Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Hizo nchi ndio zakutolea mfano? Wapumbavu nyie
Mwambie Lissu aliyetolea mfano kwenye hiyo clip au huna mb za kusikiliza shangazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo nchi ndio zakutolea mfano? Wapumbavu nyie
Ili mtu apewe uongozi lazima kuwepo reference. Chadema ni taasisi kama wao wanavyodai. Hela yote inaishia makao makuu.Tungeangazia NCHI ZA KIAFRIKA zinazotumia mfumo huu,tuone ufanisi wake badala ya kuangazia vitaasis tu.
KKKT yenyewe unayoipigia chepuo ina migogoro kibao isiyoisha juu ya matumizi mabaya ya fedha.
Kesi ya Munga imeishia wapi?
Na sidhani kama CDM yenyewe (wapiga filimbi ya majimbo) kama wanatumia mfumo huo kugawa ruzuku ili kila kanda/jimbo lijisimamie lenyewe!
Very true. Bila kujipendekeza kwa mkuu mkoa wako utabaki nyuma. We must get rid of this shitImefika wakati watanzania lazima tuseme kuwa mfumo wa utawala wa Chama cha mapinduzi, umechochea sana ufisadi, umasikini, kujipendekeza, uzembe, ubabaishaji na kutowajibika kweli kwa Watanzania!
Saasa, hio ni competition gani akati jimbo linalolegalega linasaidiwa na serikali kuu..!Always competition inaleta maendeleo.