Mfumuko wa Bei Marekani na Ulaya: Nako Rais Samia alaumiwe Magufuli akumbukwe?

Mfumuko wa Bei Marekani na Ulaya: Nako Rais Samia alaumiwe Magufuli akumbukwe?

Imefika wakati watu waache kuweka matumaini kwa haya matakataka ya ccm yanayoitwa Viongozi
 
Wapi wana changamoto ya madawati na matundu ya choo


Tatizo nikujidharau kuliko pitiliza soma mambo hayo.
 
Wewe nikikuita mjinga naona kama bado haitoshi, chagua mwenyewe nikuite nani?

Angekuwepo JPM Baba, UOZO ulioikumba Tanzania kwa sasa hata usingekuwepo.

Mbolea kutoka sh.45,000/- hadi sh.100,000/-+ ni hatari sana.

Ni ongezeko la zaidi ya 100%.

Watu kama wewe ndo wapumbavu mnaoiharibu Tanzania.
Kwetu dumila moro 115000
 
Hapa Tanzania bwana siku hizi, kiila kitu utasikia lawama zinaenda kwa mama wa watu Rais Samia. Yani hata mahali hahusiki kabisa utasikia analaumiwa Mama wa watu kiasi kwamba tunajiuliza mnabebesha mizigo asiyostahili kiwa sababu yeye ni mwanamke na ninyi mmezoea viongozi wanaume au ndio hizo hila mbaya ndani ya chama chake?

Sasa hivi mnamlalamikia kupanda kwa bei za vitu, mnamlaumu hata kupanda kwa bei za mafuta na gesi. SHAME ON YOU, hata kama mmefungwa na minyonyoro ya mfumo dume, baasi angalau jifunzeni mambo yanavyoenda ili mlaumu wa haki.

Twene kwenye pointi. Ulaya na Marekani, mfumuko wa bei uko juu sana.

Ulaya muda huu (Mtaifa 19 wanachama wa EU), Mfumuko wa bei uko 4.9%. Hicho ndio kiwango cha juu zaidi tangu kuanzishwa kwa umoja wa Ulaya.
Bidhaa zimepanda sana, mafuta na gesi yako juu zikipanda kwa zaidi ya 26%.

Marekani mfumuko wa bei uko 6.2%, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 1982. Kuapnda kwa bei za bidhaa huko nako ni kwa ajabu, mafuta yako juu mno.

Haya, huko nako alaumiwe Samia na kukumbukwa Magufuli kama mnavyofanya hapa Tanzani? Maana watu wenye hila wanadai " OOOH, MAGUFULI ANGEKUWEPO"

Cmoon, ni ukweli wa mambo dunia nzima. Corona imetupia.

At least now chini ya Rais Samia tunaambiwa ukweli, nimeona hapa kwamba bodi ya takwimu ilisema ukweli kwamba na sisi mfumuko wa bei umepanda. Kuna kipindi hapa takwimu zilikuw azinapikwa tudanganywe kila kitu kiko poa wakati ukweli wa mambo tulikuwa tunaangamia.

MWISHO : Uchumi wa Dunia uko Taabani, but we must thank our President anafanya kazi nzuri kw auwazi kabisa. Tumuombee , tumuunge mkono na tuchape kazi.
Ulaya na Merekani wanatembeza mapanga wakati wa kurudisha form za kugombea na kulala mbele na mabegi ya kura?
 
Uganda wamewezaje na mfumuko wa bei wa 2%? Heb tuanzie hapo, kuliko kwenda mbali kote huko.
 
Hapa Tanzania bwana siku hizi, kiila kitu utasikia lawama zinaenda kwa mama wa watu Rais Samia. Yani hata mahali hahusiki kabisa utasikia analaumiwa Mama wa watu kiasi kwamba tunajiuliza mnabebesha mizigo asiyostahili kiwa sababu yeye ni mwanamke na ninyi mmezoea viongozi wanaume au ndio hizo hila mbaya ndani ya chama chake?

Sasa hivi mnamlalamikia kupanda kwa bei za vitu, mnamlaumu hata kupanda kwa bei za mafuta na gesi. SHAME ON YOU, hata kama mmefungwa na minyonyoro ya mfumo dume, baasi angalau jifunzeni mambo yanavyoenda ili mlaumu wa haki.

Twene kwenye pointi. Ulaya na Marekani, mfumuko wa bei uko juu sana.

Ulaya muda huu (Mtaifa 19 wanachama wa EU), Mfumuko wa bei uko 4.9%. Hicho ndio kiwango cha juu zaidi tangu kuanzishwa kwa umoja wa Ulaya.
Bidhaa zimepanda sana, mafuta na gesi yako juu zikipanda kwa zaidi ya 26%.

Marekani mfumuko wa bei uko 6.2%, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 1982. Kuapnda kwa bei za bidhaa huko nako ni kwa ajabu, mafuta yako juu mno.

Haya, huko nako alaumiwe Samia na kukumbukwa Magufuli kama mnavyofanya hapa Tanzani? Maana watu wenye hila wanadai " OOOH, MAGUFULI ANGEKUWEPO"

Cmoon, ni ukweli wa mambo dunia nzima. Corona imetupia.

At least now chini ya Rais Samia tunaambiwa ukweli, nimeona hapa kwamba bodi ya takwimu ilisema ukweli kwamba na sisi mfumuko wa bei umepanda. Kuna kipindi hapa takwimu zilikuw azinapikwa tudanganywe kila kitu kiko poa wakati ukweli wa mambo tulikuwa tunaangamia.

MWISHO : Uchumi wa Dunia uko Taabani, but we must thank our President anafanya kazi nzuri kw auwazi kabisa. Tumuombee , tumuunge mkono na tuchape kazi.
Hutegemei akili yako ndo maana unayasema hayo ukilinganisha na wamalekani.
Jifunze kujitegemea kwa kutumia akili uliyopewa na mungu.
 
Unakula kwa mama na baba utaijua vipi inflation ambayo haikugusi
 
Hapa Tanzania bwana siku hizi, kiila kitu utasikia lawama zinaenda kwa mama wa watu Rais Samia. Yani hata mahali hahusiki kabisa utasikia analaumiwa Mama wa watu kiasi kwamba tunajiuliza mnabebesha mizigo asiyostahili kiwa sababu yeye ni mwanamke na ninyi mmezoea viongozi wanaume au ndio hizo hila mbaya ndani ya chama chake?

Sasa hivi mnamlalamikia kupanda kwa bei za vitu, mnamlaumu hata kupanda kwa bei za mafuta na gesi. SHAME ON YOU, hata kama mmefungwa na minyonyoro ya mfumo dume, baasi angalau jifunzeni mambo yanavyoenda ili mlaumu wa haki.

Twene kwenye pointi. Ulaya na Marekani, mfumuko wa bei uko juu sana.

Ulaya muda huu (Mtaifa 19 wanachama wa EU), Mfumuko wa bei uko 4.9%. Hicho ndio kiwango cha juu zaidi tangu kuanzishwa kwa umoja wa Ulaya.
Bidhaa zimepanda sana, mafuta na gesi yako juu zikipanda kwa zaidi ya 26%.

Marekani mfumuko wa bei uko 6.2%, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 1982. Kuapnda kwa bei za bidhaa huko nako ni kwa ajabu, mafuta yako juu mno.

Haya, huko nako alaumiwe Samia na kukumbukwa Magufuli kama mnavyofanya hapa Tanzani? Maana watu wenye hila wanadai " OOOH, MAGUFULI ANGEKUWEPO"

Cmoon, ni ukweli wa mambo dunia nzima. Corona imetupia.

At least now chini ya Rais Samia tunaambiwa ukweli, nimeona hapa kwamba bodi ya takwimu ilisema ukweli kwamba na sisi mfumuko wa bei umepanda. Kuna kipindi hapa takwimu zilikuw azinapikwa tudanganywe kila kitu kiko poa wakati ukweli wa mambo tulikuwa tunaangamia.

MWISHO : Uchumi wa Dunia uko Taabani, but we must thank our President anafanya kazi nzuri kw auwazi kabisa. Tumuombee , tumuunge mkono na tuchape kazi.
Taifa la mzuzu hili, wao wamebakia kulaumu tu kila kitu,

Huyo magufuli wao sijui ana jema gani lakufanya hakumbukwe, labda la barabara kidogooo,

Yaani Nchi Ina mijitu mijinga Sana, Mama wa watu anajitaidi kutaka kuongoza Nchi kwa haki,wao hawataki, washazoea kuongozwa kidikteta mbwa hawa
 
Back
Top Bottom