Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Nilichogundua kuhusu Kariakoo sio kila mfanyabiashara hapo anagoma.
Wafanyabiashara wakubwa wanaoshusha kontena bandarini ndo wanamiliki mastoo hapo Kariakoo na hawa ndo waasisi wa mgomo wenyewe kwasababu hawataki stoo zao zitambulike.
Ukiwasikiliza wengi wanaogopa kufungua kwasababu wanafanyiwa fujo, jana kuna watu walikua wanazunguka kuangalia aliyefungua na wakikuta umefungua wanakutisha kubeba hata mali yako kwahyo hawa wenye maduka wengi wanashinikizwa na wakubwa.
Nilikuwepo hapo nimeona, watu walianza kufungua maduka saa 4 asubui kuna watu wakawa wanakuja kuwatisha wafunge.
Maoni yangu sio kwamba nakubaliana na TRA wanachokifanya ila nimesema kile kinachoendelea hapo Kariakoo.
Wafanyabiashara wakubwa wanaoshusha kontena bandarini ndo wanamiliki mastoo hapo Kariakoo na hawa ndo waasisi wa mgomo wenyewe kwasababu hawataki stoo zao zitambulike.
Ukiwasikiliza wengi wanaogopa kufungua kwasababu wanafanyiwa fujo, jana kuna watu walikua wanazunguka kuangalia aliyefungua na wakikuta umefungua wanakutisha kubeba hata mali yako kwahyo hawa wenye maduka wengi wanashinikizwa na wakubwa.
Nilikuwepo hapo nimeona, watu walianza kufungua maduka saa 4 asubui kuna watu wakawa wanakuja kuwatisha wafunge.
Maoni yangu sio kwamba nakubaliana na TRA wanachokifanya ila nimesema kile kinachoendelea hapo Kariakoo.