interest za chaguzi za majimboni hakuna aliyehama CHADEMA na hiyo inaonyesha ukomavu wa chama kulinda core ya chama.Chadema iwekeze kwenye Itikadi ili hata inapotikiswa kwa mbinu za kishamba km kuhongwa Viongozi wake wasikubali kukimbia chama.