mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Unategemea kura uwaangusheWananchi Wana wazoom tu ngoja walete hizo hoja nyepesi 2025 watajua wanapendwa wao au hayati [emoji23]
Upige usipige wanapita tuunafikiri
Hawajui
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unategemea kura uwaangusheWananchi Wana wazoom tu ngoja walete hizo hoja nyepesi 2025 watajua wanapendwa wao au hayati [emoji23]
Nadhani kilichobaki ni madaktari wa akili kuthibitisha, ila kwa dalili zote Yoda ana shida kichwaniBUSH BIN LADEN mbona kicheko
Kuna kuongea na kuongeaongea☺☺☺
1. Unaamini kwamba kuna tishio la ukame, na kwamba mito imepungua sana maji?!Hiki kinachoendelea kimyakimya ni mchakato wa kuturudisha kuleee miaka ilee ya 2005, 2006, 2007...... miaka ambayo Dar Es Salaam na Tanzania kwa ujumla ilikua imepambwa na mikokoteni ilishosheheni madumu ya korie yaliyobeba maji na magari yenye matank ya maji kila kona.
Kama viongozi waliowekwa/waliochaguliwa na wananchi hawawezi kuja na alternatives sioni sababu ya wao kuwepo madarakani au kutuongoza.1. Unaamini kwamba kuna tishio la ukame, na kwamba mito imepungua sana maji?!
2. Kama HUAMINI, well and good, lakini kama unaamini, unaweza kunitajia alternative ya kupata maji safi na salama kwa mahali kama Dar es salaam ni ipi inapotokea mito kupungua maji?!
1. Unaamini kwamba kuna tishio la ukame, na kwamba mito imepungua sana maji?!
2. Kama HUAMINI, well and good, lakini kama unaamini, unaweza kunitajia alternative ya kupata maji safi na salama kwa mahali kama Dar es salaam ni ipi inapotokea mito kupungua maji?!
Wenzetu huko kazi ikiwashinda wanaachia wengine waongoze, hawa wa kwetu wakikaa kwenye viti vyao wanakuwa miungu, hawasikilizi la mtu, wakisemwa wanatuambia tuhamie nchi jirani, hakuna uwajibikaji hata kidogo.Mito kupungua maji wakati wa kiangazi na mito kufurika maji wakati wa mvua sio kitu kipya, sio tukio la kushtukizwa
Ipi mipango iliyowekwa kukabiliana na wakati wa kupungua kwa maji ili kuhakikisha haiathiri maisha ya mtanzania? Kama mipango haipo au haitekelezeki basi kazi imewashinda wenye dhamana
TOO Defensive, Darling!Mito kupungua maji wakati wa kiangazi na mito kufurika maji wakati wa mvua sio kitu kipya, sio tukio la kushtukizwa
This's a defensive version of saying "No alternative plan at all"!Ipi mipango iliyowekwa kukabiliana na wakati wa kupungua kwa maji ili kuhakikisha haiathiri maisha ya mtanzania? Kama mipango haipo au haitekelezeki basi kazi imewashinda wenye dhamana
Maneno mengi kuliko umeme mtaani07 Septemba 2022
Ni kweli kumekuwepo uhaba wa mvua uliojitokeza kwenye maeneo mengi ya nchi yetu kwenye miezi ya hivi karibuni, uhaba huu umesababisha kuwepo kwa upungufu wa kina cha maji kwenye mabwawa ya kufua umeme kwa kutumia maji hivyo kuathiri hali ya uzalishaji wa umeme kwenye baadhi ya vyanzo vinavyotumia maji.
Aidha, ili kuhakikisha kuwa utoaji wa huduma ya umeme inaimarishwa nchini, Shirika limeshachukua hatua mbalimbali za muda mfupi na za muda mrefu kama ifuatavyo;
Mipango ya muda mfupi
[emoji625] Kuanzisha kituo cha kuzalisha umeme kwa njia ya Gesi asilia cha Ubungo III ambacho kimeshakamilika na kuingiza jumla ya Megawati 112 za umeme kwenye Gridi ya Taifa tangu mwanzoni mwa mwaka 2022.
[emoji625]Kuanzisha kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia Gesi asilia cha Kinyerezi I Extension kitakachozalisha jumla ya megawati 185.
Tayari megawati 45 zimeshaingizwa kwenye Gridi ya Taifa na megawati zilizobakia zitaingizwa kwenye Gridi ya Taifa hadi kufikia mwanzoni mwa mwaka ujao.
[emoji625]Mradi wa kufua umeme wa Rusumo kwa kutumia maji.
Mradi huu unaozihusisha nchi tatu (Tanzania, Rwanda na Burundi) utakapokamilika, unategemewa kufua jumla ya megawati 80 za umeme, ambapo kwa upande wa Tanzania, tutapata megawati 27 za umeme zitakazoingizwa kwenye Gridi ya Taifa.
[emoji625]Mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu ya jua wa Kishapu, Shinyanga.
Mradi huu unategemewa kuanza ujenzi wake Novemba 2022 na kukamilika Disemba 2023, utaingiza jumla ya megawati 150 za umeme kwenye Gridi ya Taifa.
[emoji625]Mradi wa kupeleka Gridi ya Taifa kwenye wilaya za mkoa wa Kigoma.
Tayari umeme wa Gridi ya Taifa umeshapelekwa kwenye wilaya ya Kibondo.
Serikali imeanza kuokoa jumla ya Tsh.9.44 bilioni kwa mwaka zilizokuwa zikitumika kununulia mafuta ya dizeli na kutengeneza mitambo (jenereta).
Mpango uliopo ni kuufikisha umme wa Gridi ya Taifa kwenye Wilaya ya Kasulu hadi Kigoma mjini kabla ya mwisho wa mwaka huu wa 2022 kufika.
Mipango ya muda mrefu
[emoji625]Mradi wa kufua umeme kwa kutumia maji wa bwawa la Julius Nyerere (JNHPP).
[emoji625]Mradi huu umefikia asilimia 71 ya utekelezaji wake.
Mradi utakapokamilika mnamo mwezi Juni 2024, unategemewa kuingiza megawati 2115 za umeme kwenye Gridi ya Taifa.
[emoji625]Kwa hatua hizi Shirika ilizozichuka zimesaidia kuimarisha hali ya upatikanaji umeme nchini na iwapo jitihada hizi zisingechukuliwa, basi ya upatikanaji umeme nchini kwa sasa ingekuwa ipo vibaya zaidi.
Hujaona point kati hayo alio andika? Je umejipa mda kidogo kumuelewa ?Yaani wewe akili zako sijui unakopaga wapi
Unaongeaongeaga na kuandikaandika vitu vya aina yako. Yaani dah, huruma
Ndiyo sababu ya kutokunyesha Mvua?Tatizo la kuwa na wake wawili
Maneno ya mtoto na ya kichaa sio ya kudharau maana huwa hawajui kusema uwongo wanasema walichokiona.Rais akimuamini si inatosha!?
Chalamila piga kazi bro
"wanasema maji kwenye mabwaya yote matatu ya mepungua"Wanasema maji kwenye mabwawa yote matatu yamepungua (Magufuli alishaambiwa akakaza shingo) sasa kuna katazo kubwa sanaa hata kuanzisha chujio mpya za maji kwenye mito mbali mbali.
Inasemwa harakati za kuhahakisha kwamba maji yanafika kwenye Bwawa la Nyerere ndiyo kipaumbele kwa sasa. Na wataalam (Siyo wanasiasa) wanasema inawezekana kitaalam mitambo ya kuzalishia umeme kuwashwa mwaka 2027 chini ya hapo itawashwa kisiasa kuwafurahisha wajinga.
Maana kulijaza lile bwawa siyo shughuli ndogo ati!!
Kwani hujui dhambi hii inazaa matatizo mengi?Ndiyo sababu ya kutokunyesha Mvua?
CCM ina tabia ya kutengeneza na kutatua matatizo ya wananchiMaji ya kuziandaa hakuna na umeme wa kuzigandisha hakuna pia
Sa tutaponea wapi mrangi😎😎😎
Kwanini waziri wa maji na siyo hao wengine ambao wizara zao ndizo zimeanza kuharibu? Mnawanga mchana nyie!Nini kifanyike ili Mama amtimue Waziri wa Maji? au ni mpaka Wananchi wafe kwa kiu?
Labda kama hunisomagi, kila Waziri akiboronga huwa tunashauri apumzishwe.Kwanini waziri wa maji na siyo hao wengine ambao wizara zao ndizo zimeanza kuharibu? Mnawanga mchana nyie!