USINIKUMBUSHE.
Yaani umepeleta hesabu za 2015 kwa wakati, TRA umekaa nazo mpaka 2020 hujazigusa, 2020 anafanya examination unakuta kuna kodi ya m1 iliyotokana na makosa ya kibinadamu kukosea kutoa risiti bila kuleta taarifa, anachukua hiyo m1 anaipiga interest ya mwezi kwa miezi 60, anapiga na penalty, Halafu anafanya hivyo kwa hesabu za 2016,17,18, 19 na 20? Kisha anafungia account yenye fedha za wateja AISEEEEEEE.
AFISA UNAMUELEKEZA NILIKOSEA BADALA YA KUTOA M1 NIKATOA M10 ILA MAKOSA YALIFANYIKA NI KWELI HATUKUTOA TAARIFA KWA WAKATI PENGINE UNGEFANYA UKAGUZI WAKO NILIPOKULETEA HESABU MWAKA 2015 RISITI ILIYOKOSEWA INGEKUWEPO NA HATA ISINGEKUWEPO HIYO RIBA YA MIEZI 60 ISINGEKUWEPO KUWA NA UBINADAMU USIUE BIASHARA YANGU NAOMBA UNIFUNGULIE ACCOUNT NILIPE MISHAHARA NA NIMALIZIE KAZI ZA WATU.
LIMTU HALIKUELEWI NDO KWANZA LINAAGIZA VITUMBUA VYA CHAI😡😡😡 HALAFU LINATOA MAELEKEZO UPEWE CONTROL NAMBA UKALIPE KIASI NDO URUDI. HAPO LIMESHIKILIA ACCOUNT YAKO NA GARI LAKO LENYE MZIGO. UNACHUKUKUA MKOPO UNALIPA UNAACHIWA GARI LIKIWA BIDHAA ZIPO KWENYE HALI MBAYA UNAINGIA GHARAMA YA RIBA, AKAUNTI INAFUNGULIWA KWA POZI, IKIFUNGULIWA PESA YOTE INALIPA MKOPO NA RIBA, MISHAHARA UNADAIWA, PESA ZA WATEJA UNADAIWA, PRESHA.
HALAFU UNASEMA WATU WALIGOMBANIA KULIPA KODI??????? SERIOUS????????