The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ya kwakoMasaburi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kwakoMasaburi
Boga kama bichwa lako,Tzn iko mbinguni? Sio sehemu ya Dunia?Wewe ndiye boga kabisa ambaye hujui nini wajibu wa serikali ambayo inakusanya kodi za wananchi.
Kawaida yangu sibishani na mazuzu kama wewe wacha nikupige ban ili nisione uchafu wako.Boga kama bichwa lako,Tzn iko mbinguni? Sio sehemu ya Dunia?
Kwani mimi ninataka kuona takataka zako? Tafuta kubwa jinga mwenzio ndio mubishane.Kawaida yangu sibishani na mazuzu kama wewe wacha nikupige ban ili nisione uchafu wako.
Bora hao kuliko takataka kama wewe na waliokutuma.Imefika wakati watu waache kuweka matumaini kwa haya matakataka ya ccm yanayoitwa Viongozi
MatutusaAliwariga wajinga na kama ujuavyo nchi hii imejaa vilaza kiasi kwamba usipokuwa na roho ngumu huwezi kuongoza.
Ha ha Ccm majiziNaomba kuuliza hivi ulaya na marekani na wenyewe wana ccm iliyoshindwa kutatua changamoto za madawati zaidi ya miaka 50?
Wapi wana changamoto ya madawati na matundu ya choo
![]()
Waking up to America's water challenges
The US is experiencing unprecedented droughts and water shortages. What to do?www.globalcitizen.org
Kwetu dumila moro 115000Wewe nikikuita mjinga naona kama bado haitoshi, chagua mwenyewe nikuite nani?
Angekuwepo JPM Baba, UOZO ulioikumba Tanzania kwa sasa hata usingekuwepo.
Mbolea kutoka sh.45,000/- hadi sh.100,000/-+ ni hatari sana.
Ni ongezeko la zaidi ya 100%.
Watu kama wewe ndo wapumbavu mnaoiharibu Tanzania.
Nimeuliza madawati na matundu ya choo
![]()
America is suffering from a lack of public toilets
Apart from the embarrassment of getting caught short, having nowhere to go has serious political consequenceswww.economist.com
US hiyo Mzee wana uhaba wa vyoo 🤣 🤣 🤣Nimecheka sana. Hapo ndio iyo sekondari ya michigan haina vyoo, watoto wanasoma juu ya mawe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ccm ni janja janja
Huwezi watetea ccm kwa ili
Ulaya na Merekani wanatembeza mapanga wakati wa kurudisha form za kugombea na kulala mbele na mabegi ya kura?Hapa Tanzania bwana siku hizi, kiila kitu utasikia lawama zinaenda kwa mama wa watu Rais Samia. Yani hata mahali hahusiki kabisa utasikia analaumiwa Mama wa watu kiasi kwamba tunajiuliza mnabebesha mizigo asiyostahili kiwa sababu yeye ni mwanamke na ninyi mmezoea viongozi wanaume au ndio hizo hila mbaya ndani ya chama chake?
Sasa hivi mnamlalamikia kupanda kwa bei za vitu, mnamlaumu hata kupanda kwa bei za mafuta na gesi. SHAME ON YOU, hata kama mmefungwa na minyonyoro ya mfumo dume, baasi angalau jifunzeni mambo yanavyoenda ili mlaumu wa haki.
Twene kwenye pointi. Ulaya na Marekani, mfumuko wa bei uko juu sana.
Ulaya muda huu (Mtaifa 19 wanachama wa EU), Mfumuko wa bei uko 4.9%. Hicho ndio kiwango cha juu zaidi tangu kuanzishwa kwa umoja wa Ulaya.
Bidhaa zimepanda sana, mafuta na gesi yako juu zikipanda kwa zaidi ya 26%.
Marekani mfumuko wa bei uko 6.2%, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 1982. Kuapnda kwa bei za bidhaa huko nako ni kwa ajabu, mafuta yako juu mno.
Haya, huko nako alaumiwe Samia na kukumbukwa Magufuli kama mnavyofanya hapa Tanzani? Maana watu wenye hila wanadai " OOOH, MAGUFULI ANGEKUWEPO"
Cmoon, ni ukweli wa mambo dunia nzima. Corona imetupia.
At least now chini ya Rais Samia tunaambiwa ukweli, nimeona hapa kwamba bodi ya takwimu ilisema ukweli kwamba na sisi mfumuko wa bei umepanda. Kuna kipindi hapa takwimu zilikuw azinapikwa tudanganywe kila kitu kiko poa wakati ukweli wa mambo tulikuwa tunaangamia.
MWISHO : Uchumi wa Dunia uko Taabani, but we must thank our President anafanya kazi nzuri kw auwazi kabisa. Tumuombee , tumuunge mkono na tuchape kazi.
Hutegemei akili yako ndo maana unayasema hayo ukilinganisha na wamalekani.Hapa Tanzania bwana siku hizi, kiila kitu utasikia lawama zinaenda kwa mama wa watu Rais Samia. Yani hata mahali hahusiki kabisa utasikia analaumiwa Mama wa watu kiasi kwamba tunajiuliza mnabebesha mizigo asiyostahili kiwa sababu yeye ni mwanamke na ninyi mmezoea viongozi wanaume au ndio hizo hila mbaya ndani ya chama chake?
Sasa hivi mnamlalamikia kupanda kwa bei za vitu, mnamlaumu hata kupanda kwa bei za mafuta na gesi. SHAME ON YOU, hata kama mmefungwa na minyonyoro ya mfumo dume, baasi angalau jifunzeni mambo yanavyoenda ili mlaumu wa haki.
Twene kwenye pointi. Ulaya na Marekani, mfumuko wa bei uko juu sana.
Ulaya muda huu (Mtaifa 19 wanachama wa EU), Mfumuko wa bei uko 4.9%. Hicho ndio kiwango cha juu zaidi tangu kuanzishwa kwa umoja wa Ulaya.
Bidhaa zimepanda sana, mafuta na gesi yako juu zikipanda kwa zaidi ya 26%.
Marekani mfumuko wa bei uko 6.2%, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 1982. Kuapnda kwa bei za bidhaa huko nako ni kwa ajabu, mafuta yako juu mno.
Haya, huko nako alaumiwe Samia na kukumbukwa Magufuli kama mnavyofanya hapa Tanzani? Maana watu wenye hila wanadai " OOOH, MAGUFULI ANGEKUWEPO"
Cmoon, ni ukweli wa mambo dunia nzima. Corona imetupia.
At least now chini ya Rais Samia tunaambiwa ukweli, nimeona hapa kwamba bodi ya takwimu ilisema ukweli kwamba na sisi mfumuko wa bei umepanda. Kuna kipindi hapa takwimu zilikuw azinapikwa tudanganywe kila kitu kiko poa wakati ukweli wa mambo tulikuwa tunaangamia.
MWISHO : Uchumi wa Dunia uko Taabani, but we must thank our President anafanya kazi nzuri kw auwazi kabisa. Tumuombee , tumuunge mkono na tuchape kazi.
Taifa la mzuzu hili, wao wamebakia kulaumu tu kila kitu,Hapa Tanzania bwana siku hizi, kiila kitu utasikia lawama zinaenda kwa mama wa watu Rais Samia. Yani hata mahali hahusiki kabisa utasikia analaumiwa Mama wa watu kiasi kwamba tunajiuliza mnabebesha mizigo asiyostahili kiwa sababu yeye ni mwanamke na ninyi mmezoea viongozi wanaume au ndio hizo hila mbaya ndani ya chama chake?
Sasa hivi mnamlalamikia kupanda kwa bei za vitu, mnamlaumu hata kupanda kwa bei za mafuta na gesi. SHAME ON YOU, hata kama mmefungwa na minyonyoro ya mfumo dume, baasi angalau jifunzeni mambo yanavyoenda ili mlaumu wa haki.
Twene kwenye pointi. Ulaya na Marekani, mfumuko wa bei uko juu sana.
Ulaya muda huu (Mtaifa 19 wanachama wa EU), Mfumuko wa bei uko 4.9%. Hicho ndio kiwango cha juu zaidi tangu kuanzishwa kwa umoja wa Ulaya.
Bidhaa zimepanda sana, mafuta na gesi yako juu zikipanda kwa zaidi ya 26%.
Marekani mfumuko wa bei uko 6.2%, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 1982. Kuapnda kwa bei za bidhaa huko nako ni kwa ajabu, mafuta yako juu mno.
Haya, huko nako alaumiwe Samia na kukumbukwa Magufuli kama mnavyofanya hapa Tanzani? Maana watu wenye hila wanadai " OOOH, MAGUFULI ANGEKUWEPO"
Cmoon, ni ukweli wa mambo dunia nzima. Corona imetupia.
At least now chini ya Rais Samia tunaambiwa ukweli, nimeona hapa kwamba bodi ya takwimu ilisema ukweli kwamba na sisi mfumuko wa bei umepanda. Kuna kipindi hapa takwimu zilikuw azinapikwa tudanganywe kila kitu kiko poa wakati ukweli wa mambo tulikuwa tunaangamia.
MWISHO : Uchumi wa Dunia uko Taabani, but we must thank our President anafanya kazi nzuri kw auwazi kabisa. Tumuombee , tumuunge mkono na tuchape kazi.
Unataka Samia akuletee mkate,au wakati wa magufuli alikuwa anagawa mikate,fanya kazi bintiUnakula kwa mama na baba utaijua vipi inflation ambayo haikugusi