Tatizo huelewi wewe...Pointi yangu ya chanzo cha manyanyaso ni ubaguzi wa rangi ipo palepale...Ila ukiendana nao dini itakupunguzia risk... Wazoefu wamenielewa ila wewe wakugoogle huwezi nielewa.
You are talking out of ignorance ......hujui ubaguzi wa waarabu kwa wa Africa......just shutup, hao wa indonesia wa philipino mshahara wao ni tofouti na wa Africa wakati wanafanya kazi ile ile, wanapokea dhiraham 1200 hadi 2000 kwa mwezi mwa Africa analipwa dhiraham 500 hadi 1000, kwa kazi ile ile ya house maid.
mwa Africa ukienda police kumshitaki boss wake kwasababu ya manyanyaso au kutolipwa, nakamatwa na kupelekwa 'deportation centre' bila hata kulipwa stahiki zake au anapigiwa boss wako simu kukuijia na anakupinga mbele ya police paka basi....hasa Saudi arabia Oman UAE tabia ni ile ile.....zote wa Arabi ni wanyama,
Mimi si shauri bint yoyote kuenda hata maisha ya kiwamagumu kivip hapa kwetu ni pazuri ni suala la kubadili mindset yako tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaona mtu mweusi ndo atampeleka anavyotaka bila wasiwasi wowote.Kama tatizo ni rangi kwanini alimuajiri from the first place? kwani hamna weupe akawaajiri? Indians, Philippians, Pakistanis, Indonesians.
Punguza ujinga mkuu
Anaona mtu mweusi ndo atampeleka anavyotaka bila wasiwasi wowote.
Wewe punguza ujinga×2
Kwa nini watu weusi wanabaguliwana kwanini aweze kumpeleka anavyotaka wengine ashindwe?
Mkuu hawa wanaolongalonga na kupayuka wivu tu unasumbua,,,mishahara wanayolipwa haifiki hata robo wanayopewa housegirl kule uarabuni.
Housegirl anapewa 600,000 mpaka 900,000 per month ,,,wakati bongo mfanyakazi wa benki,, secondary, msingi au hata serikalini sidhan ata laki4 wanapewa.
Housegirl mshahara mdogo na kunyanyaswa juu.
Kwa nini watu weusi wanabaguliwa
Hawa watu wenye ngozi nyeupe wabaguzi sana nishafanya kazi kwenye hospitali moja ta mrusi. Yani wakija wanakataa daktari mwafrika. Yani watakaa hapo hata masaa ma3 kumsubiria ngozi nyeupe mwenzao. Wapuuzi sana hawa watu. Mimi hua nawaangalia natamani hata wakufe hapo kwenye bench wakisubiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo kama swali uliloniuliza hapo juu... Majibu yanafanana... Kama huwezi nijibu basi tuishie hapa.umewahi kupata hilo jibu wewe?
Mkuu umefanya vizuri , jaribu kuweka andiko linalohusu uarabuni ( Kama neno lilivyo) then uone Kama Lebanon ipo kwenye nchi za uarabuniWiki Loves Africa: Share pictures of "Africa on the Move or Transport" with the entire world and win great prizes!
[Tusaidie kutafsiri!]
Lebanoni
LanguageDownload PDFFuatiliaEdit
Lebanoni (kwa Kiarabu: لبنان ) ni nchi ndogo ya Mashariki ya Kati katika Asia ya Magharibikando ya Bahari ya Mediteranea.
الجمهورية اللبنانية
Al-Jumhūriyyah al-Lubnāniyyah
Jamhuri ya LebanoniBenderaNemboKaulimbiu ya taifa: Kūllūnā li-l-waṭan (Kiarabu)
"Sisi sote kwa ajili ya taifa"Wimbo wa taifa: Kulluna lil-watanMji mkuuBeirut
33°54′ N 35°32′ EMji mkubwa nchiniBeirutLugha rasmiKiarabu(na zamani Kifaransa)Serikali
Rais
Waziri mkuu
Jamhuri
hajachaguliwa
Tammam SalamUhuru
Ilitangazwa
Ilitambuliwa
26 Novemba 1941
22 Novemba 1943Eneo
- Jumla
- Maji (%)
10,452 km² (ya 166)
1.8Idadi ya watu
- 2015 kadirio
- Msongamano wa watu
5,851,000 (ya 112)
560/km² (ya 21)FedhaLira ya Lebanon (LL) (LBP)Saa za eneo
- Kiangazi (DST)EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)Intaneti TLD.lbKodi ya simu+961
-
Imepakana na Syria na Israel.
Jiografia
Miji
Historia
WatuEdit
Zaidi ya nusu ya wakazi hukaa katika rundikola jiji la Beirut.
Wenyeji wana damu mchanganyiko sana, lakini lugha ya kawaida na lugha rasmi ni Kiarabu.
Kati ya nchi za Waarabu Lebanoni ni nchi pekee yenye wakazi wengi ambao ni Wakristowa madhehebu mengiː walau ilikuwa hivyo hadi miaka ya karibuni, kabla ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kuzuka.
Ni kwamba zaidi ya nusu ya Walibanoni wote wamehamia nje ya nchi, wakiwemo hasa Wakristo.
Kinyume chake, nchi imewapokea wakimbizizaidi ya milioni 1.
Makadirio ya mwaka 2014 yanadai kwa sasa 54% ni Waislamu (27% Wasuni na 27% Washia), 40.5% ni Wakristo (21% WakatolikiWamaroni, 8% Waorthodoksi Wamelkiti, 5% Wakatoliki Wamelkiti, 1% Waprotestanti), 5.6% ni Wadruzi n.k.
Tazama pia
Viungo vya nje
Last edited 2 years ago by Riccardo Riccioni
RELATED PAGES
Beirut
Milima ya Lebanoni ndogo
Historia ya Lebanoni
Nakala inapatikana chini ya Creative Commons Attribution/Share-Alike License; masuala ya ziada yanaweza kukubalika. Tazama Masharti ya Utumiajikwa maelezo zaidi. Wikipedia ni nembo iliosajiliwa na Wikimedia Foundation, Inc., asasi isiyokuwa ya kifaida.
FaraghaDawati
Unapoweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nchini wanateswa wananyaswa sana tu wanawake awapendaniNi shida tu, kungekua na ajira Afrika wala usingewaona huko. Umeshawahi kusikia Botswana na Namibia raia wao wanakua vijakazi Arabuni?
Hakuna mantiki ya kuwazuia kwenda hio ni ajali kazini muhimu ni kuwatengwnezea mazingira Salama huko.Wapo wengi tu wamenufaika wamejenga,wamesaidia familia zao, wameolewa huko,wamesomesha ndugu zao.Kuliko kulipwa elf 50 tena ya matusi ndani kwann usiende kuchukua milioni kasoro njeMbali na yote hayo wasichana tumekuwa hatujifunzi kwani si ajabu limetokea hili lakini yupo mwingine anasubiria Corona iishe aende akafanye hizo hizo kazi za ndani.
Hizi stori ndio zinafanya waende huko pamoja na wengi wao kuuawa. Ukija kuangalia huo mgahawa utakuta hata waliobaki hapo kwao wanaweza kuanzisha.
Nani wa kuwatengenezea hayo Mazingira salama?Hakuna mantiki ya kuwazuia kwenda hio ni ajali kazini muhimu ni kuwatengwnezea mazingira Salama huko.Wapo wengi tu wamenufaika wamejenga,wamesaidia familia zao, wameolewa huko,wamesomesha ndugu zao.Kuliko kulipwa elf 50 tena ya matusi ndani kwann usiende kuchukua milioni kasoro nje
Nchi kupitia balozi nje,Nani wa kuwatengenezea hayo Mazingira salama?
Muda huo wanao?Nchi kupitia balozi nje,
Roho mbaya aina taifa.Asilimia kubwa hata hapa nchini wanaotesa Dada wa Kazi ni wanawake Kwa sababu awapendani.Huwezi sikia mwanaume kauwa au anatesa Dada wa Kazi,hata hapa nchini wanateswa sana wanapitia magumu sana hawana jinsi sababu wametoka familia masikini ulazimika kufanya tu Kazi huku mioyo yao imepondeka.Wanapigwa,tukanwa,zulumiwa,wananyanyaswa kijinsia nk.Dawa ya muarab Ni USA, huwa anayanyoosha kweli kidogo yanakuwa na adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoe wapi,uliopo ni wa kupambana Na Mbowe utadhani ndie shida za watz. Hawa Jamaa VIATU ni vikubwaNchi kupitia balozi nje,
Been there done that.Hela ya kule sio sawa na madafu bwashee