Mfanyakazi wa ndani auawa Uarabuni na mwili wake kutupwa chini ya gari

Na wewe umejuaje kama hakuchukuliwa hatu? Wewe unafikiri mahakama za huko kama za hapa kwetu rushwa kibao!! Waafrika ndio maana ha2enderei,,2nakufa mackn kwa sababu ya chuki ze2 kwa weupe.


Jitafakari upya na wenzio waliocomment apo juu.
Waarabu wanaoua wafanyakazi weusi huwa hawachukuliwi hatua zozote na huyo hatachukuliwa hatua yoyote.. Wewe kama unakisia wengine tunajua uhalisia
 
Na wewe umejuaje kama hakuchukuliwa hatu? Wewe unafikiri mahakama za huko kama za hapa kwetu rushwa kibao!! Waafrika ndio maana ha2enderei,,2nakufa mackn kwa sababu ya chuki ze2 kwa weupe.


Jitafakari upya na wenzio waliocomment apo juu.
Ukileta ushahidi wa Mwarabu mmoja tu aliyechukuliwa hatua na kesi kutolewa hukumu nipigwe ban ya maisha.
 
Waarabu wanaoua wafanyakazi weusi huwa hawachukuliwi hatua zozote na huyo hatachukuliwa hatua yoyote.. Wewe kama unakisia wengine tunajua uhalisia
Jitofautishe na layman kwa kutoongelea vitu kwa ujumla. Fanya tafiti walau kupitia vyombo vya habari kabla yakugeneralize mambo.
 
Wafanyakazi 250,000 halafu wawili wanakufa kila wiki na hakuna hatua zozote?
Mi ndio maana siwaonei huruma hata kama wanatendewa visivyo na Israel au USA, wao ni wabaya zaidi
Hatari sana kwa wadada wa kiafrika kuwepo nchi hizo za kiarabu.
 


Ucbishananae mtu aliejikita kwenye chuki,,,chuki imemkaa kwenye damu hawezi badilika mkuu. Juzi apa mdada wa kaz kauliwa huko Arusha lakini hawakutokwa povu,,,kisa mweupe povu mpaka mars 😁
 
Hivi waindonesia nao ni wabantu siku hizi
Panua maarifa yako na upembuzi wa mambo. Kama muindonesia (ambaye pia ni masikini mwenzetu na kazi yake ilikuwa kufanya kazi za ndani kama hao wabantu unaowazungumzia) aliyenyanyaswa hatua zikachukuliwa itawezekana vipi akosekane mbantu aliyepata haki zake?

Umefatilia kesi zote za wabantu mahakamani ukaona sheria haikuchukua mkondo? Hawakupata haki zao?

Kitu ambacho huzifanya mamlaka za nchi nyingi kutowapatia haki wafanyakazi wa ndani ni dhana ya ubora wa raia wao juu ya watu wengine hasa toka nchi masikini zikiwemo hizo za waafrika, Latin Amerika na nyingine za Asia.

Na huu ni mfano mwingine wa wanandoa nchini Kuwait ambao mamlaka ya Kuwait iliwauawa baada ya wao wanandoa umuua mfanya kazi wa ndani.

Jambo la msingi: usipende kuelezea mambo kwa ujumla pasi na kuwa na data za kutosha.
 
Una kichwa kigumu aisee
 
watoto wa mjakazi wana roho mabaya sana, wamejaa chuki na kisasi
 
Siungi mkono haya yanayotokea lakini si ajabu Uzi huu watu wakatema povu sanaa kwasababu huyo dada kauliwa na mtu wa rangi nyingine lakini yule Mama wa Arusha tukachukulia poa kwakuwa ni Muafrika mwenzetu.

Unafiki sijui utatuisha lini sisi.
Sidhani kama watu au serikali ilichukulia poa. Ndio maana hata serikali iligharamia mazishi na gharama za msiba.
 
Ni kwa sababu una maarifa madogo ndio maana washindwa kung'amua vitu vidogo hivyo.

Level yako ni kuongelea vitu kwa ujumla kusikia taarifa redio mtete.
Ukiombwa ushahidi, huna.
Tunaongelea kuhusu watu weusi we unaleta waarabu wa Indonesia na wafilipino si uwendawazimu huo.
 
Majitu yana roho mbaya sana yote mpaka serikali yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…