ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe nyumbu,uwe unafuatilia mambo ya serikali badala ya kujikita kwenye umbea na upumbavu mnaoloshana huko ufipa.Hivi ile report ya CAG iliwahi kufanyiwa kazi, iliwahi kujadiliwa bungeni, iliwahi kutolewa maelezo wananchi wakajua hatma ya kodi zao?
ChoiceVariable bado nakuonyesha tu kuwa we have a very weak administration, very disorganised regime and a very weak presdar..take it or leave it.
Ni lini Halmashauri zote Zima madudu? Ufipa mna akili finyu sana 👇👇Hiyo case imebeba madudu yote kwenye Halmashauri zote? We kenge kweli.
waziri mwenyewe ana kwambia nenda burundi
Kumbe wezi wa TRA ni wachagga?😮TRA kuna maajabu sana yaani vijana wa 2000 wamemaliza vyuo sababu ni wachaga wamepata kazi TRA wana ukwasi na magorofa ya hatari.
Yupo.kijana mmoja mtoto wa Shao( maarufu kama mtoto wa mama teddy) pale mbezibeach rainbow kamaliza ifm miaka ya 2018. Nilimkuta kwa mkuu wa wilaya anafuatilia kibali cha kumiliki bastola kisa yupoTRA ana pesa nyingi eti atakabwa.
Yupo mwingine Ngajiro alikiwa longroom lakini walimfukuza kwa ufisadi. Kuna akina kimaro na wale wa airport Tra wana ukwasi wa hatari.
Sijui takukuru wamelala wapi. Na ile Fass sijui ya TRA law enforcement department inafanya kazi gani.
Wazir mwenyewe ana timu ya Mpira. Na anatumia takribani 100m to the minimum kila mwezi kuendesha timu. Je, anapata wapi pesa zote hizo?
Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.
Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.
Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.
Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.
Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.
Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.
Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Acha ujinga, na taarifa za kisaniiNi lini Halmashauri zote Zima madudu? Ufipa mna akili finyu sana 👇👇View attachment 3038345
Weka ambazo sio za kisanii..Ufipa hamnaga akili sijui Kwa nini 😁😁Acha ujinga, na taarifa za kisanii
Kwani wao hao takokuru hawana matumbo? Nchi hii jamani mkipata magepu kuleni tu hakuna namna! Huwa nalipongeza sana bro langu nalo lilichotamo pambaff zao!TRA kuna maajabu sana yaani vijana wa 2000 wamemaliza vyuo sababu ni wachaga wamepata kazi TRA wana ukwasi na magorofa ya hatari.
Yupo.kijana mmoja mtoto wa Shao( maarufu kama mtoto wa mama teddy) pale mbezibeach rainbow kamaliza ifm miaka ya 2018. Nilimkuta kwa mkuu wa wilaya anafuatilia kibali cha kumiliki bastola kisa yupoTRA ana pesa nyingi eti atakabwa.
Yupo mwingine Ngajiro alikiwa longroom lakini walimfukuza kwa ufisadi. Kuna akina kimaro na wale wa airport Tra wana ukwasi wa hatari.
Sijui takukuru wamelala wapi. Na ile Fass sijui ya TRA law enforcement department inafanya kazi gani.
Ni kweli. Ni ujinga, ushamba na upumbavu.Mambo mengine ni kujitafutia laana tu. Unapoiba Bilioni saba unakaa nazo kwako sijui unanunua Vogue(Gari ambayo kwa wastani wa mishahara yetu itachukua miezi 300 kununua)
Sijui ujenge majumba ya kifahari wakati kuna masikini ambao biashara zao zinanyanyaswa ni kujitafutia laana tu. Unakuta gari mpya SUV ya maana namba EH Series imepiga mzinga na kuondoka na roho za watu kumbe ni malaana yenyewe haya.
Haujapigwa maswali ....huyu nani umekuja nayeKuna shangaz yang ni mwalim wa primary mara huko, alikuja dar akanambia nimsimdikize kwa mwanafunz wake aliemfundishaga shule ya msingi, asee kaolewa na kijana mmoja anafanya kaz TRA, aisee lile jumba sijawah kuliona tangu nizaliwe lipo kinyerez ni kufuru.. kuna had gym yenye vifaa vyote.. wakat tunaondoka tukapewa vibunda na hela ya mafuta..nilitaman namm nipate kazi TRA
Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.
Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.
Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.
Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.
Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.
Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.
Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Wachaga Magufuli aliwaondoa wote TraKumbe wezi wa TRA ni wachagga?😮
TunajuaKiukweli TRA wanaiba kaaah
KwaiyoNi kweli. Ni ujinga, ushamba na upumbavu.
Ukosefu wa exposure pia unachangia.
Ingawa mimi sio tajiri kama wao. Lakin mimi naona kama nimefanikiwa kimaisha kuliko hao wanaoiba mali za umma bila kutoa jasho halali
🤣🤣🤣Mfanyakazi wa TRA ana miliki mali za bilion 1,2,3 😄
Ukiwaweka wafanyakazi wa TRA na mfanyabiashara ...utakuta mfanyabiashara kachakaaa huku
Mtu wa TRA kanona
Ova