Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

Hawa tunawachekea sana na wanafanya hayo yote, wakijua hakuna wa kufanya lolote. Tutalalamika kwenye mitandao, miaka inaenda na hakuna kinachobadilika.

Watanzania kupanga ni kuchagua, mlipe kodi kuwafanya kundi fulani wawe mabilionea. Au kuchukua hatua cake ya taifa iliwe na wote. Uamuzi uko mikononi mwenu.
 
Nawajuwa baadhi wanaishi pembezoni mwa miji ni balaa
Hao kila nkienda makwao hawapendi niende na mtu,lazima waseme,ebwana ehh njoo pekee yako 😄
Tena uzi huu umenikumbusha,kuna mmoja nataka kumtoa upepo kesho
😄

Ova
 

Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.

Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.

Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.

Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.

Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.

Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.

Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Huko wanaolipiashwa au kulima barabara waujue Ili wakuu wa Mikoa,wilaya na ma RAS na Das wapite kwa na maVX yalionunuliwa kwa raha na kodi zetu 😡
 
Hawa tunawachekea sana na wanafanya hayo yote, wakijua hakuna wa kufanya lolote. Tutalalamika kwenye mitandao, miaka inaenda na hakuna kinachobadilika.

Watanzania kupanga ni kuchagua, mlipe kodi kuwafanya kundi fulani wawe mabilionea. Au kuchukua hatua cake ya taifa iliwe na wote. Uamuzi uko mikononi mwenu.
Walichukua laki mbili zangu pale Kwa bibi segerea na ushahidi nnao,,niwataje au nisiwataje, aa ngoja niwapotezee
 

Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.

Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.

Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.

Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.

Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.

Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.

Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Mnawahonga wenyewe Ili msilipe Kodi stahiki.TRA na Traffic au watu wa mahakama ni kundi Moja.
 

Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.

Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.

Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.

Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.

Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.

Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.

Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Tume za matokeo ya ukuaguzi wa CAG hutajwa nyuma ya mikamera majibu ya hizo tume nyuma ya pazia
 

Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.

Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.

Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.

Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.

Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.

Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.

Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
INASIKITISHA WALLAH.
 
Hawa tunawachekea sana na wanafanya hayo yote, wakijua hakuna wa kufanya lolote. Tutalalamika kwenye mitandao, miaka inaenda na hakuna kinachobadilika.

Watanzania kupanga ni kuchagua, mlipe kodi kuwafanya kundi fulani wawe mabilionea. Au kuchukua hatua cake ya taifa iliwe na wote. Uamuzi uko mikononi mwenu.
Point, kipanga ni kuchagua, ila naona sisi ni kama tumeridhika
 
Eti ashtuka...
Hakuna alichoshtuka hapo angeshtuka tungesikia hatua. Watu wanaiba huku wanafanya kuwapeleka huku. Nikikumbuka kauli yake fulani anamwambia jamaa kuwa anajua alipiga pesa sehemu fulani sasa kamhamisha kampeleka kwingine anamwangalia nikajua kazi ipo.
Huyo bb hamna kitu, hajielewi!.
 
Hivi ile report ya CAG iliwahi kufanyiwa kazi, iliwahi kujadiliwa bungeni, iliwahi kutolewa maelezo wananchi wakajua hatma ya kodi zao?

ChoiceVariable bado nakuonyesha tu kuwa we have a very weak administration, very disorganised regime and a very weak presdar..take it or leave it.
 
Back
Top Bottom