Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sehemu za Marekani wanachangamoto ya maji ya kunywa Mkuu.
Tatizo unaangalia tv za burudani tuuWapi wana changamoto ya madawati na matundu ya choo
Mkuu, unajipa tabu sana mbona. Na usiwe unalinganisha Marekani, Ulaya naTanzania, United RepublicHapa Tanzania bwana siku hizi, kiila kitu utasikia lawama zinaenda kwa mama wa watu Rais Samia. Yani hata mahali hahusiki kabisa utasikia analaumiwa Mama wa watu kiasi kwamba tunajiuliza...
Anatumia makalio kufikiri huyoHivi wewe unatumia akili au kitu gani?
Huu uongo ulaya hakuna mfumko wa bei.Hapa Tanzania bwana siku hizi, kiila kitu utasikia lawama zinaenda kwa mama wa watu Rais Samia. Yani hata mahali hahusiki kabisa utasikia analaumiwa Mama wa watu...
Nashukuru kama umeligundua hiloAnatumia makalio kufikiri huyo
Mkuu kutumia ubongo sio kipaumbele chake, ametumia kiuongo chochote cha mwili ili mrad tu amechangia 🤣🤣🤣Hivi wewe unatumia akili au kitu gani?
Asante sana mkuu kwa kuwa mg'amziMkuu kutumia ubongo sio kipaumbele chake, ametumia kiuongo chochote cha mwili ili mrad tu amechangia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Achana na wapumbavu na wajinga mkuu, uchumi wa Dunia uko Kwenye Hali Tete kila sehemu na hali hii ilisababishwa na Chumi nyingi kuanza kukua mara baada ya Mipaka kufunguliwa.Hapa Tanzania bwana siku hizi, kiila kitu utasikia lawama zinaenda kwa mama wa watu Rais Samia. Yani hata mahali hahusiki kabisa utasikia analaumiwa Mama wa watu kiasi kwamba tunajiuliza mnabebesha mizigo asiyostahili...
Hii nchi ina mijitu mijinga huwa haitaki kuelewa na kuuliza sababu ila kulaumu ndio maana Rais anawapuuza na kuwaacha na ujinga wao.Naomba kuuliza hivi ulaya na marekani na wenyewe wana ccm iliyoshindwa kutatua changamoto za madawati zaidi ya miaka 50?
Anatumia kitu gani mkuuHivi wewe unatumia akili au kitu gani?
Wewe kwa nini hukuchimba Ili tusiwapigie magoti? Domo kubwa ila kichwa ni boga.Eti miaka 60 ya uhuru bado unawapigia watu magoti wakuchimbie matundu ya vyoo mashuleni!!!!
Wewe akili zako ni za kukuwezesha kusukuma kimba chooni tuu.Kwamba huyo mumeo angeenda kuwalipia wakulima pesa za mbolea au?Wewe nikikuita mjinga naona kama bado haitoshi, chagua mwenyewe nikuite nani? Angekuwepo JPM Baba, UOZO ulioikumba Tanzania kwa sasa hata usingekuwepo....
Aliwariga wajinga na kama ujuavyo nchi hii imejaa vilaza kiasi kwamba usipokuwa na roho ngumu huwezi kuongoza.Magufuli aliwaroga vibaya sana Wadanganyika. Kuna kauli zinatoka kwa wananchi map unajiuliza hivi hawa wananchi akili zao si timamu au ndo kurogwa kwenyewe
Wewe ndiye boga kabisa ambaye hujui nini wajibu wa serikali ambayo inakusanya kodi za wananchi.Wewe kwa nini hukuchimba Ili tusiwapigie magoti? Domo kubwa ila kichwa ni boga.
MasaburiAnatumia kitu gani mkuu