Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako💞💞

Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako💞💞

Mara moja moja mwambie “mwamba leo tupige game jikoni wakati nakaanga vitunguu “utamu ukizidi mnajikuta vitunguu vimeungua au vimafuta vimewarukia kidogo😆😆mnaungua,au mwambie babe twende tukapige game mpakani mwa Ukraine na Russia pembezoni mwa bomu la nyuklia.
Basi tu ilimradi usumbufu Woi😁😁
Chezeni karata,fanyeni evening walk pamoja,tubuaneni kidogo lakini hakikisha jua halijazama kisirani kimeisha😆😆

Aunt abiria kichwa cha uzi kingetokea hapa...
 
😅😅
Hizi vitu zinafanya nammiss mno Baba Mwamposa wangu, that guy ni mshikaji ile kinoma, ananiitaga 'mwamba wangu' sababu naweza kula tikiti lote mwenyewe..!!
Lakini dada mimi nikikaa mshikaji u tell I’m not romantique.

Baba Mwampoo is a man and half.. tumpe tu maua 🌺🌺

Najua anajua uliamka saa 8 ukala tikiti.. we dada ni mwamba geu
 
Sisi tuliosomaga Uchambuzi wa Fasihi Kidato cha Tatu tunachambua dhima ya Mtoa mada ni kusema kuwa Kitanda sio sehemu pekee ya kupeana Utamu.

Mnaweza kupeana Utamu hata mkiwa Jikoni, eneo la Wazi.

Nakumbuka miaka ile ya Ujana ilikuwa tunaweza kushambulia kutokea Bafuni, Sebuleni, Kwenye Gari, ama Shambani.

Kweli Vijana mna faidi 🤗
 
Back
Top Bottom