Mimi nitakuamini siku nikiona unapaa mbinguni live mchana kweupe.Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
Wivu tu unakusumbuaUongo!! Hiyo ni uwongo bana!!!
Acha fixHabari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
ππππMadam Kwanini usinwambie ukweli tuπ€£
Vipi umepata ulichofungia hizo siku 40?Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
Kufunga unajua ww, yaan usiku na mchana masaa 24 ndo siku moja bila kuonja kitu chochote Wallah hutoboi siku 5, au labda kama kuna maana ya funga nyingine, labda kutokul nyama kwa siku 40, au ugali nk, ila sio ile funga tuijuayoWivu tu unakusumbua
Ni siku kavu ama nusu siku?Hapana ila ni kwa uwezo wa mungu
Hongera. Nielewavyo mimi, mfungo huwa ni siri ya mfungaji na Mungu wake, si matangazo.Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo