pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Kila tunaambiwa mtandao uko chini tuwe na subira. Wagonjwa wamekaa kwenye foleni tangu saa mbili asubuhi.
Haya mambo ya mitandao mngeachana nayo tu naona hamkuwa tayari.
Kuanzia mapokezi, kwa daktari, pharmacy ni tabu tupu.
Haya mambo ya mitandao mngeachana nayo tu naona hamkuwa tayari.
Kuanzia mapokezi, kwa daktari, pharmacy ni tabu tupu.