Mgawo mkali wa umeme na maji unaoendelea nchini ni wazi kabisa watendaji wa Serikali mnaihujumu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Mgawo mkali wa umeme na maji unaoendelea nchini ni wazi kabisa watendaji wa Serikali mnaihujumu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Muda wa Asali huu na Maendeleo binafsi ya watu.
Hayo ma umeme na maji ni maendeleo ya vitu, na maendeleo ya vitu aliondoka nayo mwendazake.
Tafta channel ya asali ununue jenereta lako, uchimbe kisima chako uache malalamiko.
Ushamba mzigo.

Nchi hii tumepata Uhuru hatuna hata bwawa moja la Umeme. Kila jambo lazima mumpe sifa mwendazake. Mnachora picha kwenye maji, haitaonnekana kamwe.
 
Msichoelewa ni kwamba, haya mambo hayawezi kufanyika bila kumpa her excellency briefing. Kama tatizo ni uhaba wa maji, miundombinu kurekebishwa mimi naamini lazima ajulishwe.

Na mmbado, tatizo ni serikali ya ccm.
 
Ushamba mzigo.

Nchi hii tumepata mzigo hatuna hata bwawa moja la Umeme. Kila jambo lazima mumpe sifa mwendazake. Mnachora picha kwenye maji, haitaonnekana kamwe.
Kwani uongo?

Si hamtaki maendeleo ya vitu nyie?

Mnataka asali tu!! Haya lambeni asali ya majenereta.

Wacha mnyooshwe na watoto wa mjini wanaojua kucheza na akili za mazuzu ya danganyika.
 
Uongo mtupu.
Wewe kama hapo Dar es Salaam ulisahau shida ya maji na umeme miaka mitano iliyopita hauwakilishi Watanzania wengi wasio na uwezo wa kutoa ushuhuda wao hapa.

Nchi hii kuna mamilioni ya watu ambao maisha yao yote maji ya bomba ni anasa, wanayatumia kunywa na kupikia tu na yanapatikana kwa manati, hata chini ya kipenzi chenu jiwe hali hiyo haijwahi kubadilika kwao.
Hiki kinachoendelea kimyakimya ni mchakato wa kuturudisha kuleee miaka ilee ya 2005, 2006, 2007...... miaka ambayo Dar Es Salaam na Tanzania kwa ujumla ilikua imepambwa na mikokoteni ilishosheheni madumu ya korie yaliyobeba maji na magari yenye matank ya maji kila kona.
Kwa kasi ya ajabu tunarudi miaka Ile ambayo mazingira yalikua yamepambwa kwa sauti za majenereta usiku na mchana

Au ndio ule mkakati wa kuutaka urais umeanza!? Acheni mambo yenu buana. Mama Samia yupo sana bado, ndio kwanza kumekucha

Hali ni mbaya sana na hatari kwa afya kwa jiji lenye wakazi wengi zaidi nchini, Dar Es Salaam. Watu tumepona kwenye corona lakini sasa mnataka kutulazimisha tufe kwa kipindupindu

Watendaji mnaohusika kwenye haya maeneo fanyeni kile kilichokua kinafanyika miaka mitano iliyopita hadi tukasahau kabisa kero ya umeme na maji. Kupewa nafasi ya kuhudumia wananchi kwa huduma muhimu kama umeme na maji halafu hao wananchi wakakosa hizo huduma ni wazi kabisa kwamba kufanya imeshindikana. Bora kuiacha office kuliko kukaa kwenye office halafu huduma asipatikane

Tanesco na idara za maji sisi wananchi tunamuamini rais wetu na yeye amewaamini nyie. Mnapopewa dhamana ya kutuhudumia halafu mnaamua kutuhujumu tutapaza sauti kwamba kazi imewashinda. Heri kuteua na kutumbua kuliko wananchi kuteseka kwa kukosa huduma za msingi tena ambazo wanazichangia kwa kodi zao wenyewe

Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi iendelee

Cc Wizara ya Afya Tanzania
 
Uongo mtupu.
Wewe kama hapo Dar es Salaam ulisahau shida ya maji na umeme miaka mitano iliyopita hauwakilishi Watanzania wengi wasio na uwezo wa kutoa ushuhuda wao hapa.

Nchi hii kuna mamilioni ya watu ambao maisha yao yote maji ya bomba ni anasa, wanayatumia kunywa na kupikia tu na yanapatikana kwa manati, hata chini ya kipenzi chenu jiwe hali hiyo haijwahi kubadilika kwao.

Yaani wewe akili zako sijui unakopaga wapi
Unaongeaongeaga na kuandikaandika vitu vya aina yako. Yaani dah, huruma
 
Back
Top Bottom