Mgawo mkali wa umeme na maji unaoendelea nchini ni wazi kabisa watendaji wa Serikali mnaihujumu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Mgawo mkali wa umeme na maji unaoendelea nchini ni wazi kabisa watendaji wa Serikali mnaihujumu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Swala la hujuma au hakuna hujuma sio la muhimu,muhimu ni kwamba uongozi unachukua hatua gani? Over
 
TOO Defensive, Darling!

This's a defensive version of saying "No alternative plan at all"!

No alternative kwa sababu tunaishi kwa kutegemea kudra za Mwenyezi Mungu...

Pawapo na mvua za kutosha za kujaza mito, maji yatapatikana kwa kiwango cha kuridhisha kule maeneo lalamishi!!

Pasipokuwa na mvua za kutosha, ndo haya yaliyopo sasa!!

Sasa kutakuwa na watu wanaomhujumu Samia if, and only if, hao watu wana uwezo wa kuleta mvua! Kinyume na hayo, wanaomhujumu SSH ni yeye mwenyewe na Serikali yake ya CCM ambayo haina njia mbadala kwa maeneo yanayotegemea maji ya kwenye mito!!

So, kwa miji kama Dar es salaam permanent solution ni moja TU: Ama serikali ivute maji kutoka Lake Victoria, au ifanye desalination, au itafute chanzo kikubwa cha maji ya ardhini. Moja kati ya hizo ndo solution na sio Wami, Ruvu, wala Mto Rufiji!!
Kuhujumiwa raisi kupo, mfano Kuna mikoa haitegemei maji ya mito mfano mikoa ya kanda ya ziwa inategemea maji ya ziwa Victoria Ila nayo kwa sasa Kuna mgao mkali wa maji. Au unataka kusema ziwa nalo maji yamepungua?
 
Ruvu na wami maji yamepungua, akija mpya atayapata wapi hayo maji.
Kwa wanajitegemea maji ya ziwa Victoria nao vipi? Ziwa limepungua maji?

Waziri amemuangusha raisi, nashauri ampe onyo Kali.

Kwa dar tunasema mto ruvu umepungua mai, vipi kwa mikoa ya kanda ya ziwa wanaotumia maji ya ziwa Victoria?
 
Kuhujumiwa raisi kupo, mfano Kuna mikoa haitegemei maji ya mito mfano mikoa ya kanda ya ziwa inategemea maji ya ziwa Victoria Ila nayo kwa sasa Kuna mgao mkali wa maji. Au unataka kusema ziwa nalo maji yamepungua?
Hujasikia kuna mkataba wa maji ya ziwa Victoria kwenda kwa Waarabu Misri? Hivi nyie watu mnaishi wapi?
 
Hujasikia kuna mkataba wa maji ya ziwa Victoria kwenda kwa Waarabu Misri? Hivi nyie watu mnaishi wapi?
Inahusiana vipi? Au huo mkataba umeanza mwezi uliopita? Mradi uloshakamilika toka mwaka Jana na maji yalianza kutumika, Ila kwa miezi miwili hivi shida ya maji ndio imekua kubwa sana
 
Hiki kinachoendelea kimyakimya ni mchakato wa kuturudisha kuleee miaka ilee ya 2005, 2006, 2007...... miaka ambayo Dar Es Salaam na Tanzania kwa ujumla ilikua imepambwa na mikokoteni ilishosheheni madumu ya korie yaliyobeba maji na magari yenye matank ya maji kila kona.

Kwa kasi ya ajabu tunarudi miaka Ile ambayo mazingira yalikua yamepambwa kwa sauti za majenereta usiku na mchana

Au ndio ule mkakati wa kuutaka urais umeanza!? Acheni mambo yenu buana. Mama Samia yupo sana bado, ndio kwanza kumekucha

Hali ni mbaya sana na hatari kwa afya kwa jiji lenye wakazi wengi zaidi nchini, Dar Es Salaam. Watu tumepona kwenye corona lakini sasa mnataka kutulazimisha tufe kwa kipindupindu

Watendaji mnaohusika kwenye haya maeneo fanyeni kile kilichokua kinafanyika miaka mitano iliyopita hadi tukasahau kabisa kero ya umeme na maji. Kupewa nafasi ya kuhudumia wananchi kwa huduma muhimu kama umeme na maji halafu hao wananchi wakakosa hizo huduma ni wazi kabisa kwamba kufanya imeshindikana. Bora kuiacha office kuliko kukaa kwenye office halafu huduma asipatikane

Tanesco na idara za maji sisi wananchi tunamuamini rais wetu na yeye amewaamini nyie. Mnapopewa dhamana ya kutuhudumia halafu mnaamua kutuhujumu tutapaza sauti kwamba kazi imewashinda. Heri kuteua na kutumbua kuliko wananchi kuteseka kwa kukosa huduma za msingi tena ambazo wanazichangia kwa kodi zao wenyewe

Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee

Cc Wizara ya Afya Tanzania


Asante TANESCO kwa majibu mazuri ya mipango ya kupambana na shida ya umeme ya muda mfupi na muda mrefu.
Sisi wananchi tunafarijika sana mnaposikia sauti zetu na kutujibu kama hivi
Ila sasa mjitahidi kwenda na hiyo mipango kwa wakati ili mwakani muda kama huu kukawa na tatizo hilihili na majibu yakawa hayahaya

Plan nzuri bila utekelezaji makini na kwa wakati inakua mbaya zaidi kwa wananchi waliokua na subra, Rais amewaamini abajua nyie ni wataalamu mnaoweza kumsaidia kuwahudumia watu wake. Basi msiipoteze imani ya watanzania kwa serikali yao

Tanesco Kazi iendelee 👍
Mama D
Hebu tupe mtonyo watendaji walivyozuia mvua huko juu!
 
Huyo mama yenu kila siku yeye anahujumiwa tu!!

Hawezi kubeba majukumu ya Urais na kutenda kazi inavyompasa?

Amebweteka tu na maushungi hawajibiki zaidi ya kulalamika anahujumiwa?

Ni nani anayemuhujumu? Acheni USANII nyie.

Nchi imewashinda mnajificha kwenye visingizio uchwara. Ati anahujumiwa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanaohujuwima ni sisi wananchi, mama kwani Miss Nini katika maisha yake. Kama ni umeme kwake haukati, kama ni maji yapo ya kumwaga. Tunaohujumiwa ni sisi tunaoshinda kutwa mzima kutafuta maji
 
Kuhujumiwa raisi kupo, mfano Kuna mikoa haitegemei maji ya mito mfano mikoa ya kanda ya ziwa inategemea maji ya ziwa Victoria Ila nayo kwa sasa Kuna mgao mkali wa maji. Au unataka kusema ziwa nalo maji yamepungua?
Ukiangalia mada yangu ime-base kwenye mikoa inayotumia maji ya mito kwa sababu moja ya mikoa hiyo ni Dar es salaam, na ni Dar e salaam ndiko ambako likitokea tatizo basi siku hiyo hiyo malalamiko yatasambaa kila kona!

Tukirudi huko wanakotegemea ziwa, especially Ziwa Viktoria... tujiulize hilo tatizo lipo sasa tu au linaonekana sasa kwavile Dar kuna tatizo?!

Binafsi sifahamu lolote kuhusu hilo kwa sababu siishi huko but the question is: Huko wanakulalamika kwamba kuna tatizo la maji, je, mradi wa maji Ziwa Viktoria ulishafika?!

Sometimes watu wanalalamika kwa kuona wanapata shida ya maji wapo karibu na ziwa, na wanapata hiyo shida kwa sababu mradi hujafika... katika mazingira kama hayo huwezi kuita hujuma bali ni serikali yenyewe kushindwa kusambaza huduma kila mahali!
 
Hii comment sio ya kupuuza, hii ndio picha wanayopewa watanzania kuhusu serikali yao, na ujumbe uwafikie
#WaziriMwenyeDhamanaYaUmeme
#WaziriMwenyeDhamanaYaMaji
#IdaraZoteZinazohusika

Sisi wananchi tunasema mama yetu Samia anza kuwashughulika wote wanaoshindwa kuhudumia wananchi. Tumbua mama uteue walio tayari kufanya kazi usiku na mchana kuondoa hizi kero ndogondogo kwa wananchi
Yule dikteta alikuwa hadi anapiga humohumo na haukatiki watu wakawa wanaharakatii.... Sasa wanapiga na hatupati,
 
Huyo mama yenu kila siku yeye anahujumiwa tu!!

Hawezi kubeba majukumu ya Urais na kutenda kazi inavyompasa?

Amebweteka tu na maushungi hawajibiki zaidi ya kulalamika anahujumiwa?

Ni nani anayemuhujumu? Acheni USANII nyie.

Nchi imewashinda mnajificha kwenye visingizio uchwara. Ati anahujumiwa!
Mkuu lawama zinaumiza nafsi yako tu hazikusaidii wala hazisaidii matatizo yako yakafikia mwisho.

SSH anafanya kazi kubwa sana tembea huko mikoani sio unalalama ukiwa ndani ya nyumba yako sehemu fulani ya Dar.
 
Hiki kinachoendelea kimyakimya ni mchakato wa kuturudisha kuleee miaka ilee ya 2005, 2006, 2007...... miaka ambayo Dar Es Salaam na Tanzania kwa ujumla ilikua imepambwa na mikokoteni ilishosheheni madumu ya korie yaliyobeba maji na magari yenye matank ya maji kila kona.

Kwa kasi ya ajabu tunarudi miaka Ile ambayo mazingira yalikua yamepambwa kwa sauti za majenereta usiku na mchana

Au ndio ule mkakati wa kuutaka urais umeanza!? Acheni mambo yenu buana. Mama Samia yupo sana bado, ndio kwanza kumekucha

Hali ni mbaya sana na hatari kwa afya kwa jiji lenye wakazi wengi zaidi nchini, Dar Es Salaam. Watu tumepona kwenye corona lakini sasa mnataka kutulazimisha tufe kwa kipindupindu

Watendaji mnaohusika kwenye haya maeneo fanyeni kile kilichokua kinafanyika miaka mitano iliyopita hadi tukasahau kabisa kero ya umeme na maji. Kupewa nafasi ya kuhudumia wananchi kwa huduma muhimu kama umeme na maji halafu hao wananchi wakakosa hizo huduma ni wazi kabisa kwamba kufanya imeshindikana. Bora kuiacha office kuliko kukaa kwenye office halafu huduma asipatikane

Tanesco na idara za maji sisi wananchi tunamuamini rais wetu na yeye amewaamini nyie. Mnapopewa dhamana ya kutuhudumia halafu mnaamua kutuhujumu tutapaza sauti kwamba kazi imewashinda. Heri kuteua na kutumbua kuliko wananchi kuteseka kwa kukosa huduma za msingi tena ambazo wanazichangia kwa kodi zao wenyewe

Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee

Cc Wizara ya Afya Tanzania


Asante TANESCO kwa majibu mazuri ya mipango ya kupambana na shida ya umeme ya muda mfupi na muda mrefu.
Sisi wananchi tunafarijika sana mnaposikia sauti zetu na kutujibu kama hivi
Ila sasa mjitahidi kwenda na hiyo mipango kwa wakati ili mwakani muda kama huu kukawa na tatizo hilihili na majibu yakawa hayahaya

Plan nzuri bila utekelezaji makini na kwa wakati inakua mbaya zaidi kwa wananchi waliokua na subra, Rais amewaamini abajua nyie ni wataalamu mnaoweza kumsaidia kuwahudumia watu wake. Basi msiipoteze imani ya watanzania kwa serikali yao

Tanesco Kazi iendelee 👍
Nchi imewashinda mnasema mnahujumiwa, mnapoelekea mtasema uhaba wa maji unasababishwa na wapinzani
 
Back
Top Bottom