Mgogoro wa ardhi Rwagasore Mwanza kati ya mfanyabiashara na wananchi

Mgogoro wa ardhi Rwagasore Mwanza kati ya mfanyabiashara na wananchi

Rusumo one

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
3,458
Reaction score
4,283
Habarini za asubuhi wakuu!

Ule mgogoro wa ardhi katikati ya Jiji la Mwanza mtaa wa Rwagasore kati ya Wananchi watano na mfanyabiashara nakumbuka walienda TAKUKURU baaae maafisa ardhi walihojiwa na DED Jiji aliondolewa kazini na mama lakini baadae Waziri Mkuu aliingilia kati na kumkabidhi mfanyabiashara ardhi kwa kuwa aliuziwa kihalali na Jiji.

Sasa majuzi RC kaenda site kazuia ujenzi kuwa mfanyabiashara hana uhalali wa kiwanja hicho, ina maana RC hatambui kuwa PM alishamaliza mgogoro na jamaa aliendelea na ujenzi tena kwa kupewa vibali na Jiji INA maana RC ana power zaidi ya PM?

Karibuni tujadili wakuu.

Pia soma: TAKUKURU Mwanza tupieni macho mgogoro wa ardhi wa Abubakar Self
 
Habarini za asubuhi wakuu!

Ule mgogoro wa ardhi katikati ya Jiji la Mwanza mtaa wa Rwagasore kati ya Wananchi watano na mfanyabiashara nakumbuka walienda TAKUKURU baaae maafisa ardhi walihojiwa na DED Jiji aliondolewa kazini na mama lakini baadae Waziri Mkuu aliingilia kati na kumkabidhi mfanyabiashara ardhi kwa kuwa aliuziwa kihalali na Jiji.

Sasa majuzi RC kaenda site kazuia ujenzi kuwa mfanyabiashara hana uhalali wa kiwanja hicho, ina maana RC hatambui kuwa PM alishamaliza mgogoro na jamaa aliendelea na ujenzi tena kwa kupewa vibali na Jiji INA maana RC ana power zaidi ya PM?

Karibuni tujadili wakuu.

Pia soma: TAKUKURU Mwanza tupieni macho mgogoro wa ardhi wa Abubakar Self
Kuacha mambo yetu ya msingi ili familia zetu ziende tuje tujadili pesa na nguvu za watu? WaTanzania tuache tabia zinazo sababisha umasikini
 
Habarini za asubuhi wakuu!

Ule mgogoro wa ardhi katikati ya Jiji la Mwanza mtaa wa Rwagasore kati ya Wananchi watano na mfanyabiashara nakumbuka walienda TAKUKURU baaae maafisa ardhi walihojiwa na DED Jiji aliondolewa kazini na mama lakini baadae Waziri Mkuu aliingilia kati na kumkabidhi mfanyabiashara ardhi kwa kuwa aliuziwa kihalali na Jiji.

Sasa majuzi RC kaenda site kazuia ujenzi kuwa mfanyabiashara hana uhalali wa kiwanja hicho, ina maana RC hatambui kuwa PM alishamaliza mgogoro na jamaa aliendelea na ujenzi tena kwa kupewa vibali na Jiji INA maana RC ana power zaidi ya PM?

Karibuni tujadili wakuu.

Pia soma: TAKUKURU Mwanza tupieni macho mgogoro wa ardhi wa Abubakar Self
Kesi ilifika mahakamani?
 
Habarini za asubuhi wakuu!

Ule mgogoro wa ardhi katikati ya Jiji la Mwanza mtaa wa Rwagasore kati ya Wananchi watano na mfanyabiashara nakumbuka walienda TAKUKURU baaae maafisa ardhi walihojiwa na DED Jiji aliondolewa kazini na mama lakini baadae Waziri Mkuu aliingilia kati na kumkabidhi mfanyabiashara ardhi kwa kuwa aliuziwa kihalali na Jiji.

Sasa majuzi RC kaenda site kazuia ujenzi kuwa mfanyabiashara hana uhalali wa kiwanja hicho, ina maana RC hatambui kuwa PM alishamaliza mgogoro na jamaa aliendelea na ujenzi tena kwa kupewa vibali na Jiji INA maana RC ana power zaidi ya PM?

Karibuni tujadili wakuu.

Pia soma: TAKUKURU Mwanza tupieni macho mgogoro wa ardhi wa Abubakar Self
Huu Uzi nilishausoma kitambo mkuu na kumbuka ni urithi na vile vya Rwagasore Jiji liliuza kwa mfanyabiashara alafu Jiji likamalizana na wananchi
 
Kama aliuziwa kiwanja kihalali kwa nini tena wanamsumbua?. Tayari fedha zake zilikwishatumbukizwa kwenye akaunti ya Jiji. Vipi tena wanamsumbua?. Wenyewe wawachukulie hatua watumishi wa Jiji waliomuuzia kiwanja.
 
Mwezi uliopita bariadi wasukuma waliua mtu mmoja mfanya biashara kwa mgogoro wa kiwanja Kama hivyo
 
Habarini za asubuhi wakuu!

Ule mgogoro wa ardhi katikati ya Jiji la Mwanza mtaa wa Rwagasore kati ya Wananchi watano na mfanyabiashara nakumbuka walienda TAKUKURU baaae maafisa ardhi walihojiwa na DED Jiji aliondolewa kazini na mama lakini baadae Waziri Mkuu aliingilia kati na kumkabidhi mfanyabiashara ardhi kwa kuwa aliuziwa kihalali na Jiji.

Sasa majuzi RC kaenda site kazuia ujenzi kuwa mfanyabiashara hana uhalali wa kiwanja hicho, ina maana RC hatambui kuwa PM alishamaliza mgogoro na jamaa aliendelea na ujenzi tena kwa kupewa vibali na Jiji INA maana RC ana power zaidi ya PM?

Karibuni tujadili wakuu.

Pia soma: TAKUKURU Mwanza tupieni macho mgogoro wa ardhi wa Abubakar Self
Acha uzushi, we umetumwa siyo bure. RC hawezi kukurupuka wakati kuna uamuzi ulishafanywa na waziri mkuu, acheni uchonganishi usio na mantiki.
 
Back
Top Bottom