leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,583
- 3,182
USA ni matatizo ya Trump mwenyewe sio majimbo UBAGUZI,Nigeria udini/kabila Kenya sio majimbo kimsingi ila tunafanana nao ila wao huwachagua wakuu wa mikoa husika lakini mapato yako centralised KRA, kila nchi ina matatizo yake isipokuwa uoga wa CCM sio majimbo bali wanamhitaji sana Rais mfalme ili ailinde CCM isife, iko wazi kuwa ili CCM iishi ni lazima ikae kwenye koti la serikali.Hakuna kitu kama hicho tena utakuta wana matatizo makubwa tu , angalia Nigeria, Kenya , USA ya Trump n.k