Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majimbo ya RC , kimsingi ni hii mikoa, Sasa wewe unataka upi ?? Huu hu wa mikoa au tofauti na huuNdiyo maana hata RC wana mfumo wa majimbo.
Hivi unajua crisis inayotokea Kenya sasa hivi kisa hizo countiesActually twende kama Kenya wana counties ..
Kwahiyo kuna Mkoa wa Mbulu, Same, Meru, Arusha kati na mashariki? shame on youMajimbo ya RC , kimsingi ni hii mikoa, Sasa wewe unataka upi ?? Huu hu wa mikoa au tofauti na huu
Hatujalenga hizi semi autonomous states. Kimsingi tumelenga kufanya devolution ya kawaida bila kuathiri geographical demarcation iliyopo.FAIDA YA SERIKALI ZA MAJIMBO NI IPI?
Hivi unajua kuwa Serikali ya majimbo huwa na Serikali inayojitegemea kwa kila Jimbo? Inakuwa na Waziri mkuu na mawaziri wengine wote.
Hebu tuambieni faida za Serikali ya majimbo Ni zipi? Hivi Mkoa Kama wa Arusha, Kilimanjaro, na Manyara mapato yake kulingana na Rasilimali zinaweza kuwa sawa na Mkoa wa singida, Dodoma na Kigoma?
Hebu tujadili kisomi faida za Serikali ya majimbo ni zipi kiuchumi, na Kisiasa. Au tumeamua tu kuiga? Je hatuwezi kuboresha zaidi muundo wetu wa Serikali za mitaa ambazo zinabeba lengo Hilo Hilo zikawa Bora zaidi?
Wewe utaamua hivyo "shame on you" lakini ukweli wa mambo utabaki hivyo hivyo utatengeneza ma king pin kwa kila sehemu na division within people even of the same sect.Kwahiyo kuna Mkoa wa Mbulu, Same, Meru, Arusha kati na mashariki? shame on you
Chukueni mtazamo mpana zaidi wa suala la ulinzi na usalama kwa taifa. Tusijilinganishe na Kenya ambayo bajeti yao uchumi wake pia hauwezi kuulinganisha na wakwetu. Mentality ya watz na uvivu na wizi je vitaondoka kwa kuweka majimbo?
Jana nimemsikia mgombea uraisi wa UMD (The Union for Multiparty Democracy) nae bila kumung'unya maneno akisema sera ya majimbo nao wakipata ridhaa wataitekeleza. Mimi si mchadema lakini sera hii nimekua niki iunga mkono kwa muda mrefu. Haiwezi tukatetegemea Dar na sasa Dodoma kutuamulia kila kitu.Hiki ndicho Lissu cha ChademaDM wanamaanisha, na tangu jana nimekuwa muumini mkubwa wa Serikali ya majimbo.
Kenya,Marekani,Nigeria,Uingereza hawana majeshi? hawana maamiri jeshi wakuu wanao. serikali kuu itakuwepo kama kawaida ila ikiwa na wizara chache sana Ulinza,Mambo ya ndani kwa baadhi ya maeneo,fedha,nchi za nje.Chukueni mtazamo mpana zaidi wa suala la ulinzi na usalama kwa taifa. Tusijilinganishe na Kenya ambayo bajeti yao uchumi wake pia hauwezi kuulinganisha na wakwetu. Mentality ya watz na uvivu na wizi je vitaondoka kwa kuweka majimbo?
Niambie mgogoro uliopo wa Kkkt unaohusu labda mapatoTungeangazia NCHI ZA KIAFRIKA zinazotumia mfumo huu,tuone ufanisi wake badala ya kuangazia vitaasis tu.
KKKT yenyewe unayoipigia chepuo ina migogoro kibao isiyoisha juu ya matumizi mabaya ya fedha.
Kesi ya Munga imeishia wapi?
Na sidhani kama CDM yenyewe (wapiga filimbi ya majimbo) kama wanatumia mfumo huo kugawa ruzuku ili kila kanda/jimbo lijisimamie lenyewe!
Tusijilinganishe na uingereza au marekani. Chukulia kenya na nigeria na angalia historia yao. Je rushwa na wizi vimekomeshwa? Umasikini umekomeshwa? SGR ya kenya mbona bomu na wananchi inawauma kabisa hata ukizungumza nao unaona kabisa walivyo na uchungu kuwa "wameliwa" pale. Tuache ulimbukeni na kukosa shukrani. Majuto ni mjukuu na maji yakimwagika hayazoleki.Waulize walibya.Kenya,Marekani,Nigeria,Uingereza hawana majeshi? hawana maamiri jeshi wakuu wanao. serikali kuu itakuwepo kama kawaida ila ikiwa na wizara chache sana Ulinza,Mambo ya ndani kwa baadhi ya maeneo,fedha,nchi za nje.
majimbo yatakuwa yanapeleka serikari kuu sehemu ya mapato yao serikali kuu kwa ajili ya kuwezesha uendeshaji wa serikari kuu na kwa nchi za aina hii unakuta viongozi wanawatii wapiga kura sio viongozi wanawatisha wapiga kura, muhumu ni kuwa viongozi wa kuteuliwa huwa ni watendaji wa serikali na hawana madaraka ya moja kwa moja kwa wananchi kama wakuu wa mikoa,wilaya nk.
Ndio maana cama kimebaki imara hata baada ya kufungiwa miaka mitano kisifanye siasa,na ndio maana mnateseka sana sasa hivi majukwaani baada ya kutangaziwa kuwa kimekufa na sasa ki hai na kinanguvu mara dufu.Mfumo wao wa viongozi wa kanda umeleta tija yoyote kwenye performance ya chama?
Waribya walikuwa na sera ya majimbo ndio iliwaletea hayo yote?Tusijilinganishe na uingereza au marekani. Chukulia kenya na nigeria na angalia historia yao. Je rushwa na wizi vimekomeshwa? Umasikini umekomeshwa? SGR ya kenya mbona bomu na wananchi inawauma kabisa hata ukizungumza nao unaona kabisa walivyo na uchungu kuwa "wameliwa" pale. Tuache ulimbukeni na kukosa shukrani. Majuto ni mjukuu na maji yakimwagika hayazoleki.Waulize walibya.
Kenya wamegundua walichemka sasa wanakuja na BBI kurekebisha huo upuuzi, kwa ujumla haufai kwa nchi za afrikaActually twende kama Kenya wana counties ..
Hesabu ya matumizi ya ruzuku kwa chadema ni SIRI etiTungeangazia NCHI ZA KIAFRIKA zinazotumia mfumo huu,tuone ufanisi wake badala ya kuangazia vitaasis tu.
KKKT yenyewe unayoipigia chepuo ina migogoro kibao isiyoisha juu ya matumizi mabaya ya fedha.
Kesi ya Munga imeishia wapi?
Na sidhani kama CDM yenyewe (wapiga filimbi ya majimbo) kama wanatumia mfumo huo kugawa ruzuku ili kila kanda/jimbo lijisimamie lenyewe!
Walibeba ajenda ya mabeberu kama ilivyo bila kutafakari na sasa wako wapi?Waribya walikuwa na sera ya majimbo ndio iliwaletea hayo yote?
Hakuna kitu kama hicho tena utakuta wana matatizo makubwa tu , angalia Nigeria, Kenya , USA ya Trump n.kKenya,Marekani,Nigeria,Uingereza hawana majeshi? hawana maamiri jeshi wakuu wanao. serikali kuu itakuwepo kama kawaida ila ikiwa na wizara chache sana Ulinza,Mambo ya ndani kwa baadhi ya maeneo,fedha,nchi za nje.
majimbo yatakuwa yanapeleka serikari kuu sehemu ya mapato yao serikali kuu kwa ajili ya kuwezesha uendeshaji wa serikari kuu na kwa nchi za aina hii unakuta viongozi wanawatii wapiga kura sio viongozi wanawatisha wapiga kura, muhumu ni kuwa viongozi wa kuteuliwa huwa ni watendaji wa serikali na hawana madaraka ya moja kwa moja kwa wananchi kama wakuu wa mikoa,wilaya nk.
Ila unaelewa kuwa Dar ndio kunatoa kodi kubwa kwa serikali - si ndio? Maana Viwanda vikubwa viko Dar (Pwani itafuatia soon), Bandari kubwa iko Dar, Airport kubwa iko Dar, na watu wengi kutoka mikoa mingine mingi wanaishi Dar. Hivyo sera za Majimbo zikianza; pesa zilizokuwa zikipatikana Dar na kugawawiwa ili kuleta maendeleo ya kile kijiji chako cha Lumonge; hazitopatikana tena. Dar itaneemeka zaidi; maana mapato yote yatabaki hapo. Itabidi jimbo lako liangalie jinsi ya kupata pesa za maendeleo kivyakevyake. Labda kama jimbo lako litakuwa maeneo yenye dhahabu (hapo mtaula); utalii (mtaula pia) ikiwa jimbo lako litakuwa kwenye kilimo (haswa Mihogo; Ufuta; Mbogamboga siju) - mtaisoma namba. Labda kama mtauza hayo mazao mara 300% ya bei ya sasa.Jana nimemsikia mgombea uraisi wa UMD (The Union for Multiparty Democracy) nae bila kumung'unya maneno akisema sera ya majimbo nao wakipata ridhaa wataitekeleza. Mimi si mchadema lakini sera hii nimekua niki iunga mkono kwa muda mrefu. Haiwezi tukatetegemea Dar na sasa Dodoma kutuamulia kila kitu.