Nidhamu ya woga ndo inafanya CCM kuogopa mfumo wa majimbo.
Faida za mfumo wa majimbo ni lukuki kuliko hasara zake.
Imagine jimbo la victoria (MWANZA, SHINYANGA,MARA,KAGERA) wasimamie rasilimali zao kwa ajili ya wananchi wao.
Bulyanhulu,almasi,ziwa Victoria, serengeti.
Jimbo la kaskazini (Arusha,Kilimanjaro,Tanga)
Wasimamie rasilimali zao mlima,mbuga,bandari,tanzanite.
JIMBO LA KUSINI (Mtwara,lindi,Ruvuma)
Wasimamie Korosho,Gesi,Mawese,Tumbaku.
Jimbo la Nyanda za juu kusini (Iringa,Mbeya,Songwe)
Wasimamie wenyewe rasilimali zao Kilimo cha mazao ya chakula, kilimo cha miti.
Jimbo la Pwani (Dar es Salaam, Pwani)
Wasimamie rasilimali zao Pwani ni eneo la Viwanda, Bandari ya Dar.
ETC.
na majimbo mengine yoote.
DODOMA IBAKI KUWA JIMBO HURU. FREE STATE SHUGHULI ZOTE ZA SERIKALI KUU ZIWE ZINAFANYIKA DODOMA BILA KUATHIRIWA NA SERIKALI ZA MAJIMBO.
Serikali kuu iwe msimamizi wa shughuli za serikali za majimbo...
Serikali za majimbo ziwe na maamuzi juu ya shughuli kwayo.
CCM wanafaidika sana na huu mfumo wa mikoa kwa sababu unaendeleza umaskini wa kupindukia mtaji wa CCM ni masikini the so called Wanyonge... Uwepo wa wanyonge wengi ndo uhai wa CCM.
FAIDA YA MAJIMBO NI FREE AND FAIR COMPETITION MAJIMBO YATAPAMBANA KUVUTIA WAWEKEZAJI MFANO JIMBO LA KASKAZINI LITAPAMBANA KUVUTIA WATALII... shughuli za kuvutia watalii hazitasimamiwa na TANAPA BALI NA TOURISM DEPARTMENT YA JIMBO HUSIKA.
JIMBO LA KASKAZINI LITAPAMBANA KUHAKIKISHA WANAKUWA NA KILIMANJARO AIRWAYS.
HUU MFUMO WA MAJIMBO NI HATARI SANA KWA UHAI WA CCM KWANI LITAWAFUMBUA MACHO HADI MAJIMBO YENYE RASILIMALI CHACHE KUPAMBANA.
CCM hawahitaji nchi hii iwe na raia wengi matajiri ndo maana wamachinga,bodaboda,wanaobadilisha fedha za kigeni walisumbuliwa sana kipindi cha mwendazake.
Mfumo wa sasa wa mikoa umewekwa kuhakikisha unaipa pumzi CCM.
Mtaji wa CCM ni umaskini,ujinga na maradhi. Hivi vikitoweka na CCM itatoweka.
#KATIBAMPYANISASA