Mfumo wa masaa Afrika Mashariki

Mfumo wa masaa Afrika Mashariki

Sijui kama ilishawahi kujadiliwa humu lakini nimekuwa najiuliza sana na kukosa majibu, kwanini mfumo wa masaa wa Afrika Mashariki upo tofauti na sehemu zingine duniani? Sehemu zote siku inaanza saa 6 (0000) usiku lakini kwetu inaanza saa 1 (0700) asubuhi. Kuna sababu ya hii tofauti mahali?

Na tulipatia wapi huu mfumo na kwa nini? Tujiulize wanabodi na tunafaidika nini au tunapata hasara gani kwa hii? Karibuni kwa tafakuri.
Siku ulizozitumia madrasa baba yako angekupeleka upate elimudunia usingeleta kituko hiki.
 
Sijui kama ilishawahi kujadiliwa humu lakini nimekuwa najiuliza sana na kukosa majibu, kwanini mfumo wa masaa wa Afrika Mashariki upo tofauti na sehemu zingine duniani? Sehemu zote siku inaanza saa 6 (0000) usiku lakini kwetu inaanza saa 1 (0700) asubuhi. Kuna sababu ya hii tofauti mahali?

Na tulipatia wapi huu mfumo na kwa nini? Tujiulize wanabodi na tunafaidika nini au tunapata hasara gani kwa hii? Karibuni kwa tafakuri.
In swahili a day is dvided into 2 parts, each part having 12 hours. From morning to night - saa moja hadi saa 12 and night to morning, saa moja hadi saa 12.
Sisi waswahili hatuhesabu saa kwa kutumia saa 24 kama wenzetu.
 
Sijui kama ilishawahi kujadiliwa humu lakini nimekuwa najiuliza sana na kukosa majibu, kwanini mfumo wa masaa wa Afrika Mashariki upo tofauti na sehemu zingine duniani? Sehemu zote siku inaanza saa 6 (0000) usiku lakini kwetu inaanza saa 1 (0700) asubuhi. Kuna sababu ya hii tofauti mahali?

Na tulipatia wapi huu mfumo na kwa nini? Tujiulize wanabodi na tunafaidika nini au tunapata hasara gani kwa hii? Karibuni kwa tafakuri.
Huu ni ukilaza wa kimahesabu. Namba line ina anza na 0. Ikienda hadi 1 ndipo inatimia moja. Saa moja ina dakika 60, au sekunde 60x60=3,600. Kutokana na Ukweli kuwa sekunde 60 ni sawa na dakika moja
 
Huu ni ukilaza wa kimahesabu. Namba line ina anza na 0. Ikienda hadi 1 ndipo inatimia moja. Saa moja ina dakika 60, au sekunde 60x60=3,600. Kutokana na Ukweli kuwa sekunde 60 ni sawa na dakika moja
Sawa nanjilinji japo hukuwa na sababu ya "name calling" kama unajua wewe mahesabu inatosha! Hatukzaliwa tufanane, we jibu km unataka then tembea
 
Sijui kama ilishawahi kujadiliwa humu lakini nimekuwa najiuliza sana na kukosa majibu, kwanini mfumo wa masaa wa Afrika Mashariki upo tofauti na sehemu zingine duniani? Sehemu zote siku inaanza saa 6 (0000) usiku lakini kwetu inaanza saa 1 (0700) asubuhi. Kuna sababu ya hii tofauti mahali?

Na tulipatia wapi huu mfumo na kwa nini? Tujiulize wanabodi na tunafaidika nini au tunapata hasara gani kwa hii? Karibuni kwa tafakuri.
Kiislam siku kamili ina nusu mbili, nusu moja ni usiku na nusu moja ni mchana (night and day), nusu ya usiku na ndiyo mwsnzo wa siku, huanzia jua linapozama, ndipo unapoanza usiku wa siku hiyo na jua Linapochomoza alfajiri ndipo inapoanza mchana wa siku hiyo.

Kwa hiyo siku huanzia baada ya magharibi na huishia kabla ya magharibi.
 
Kiislam siku kamili ina nusu mbili, nusu moja ni usiku na nusu moja ni mchana (night and day), nusu ya usiku na ndiyo mwsnzo wa siku, huanzia jua linapozama, ndipo unapoanza usiku wa siku hiyo na jua Linapochomoza alfajiri ndipo inapoanza mchana wa siku hiyo.

Kwa hiyo siku huanzia baada ya magharibi na huishia kabla ya magharibi.

Kwa nini tunachange tarehe usiku wa manane na tunaanza kuhesabu masaa asubuhi sasa?
 
Kwa nini tunachange tarehe usiku wa manane na tunaanza kuhesabu masaa asubuhi sasa?
Hizo tarehe za kizungu (Gregorian) zinatofautiana na tarehe za asili za Afrika Mashariki (Hijr).

Tarehe za kizungu zimekaa kijinga sana, siku ina nusu ya usiku wa siku hiyo na mchana kamili wa siku hiyo na nusu ya usiku wa siku nyingine.
 
Sisi tuna akili zaidi kwa swala hili. Sio siku inaanza asubuhi eti unadai saa 7!
 
Nimekwambia kuna options 2 unachagua twelve au MN
kikawaida Kama ni during the day utaandika 12:00 noon na si vinginevyo na during night utaandika 12:00 midnight.
ila ikianza dakika moja kwa mchana inakuwa PM kwa usiku inakuwa AM.
Nadhani umeelewa
 
Mwanzo niliona ni bangi zako unavutiaga uani ila nimekupata ulichomaanisha mkuu.


Mfumo wa hizi saa umetoka kwao, tumeupokea kama ulivyokuja ndio maana tunausoma kwa kiingereza 7 saa moja 8 saa mbili nk ila wapo baadhi wasiousoma hivyo walioset 1 kwa saa moja na 2 kwa kwa saa mbili.

Hata sisi siku inabadilika saa 6 usiku.
 
Babylonians - sunrise to sunrise
Greeks - sunset to sunset
Romans - midnight to midnight
Jews - sunrise to sunrise
Swahili - sunrise to sunrise
English - midnight to midnight
Islam - sunset to sunset
Hebu agiza soda hapo ulipo

Romans (wazungu ndiyo waliokuja kutuvurugia kila kitu)
 
Sijui kama ilishawahi kujadiliwa humu lakini nimekuwa najiuliza sana na kukosa majibu, kwanini mfumo wa masaa wa Afrika Mashariki upo tofauti na sehemu zingine duniani? Sehemu zote siku inaanza saa 6 (0000) usiku lakini kwetu inaanza saa 1 (0700) asubuhi. Kuna sababu ya hii tofauti mahali?

Na tulipatia wapi huu mfumo na kwa nini? Tujiulize wanabodi na tunafaidika nini au tunapata hasara gani kwa hii? Karibuni kwa tafakuri.
Sababu kuu ni kuwa upande wetu (ikweta), tuna takriban masaa 12 ya mwanga na 12 ya giza, bila kubadilika, kwa mwaka mzima. Hivyo kutumia kigezo cha mwanga, inatabirika kirahisi zaidi, siku huanza jua likichomoza (saa moja asubuhi) na huisha likizama (saa 12 jioni).

Wenzetu muda wa jua kuchwa na kucha hubadilika kutokana na majira. Wakati wa summer muda wa jua huwa mrefu (Kuna nchi jua huwaka hadi masaa 20 kwa siku) na giza huwa fupi sana, vivyo hivyo wakati wa winter tofauti yake hutokea. Kwa mantiki hiyo, kutumia mwanga na giza kuhesabu siku sehemu hizo, inakuwa haina mantiki.
 
Sababu kuu ni kuwa upande wetu (ikweta), tuna takriban masaa 12 ya mwanga na 12 ya giza, bila kubadilika, kwa mwaka mzima. Hivyo kutumia kigezo cha mwanga, inatabirika kirahisi zaidi, siku huanza jua likichomoza (saa moja asubuhi) na huisha likizama (saa 12 jioni).

Wenzetu muda wa jua kuchwa na kucha hubadilika kutokana na majira. Wakati wa summer muda wa jua huwa mrefu (Kuna nchi jua huwaka hadi masaa 20 kwa siku) na giza huwa fupi sana, vivyo hivyo wakati wa winter tofauti yake hutokea. Kwa mantiki hiyo, kutumia mwanga na giza kuhesabu siku sehemu hizo, inakuwa haina mantiki.

Inaleta maana sana ila kama tunaanza siku jua likichomoza kwa nini siku inabadilika jina usiku wa manane?
 
Sijui kama ilishawahi kujadiliwa humu lakini nimekuwa najiuliza sana na kukosa majibu, kwanini mfumo wa masaa wa Afrika Mashariki upo tofauti na sehemu zingine duniani? Sehemu zote siku inaanza saa 6 (0000) usiku lakini kwetu inaanza saa 1 (0700) asubuhi. Kuna sababu ya hii tofauti mahali?

Na tulipatia wapi huu mfumo na kwa nini? Tujiulize wanabodi na tunafaidika nini au tunapata hasara gani kwa hii? Karibuni kwa tafakuri.
Hata uku usukuman siku inaanza saa 0000 na sio saa0700
 
Back
Top Bottom