Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

Mgeja alikuwa ndio Mweka hazina wa Genge la Lowassa ilikuwa ukitaka Fungu lazima umuone huyu. 2010 ndie alitumwa na Lowasa amchukulie form ya Urais Jk ili wazidi kujipendekeza kwake
 
Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june

Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo

Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa

My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa


falcon mombasa
Mkuu falcon mombasa hata wakirudi wote maana hiyo itakuwa ni nguvu ya mungu anaisaidia cdm kuwaondoa hao wasaliti,cdm itabakia salama
 
Hivi kwa hii kasi ya.magufuli inawezekanaje CDM kubaki salama?
Sio kina mgeja tu,jiandaeni kwa makubwa zaidi!
Hakuna makubwa zaidi kama ile mlivyo mrubuni slaa akabwaga manyanga katikati ya uchaguzi mkuu mwaka jana,maccm hamna akili
 
Hatuwatakiiiiiiiiiiiiiiiiii.....


Hao ni mamluki......bora wasipokelewe kabisa !

Muasi ni muasi tuuuu!
 
Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june

Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo

Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa

My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa


falcon mombasa
Hii taarifa sio kweli kwa kila kitu. Mgeja ni LOWASSA damu, hawezi kuachana naye HATA SIKU MOJA. Kuna waliojiunga CHADEMA bila kujua kuwa Lowassa naye angekwenda huko. Hao ni kama Lembeni. Ukiniambia yeye ataomba msamaha arudi CCM naweza kuamini kwa sababu sidhani kama Mzee Lowassa angefurahi kama Lembeni angepata Ubunge. Sio Mgeja bwana, huyu hatenganishwi na Lowassa.
 
Kwa Tanzania haya sio mapya.
Vyama havina itikadi na wanachama wanafuata watu.
Mgeja hakuja upinzani, alimfuata Lowassa bahati mbaya matarajio hayajafikiwa.
 
Kuna kitu hamkijui humu
ndani Ccm ni wepesi kuliko unavyojua !!!

Wanajihami kuanzisha madam Na kuchangia wenyewe
Wanajua ni swala LA Muda tuu !!!
MTU ansema kasi ya Magufuli ;muulize IPI?

anakujibu Lowassa angeweza ???

Ni mbwembwe tu jibu kasi IPI ??

Hakuna jibu!
 
Dr Slaa Hana Laana itayoishika chadema hata siku moja Kwa sababu yeye aliondoka chadema Kwa njia Haramu baada ya kununuliwa na Membe Kwa dola milion 2 pesa za NIDA pamoja na zile za marehemu Gadafi ambazo Membe kazichimbia kwenye Handaki nyumbani kwake. Hakuna Laana hapo Slaa mwenyewe ni msariti hapo hapo ni mnafiki mkubwa maana yeye ndiye aliratibu kila kitu kisha akageuka baada ya kununuliwa na Membe.
Dr. Slaa aliondoka CHADEMA kwa sababu yeye sio mnafiki. Asingeweza kukaa meza moja na mtu ambaye chama chake kilizunguka nchi nzima kuueleza umma kisahihi kabisa kuwa ndiye kiongozi wa mafisadi nchini. Kujifanya amesahau hayo na kuanza kumwona kama ni shujaa ambaye angeleta mabadiliko TZ roho yake ilikataa kwa sababu haina unafiki. Wenzake walipewa mapesa "wakabadilisha gear" na kuanza kumwita Lowassa kiongozi wa mabadiliko. Dr Slaa ilimshinda hiyo. Hapo ni nani aliyesaliti? Ni hao waliokwenda nje ya misingi ya CHADEMA au waliosimamia misingi na kujiondoa? Kwa kiasi fulani Tindu Lissu alikuwa mkweli aliposema kuwa kwa sasa adui mkubwa wa CHADEMA ni CCM hivyo hata angepatikana shetani wa kuisaidia CHADEMA kuiondoa CCM wangemkaribisha. Hivyo Lowassa alikaribishwa kama shetani ambaye angeweza kuisaidia CHADEMA kuiondoa CCM madarakani. Sasa kwa hilo Dr. Slaa "hakuwa tayari kushirikiana na shetani".
 
Nimesikia kuwa rowasa naye anarudi home....
Sijui ni kweli??
 
Wanashughulikiwa Vipi? Si Demokrasia Hii? Ccm Waache Ujinga
 
Dr. Slaa aliondoka CHADEMA kwa sababu yeye sio mnafiki. Asingeweza kukaa meza moja na mtu ambaye chama chake kilizunguka nchi nzima kuueleza umma kisahihi kabisa kuwa ndiye kiongozi wa mafisadi nchini. Kujifanya amesahau hayo na kuanza kumwona kama ni shujaa ambaye angeleta mabadiliko TZ roho yake ilikataa kwa sababu haina unafiki. Wenzake walipewa mapesa "wakabadilisha gear" na kuanza kumwita Lowassa kiongozi wa mabadiliko. Dr Slaa ilimshinda hiyo. Hapo ni nani aliyesaliti? Ni hao waliokwenda nje ya misingi ya CHADEMA au waliosimamia misingi na kujiondoa? Kwa kiasi fulani Tindu Lissu alikuwa mkweli aliposema kuwa kwa sasa adui mkubwa wa CHADEMA ni CCM hivyo hata angepatikana shetani wa kuisaidia CHADEMA kuiondoa CCM wangemkaribisha. Hivyo Lowassa alikaribishwa kama shetani ambaye angeweza kuisaidia CHADEMA kuiondoa CCM madarakani. Sasa kwa hilo Dr. Slaa "hakuwa tayari kushirikiana na shetani".
Na umesahau slaa alikuwa ccm damu,akasaliti upadre,akasaliti famelia
 
Back
Top Bottom