Mgawo mkali wa umeme na maji unaoendelea nchini ni wazi kabisa watendaji wa Serikali mnaihujumu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Mgawo mkali wa umeme na maji unaoendelea nchini ni wazi kabisa watendaji wa Serikali mnaihujumu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Wananchi Wana wazoom tu ngoja walete hizo hoja nyepesi 2025 watajua wanapendwa wao au hayati [emoji23]
Unategemea kura uwaangushe
Upige usipige wanapita tuunafikiri
Hawajui

Ova
 
Hiki kinachoendelea kimyakimya ni mchakato wa kuturudisha kuleee miaka ilee ya 2005, 2006, 2007...... miaka ambayo Dar Es Salaam na Tanzania kwa ujumla ilikua imepambwa na mikokoteni ilishosheheni madumu ya korie yaliyobeba maji na magari yenye matank ya maji kila kona.
1. Unaamini kwamba kuna tishio la ukame, na kwamba mito imepungua sana maji?!

2. Kama HUAMINI, well and good, lakini kama unaamini, unaweza kunitajia alternative ya kupata maji safi na salama kwa mahali kama Dar es salaam ni ipi inapotokea mito kupungua maji?!
 
1. Unaamini kwamba kuna tishio la ukame, na kwamba mito imepungua sana maji?!

2. Kama HUAMINI, well and good, lakini kama unaamini, unaweza kunitajia alternative ya kupata maji safi na salama kwa mahali kama Dar es salaam ni ipi inapotokea mito kupungua maji?!
Kama viongozi waliowekwa/waliochaguliwa na wananchi hawawezi kuja na alternatives sioni sababu ya wao kuwepo madarakani au kutuongoza.

Mito kukauka maji na ukame isiwe sababu ya ukosefu wa maji, zipo alternatives, bahati mbaya watu wapo tu, wamekaa tu maofisini wakisubiri paychecks zao. Creativity kwa mtu mweusi limekuwa tatizo kubwa.
 
1. Unaamini kwamba kuna tishio la ukame, na kwamba mito imepungua sana maji?!

2. Kama HUAMINI, well and good, lakini kama unaamini, unaweza kunitajia alternative ya kupata maji safi na salama kwa mahali kama Dar es salaam ni ipi inapotokea mito kupungua maji?!

Mito kupungua maji wakati wa kiangazi na mito kufurika maji wakati wa mvua sio kitu kipya, sio tukio la kushtukizwa

Ipi mipango iliyowekwa kukabiliana na wakati wa kupungua kwa maji ili kuhakikisha haiathiri maisha ya mtanzania? Kama mipango haipo au haitekelezeki basi kazi imewashinda wenye dhamana
 
Mito kupungua maji wakati wa kiangazi na mito kufurika maji wakati wa mvua sio kitu kipya, sio tukio la kushtukizwa

Ipi mipango iliyowekwa kukabiliana na wakati wa kupungua kwa maji ili kuhakikisha haiathiri maisha ya mtanzania? Kama mipango haipo au haitekelezeki basi kazi imewashinda wenye dhamana
Wenzetu huko kazi ikiwashinda wanaachia wengine waongoze, hawa wa kwetu wakikaa kwenye viti vyao wanakuwa miungu, hawasikilizi la mtu, wakisemwa wanatuambia tuhamie nchi jirani, hakuna uwajibikaji hata kidogo.
 
Mito kupungua maji wakati wa kiangazi na mito kufurika maji wakati wa mvua sio kitu kipya, sio tukio la kushtukizwa
TOO Defensive, Darling!
Ipi mipango iliyowekwa kukabiliana na wakati wa kupungua kwa maji ili kuhakikisha haiathiri maisha ya mtanzania? Kama mipango haipo au haitekelezeki basi kazi imewashinda wenye dhamana
This's a defensive version of saying "No alternative plan at all"!

No alternative kwa sababu tunaishi kwa kutegemea kudra za Mwenyezi Mungu...

Pawapo na mvua za kutosha za kujaza mito, maji yatapatikana kwa kiwango cha kuridhisha kule maeneo lalamishi!!

Pasipokuwa na mvua za kutosha, ndo haya yaliyopo sasa!!

Sasa kutakuwa na watu wanaomhujumu Samia if, and only if, hao watu wana uwezo wa kuleta mvua! Kinyume na hayo, wanaomhujumu SSH ni yeye mwenyewe na Serikali yake ya CCM ambayo haina njia mbadala kwa maeneo yanayotegemea maji ya kwenye mito!!

So, kwa miji kama Dar es salaam permanent solution ni moja TU: Ama serikali ivute maji kutoka Lake Victoria, au ifanye desalination, au itafute chanzo kikubwa cha maji ya ardhini. Moja kati ya hizo ndo solution na sio Wami, Ruvu, wala Mto Rufiji!!
 
07 Septemba 2022

Ni kweli kumekuwepo uhaba wa mvua uliojitokeza kwenye maeneo mengi ya nchi yetu kwenye miezi ya hivi karibuni, uhaba huu umesababisha kuwepo kwa upungufu wa kina cha maji kwenye mabwawa ya kufua umeme kwa kutumia maji hivyo kuathiri hali ya uzalishaji wa umeme kwenye baadhi ya vyanzo vinavyotumia maji.

Aidha, ili kuhakikisha kuwa utoaji wa huduma ya umeme inaimarishwa nchini, Shirika limeshachukua hatua mbalimbali za muda mfupi na za muda mrefu kama ifuatavyo;

Mipango ya muda mfupi

[emoji625] Kuanzisha kituo cha kuzalisha umeme kwa njia ya Gesi asilia cha Ubungo III ambacho kimeshakamilika na kuingiza jumla ya Megawati 112 za umeme kwenye Gridi ya Taifa tangu mwanzoni mwa mwaka 2022.

[emoji625]Kuanzisha kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia Gesi asilia cha Kinyerezi I Extension kitakachozalisha jumla ya megawati 185.

Tayari megawati 45 zimeshaingizwa kwenye Gridi ya Taifa na megawati zilizobakia zitaingizwa kwenye Gridi ya Taifa hadi kufikia mwanzoni mwa mwaka ujao.

[emoji625]Mradi wa kufua umeme wa Rusumo kwa kutumia maji.
Mradi huu unaozihusisha nchi tatu (Tanzania, Rwanda na Burundi) utakapokamilika, unategemewa kufua jumla ya megawati 80 za umeme, ambapo kwa upande wa Tanzania, tutapata megawati 27 za umeme zitakazoingizwa kwenye Gridi ya Taifa.

[emoji625]Mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu ya jua wa Kishapu, Shinyanga.
Mradi huu unategemewa kuanza ujenzi wake Novemba 2022 na kukamilika Disemba 2023, utaingiza jumla ya megawati 150 za umeme kwenye Gridi ya Taifa.

[emoji625]Mradi wa kupeleka Gridi ya Taifa kwenye wilaya za mkoa wa Kigoma.
Tayari umeme wa Gridi ya Taifa umeshapelekwa kwenye wilaya ya Kibondo.
Serikali imeanza kuokoa jumla ya Tsh.9.44 bilioni kwa mwaka zilizokuwa zikitumika kununulia mafuta ya dizeli na kutengeneza mitambo (jenereta).
Mpango uliopo ni kuufikisha umme wa Gridi ya Taifa kwenye Wilaya ya Kasulu hadi Kigoma mjini kabla ya mwisho wa mwaka huu wa 2022 kufika.

Mipango ya muda mrefu

[emoji625]Mradi wa kufua umeme kwa kutumia maji wa bwawa la Julius Nyerere (JNHPP).

[emoji625]Mradi huu umefikia asilimia 71 ya utekelezaji wake.
Mradi utakapokamilika mnamo mwezi Juni 2024, unategemewa kuingiza megawati 2115 za umeme kwenye Gridi ya Taifa.

[emoji625]Kwa hatua hizi Shirika ilizozichuka zimesaidia kuimarisha hali ya upatikanaji umeme nchini na iwapo jitihada hizi zisingechukuliwa, basi ya upatikanaji umeme nchini kwa sasa ingekuwa ipo vibaya zaidi.
Maneno mengi kuliko umeme mtaani

[emoji706]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Yaani wewe akili zako sijui unakopaga wapi
Unaongeaongeaga na kuandikaandika vitu vya aina yako. Yaani dah, huruma
Hujaona point kati hayo alio andika? Je umejipa mda kidogo kumuelewa ?
 
Wanasema maji kwenye mabwawa yote matatu yamepungua (Magufuli alishaambiwa akakaza shingo) sasa kuna katazo kubwa sanaa hata kuanzisha chujio mpya za maji kwenye mito mbali mbali.

Inasemwa harakati za kuhahakisha kwamba maji yanafika kwenye Bwawa la Nyerere ndiyo kipaumbele kwa sasa. Na wataalam (Siyo wanasiasa) wanasema inawezekana kitaalam mitambo ya kuzalishia umeme kuwashwa mwaka 2027 chini ya hapo itawashwa kisiasa kuwafurahisha wajinga.

Maana kulijaza lile bwawa siyo shughuli ndogo ati!!
"wanasema maji kwenye mabwaya yote matatu ya mepungua"

Je ni Kweli? Au wewe waonaje Khali mito inayo pereka maji huko? Hapo Ipogoro mto Ruahaha unamaji Ya kutosha
 
Hivi wale waganga wa kutengeneza mvua aliowatafuta Lowasa wamekufa au bado wako hai? Muombeni Mzee Lowasa akawatafute tena
 
Nini kifanyike ili Mama amtimue Waziri wa Maji? au ni mpaka Wananchi wafe kwa kiu?
Kwanini waziri wa maji na siyo hao wengine ambao wizara zao ndizo zimeanza kuharibu? Mnawanga mchana nyie!
 
Kwanini waziri wa maji na siyo hao wengine ambao wizara zao ndizo zimeanza kuharibu? Mnawanga mchana nyie!
Labda kama hunisomagi, kila Waziri akiboronga huwa tunashauri apumzishwe.

Hakuna Conspiracy yoyote mzee.
 
Back
Top Bottom