Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,591
- 6,114
Takukuru mmelala. Sisi Wangonde tumeibiwa sadaka zetuImebidi niingie chimbo kuchunguza mgogoro huu wa Dayosisi ya Konde.
Wazungu wanasema penye mgogoro usiotaka kuisha- FOLLOW THE MONEY!
Kiti cha Askofu kimeshindwa kurudishwa Tukuyu maana ofisi ya Tukuyu ilimokuwa Dayosisi imeuzwa au kupangishwa kwa milioni 200.
Ofisi wameuziwa au kupangishwa CRDB.
Hela hizo zimeliwa na wajanja ambao wamesepa kuenda Mbeya.
Sasa changamoto kiti kitarudi wapi!
Wanaotetea hadi macho kuwatoka ni wafaidika wa hela hizo, na hii ni fraud case.
Nawasilisha
Chanzo: nzi wa Tukuyu