Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ujakohoa 😂khoh
🙏🙏😘Asante kipenzi😊
Kikubwa utelezi mkuu, hawezi kukuita mwamba kama unatafutwa kwa tochi!Kikubwa uhai😁
Uchokozi wangu upi 😅Na una habar wewe ni mchokozi😁😁😁
Mwamba ni yoyote, ke au me. Labda nachanganya, sorry!Sasa mwamba ni mwanamke au mwanaume?unachanganya habari
Mara moja moja mwambie “mwamba leo tupige game jikoni wakati nakaanga vitunguu “utamu ukizidi mnajikuta vitunguu vimeungua au vimafuta vimewarukia kidogo😆😆mnaungua,au mwambie babe twende tukapige game mpakani mwa Ukraine na Russia pembezoni mwa bomu la nyuklia.
Basi tu ilimradi usumbufu Woi😁😁
Chezeni karata,fanyeni evening walk pamoja,tubuaneni kidogo lakini hakikisha jua halijazama kisirani kimeisha😆😆
Lakini dada mimi nikikaa mshikaji u tell I’m not romantique.😅😅
Hizi vitu zinafanya nammiss mno Baba Mwamposa wangu, that guy ni mshikaji ile kinoma, ananiitaga 'mwamba wangu' sababu naweza kula tikiti lote mwenyewe..!!
Uncle dereva niliandika kichwa cha habari kutokea hapo lakini hakikunibariki kabisa nikaona bora hiki kilichopo sasa hivi.Aunt abiria kichwa cha uzi kingetokea hapa...
Hela tutatafuta woteHaki nimecheka ujue.
Hutaki mwenye pesa mama😆😆