Mgogoro wa KKKT Konde: Tatizo ni hela iliyoliwa na kundi la Askofu

Mgogoro wa KKKT Konde: Tatizo ni hela iliyoliwa na kundi la Askofu

Imebidi niingie chimbo kuchunguza mgogoro huu wa Dayosisi ya Konde.

Wazungu wanasema penye mgogoro usiotaka kuisha- FOLLOW THE MONEY!

Kiti cha Askofu kimeshindwa kurudishwa Tukuyu maana ofisi ya Tukuyu ilimokuwa Dayosisi imeuzwa au kupangishwa kwa milioni 200.

Ofisi wameuziwa au kupangishwa CRDB.

Hela hizo zimeliwa na wajanja ambao wamesepa kuenda Mbeya.

Sasa changamoto kiti kitarudi wapi!

Wanaotetea hadi macho kuwatoka ni wafaidika wa hela hizo, na hii ni fraud case.

Nawasilisha

Chanzo: nzi wa Tukuyu
Afadhali hilo jengo wamechukua CRDB kwa maana lilianza kuwa gofu,CRDB wamefanya ukarabati wa nguvu na anagalau sasa sisi tulio na vijisenti vyetu tuna sehemu salama ya kuweka na kuchulia hela kwa maana kale kanyumba ilimokuwa benki ya CRDB ilikuwa aibu utadhani sebule ya grocery na hata pa kupumulia palikuwa hakuna na bahati mbaya ndio iwe siku ya mgao wa wakulima wa chai inabidi mkae nje na kupanga foleni, pale yalipokuwa makao makuu ya kanisa ambapo wapo CRDB waumini walipageuza kama kijiwe cha majungu, ni kama palikuwa jobless corner.Askofu alifanya uamuzi mzuri kuhamishia makao makuu mjini Mbeya, waumini wa wilaya ya Rungwe wana nongwa sana hata mgogoro wa kanisa la Moravian uliofanya kule Kyela wajitenge ni sababu ya hawa hawa waumini wa Rungwe, Wanyaky wa Rungwe ni wabinafsi sana utadhani ni kama wale wa kutoka kwa mwenyekiti wa SACCOSS ya Kishmundu.
 
Siku hizi KKKT imevamiwa na watu wenye tabia za kinabii na mitume.

Muda wote na mahali popote wao wanachungulia jinsi ya kuvuta hela kutoka kwa kondoo.
Hata sauti zao wakati wa kuhubiri wameanza kuiga mitume na manabii..kupayuka na kukoroma.

Hili kanisa linahitaji tena 'reformation', laa sivyo litakufa.
Haha Askofu mkuu ni muumini bwashee hiyo ni pesa yangu aisee
 
Imebidi niingie chimbo kuchunguza mgogoro huu wa Dayosisi ya Konde.

Wazungu wanasema penye mgogoro usiotaka kuisha- FOLLOW THE MONEY!

Kiti cha Askofu kimeshindwa kurudishwa Tukuyu maana ofisi ya Tukuyu ilimokuwa Dayosisi imeuzwa au kupangishwa kwa milioni 200.

Ofisi wameuziwa au kupangishwa CRDB.

Hela hizo zimeliwa na wajanja ambao wamesepa kuenda Mbeya.

Sasa changamoto kiti kitarudi wapi!

Wanaotetea hadi macho kuwatoka ni wafaidika wa hela hizo, na hii ni fraud case.

Nawasilisha

Chanzo: nzi wa Tukuyu
CRDB itapigwa laana kwa kupora kanisa , mbona Crdb Kyela walijenga ?
 
We ulishasikia uchaguzi wa askofu rc?Papa ndo huteua askofu kwa Jimbo lolote duniani
Huwa anamtangaza tu,wanaomteua ni mfumo wa kanisa kutoka kila nchi.
Yeye atateua kila Padri kuwa askofu atawajua saa ngapi kuwa ni wazima au wamekufa bila mfumo wao waliko.
 
Ultimately Askifu anabeba lawama zite, kama ilivyo sasa.
Huko Konde wale wachungaji ambao wanaonekana wamefaidika, wanatetea hali ya kuhamia Mbeya hadi mishipa inawatoka kichwani.

Na wanajua fika, uchunguzi ukifanyika watabeba lawama pamija na Askofu.
Kama hizo ofisi ziko Tukuyu, siku zote hizi imeshindikana kupata uhakika kama zimeizwa au kupangishwa? Baada ya hapo ndio I Fuatilia ju wa hayo malipo na matumizi ufanywe!
 
Walaaniwe milele wote wanaosababisha migogoro ndani ya nyumba za Ibada kwa sababu ya fedha. Wafe kifo kibaya kama alichokufa Yuda Iskariote. Ni katika jina la Yesu; Amina
 
Afadhali hilo jengo wamechukua CRDB kwa maana lilianza kuwa gofu,CRDB wamefanya ukarabati wa nguvu na anagalau sasa sisi tulio na vijisenti vyetu tuna sehemu salama ya kuweka na kuchulia hela kwa maana kale kanyumba ilimokuwa benki ya CRDB ilikuwa aibu utadhani sebule ya grocery na hata pa kupumulia palikuwa hakuna na bahati mbaya ndio iwe siku ya mgao wa wakulima wa chai inabidi mkae nje na kupanga foleni, pale yalipokuwa makao makuu ya kanisa ambapo wapo CRDB waumini walipageuza kama kijiwe cha majungu, ni kama palikuwa jobless corner.Askofu alifanya uamuzi mzuri kuhamishia makao makuu mjini Mbeya, waumini wa wilaya ya Rungwe wana nongwa sana hata mgogoro wa kanisa la Moravian uliofanya kule Kyela wajitenge ni sababu ya hawa hawa waumini wa Rungwe, Wanyaky wa Rungwe ni wabinafsi sana utadhani ni kama wale wa kutoka kwa mwenyekiti wa SACCOSS ya Kishmundu.
Tangu lini mwanaccm akatoa mawazo ya kujenga? Mmekalia fitina na majungu tu hapo Lumumba.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Tukuyu upangishe kwa mil 200? Impossible, labda useme imeuzwa.
hivi jF kuna wajinga kama ww mpka now??

BENKI azilipi kodi ya mwezi kama ww

wanalipa kodi miaka 5 kuendeleaa

Alafu unasema impossible as if u know something if it isnt SHIIT!!!!
 
Afadhali hilo jengo wamechukua CRDB kwa maana lilianza kuwa gofu,CRDB wamefanya ukarabati wa nguvu na anagalau sasa sisi tulio na vijisenti vyetu tuna sehemu salama ya kuweka na kuchulia hela kwa maana kale kanyumba ilimokuwa benki ya CRDB ilikuwa aibu utadhani sebule ya grocery na hata pa kupumulia palikuwa hakuna na bahati mbaya ndio iwe siku ya mgao wa wakulima wa chai inabidi mkae nje na kupanga foleni, pale yalipokuwa makao makuu ya kanisa ambapo wapo CRDB waumini walipageuza kama kijiwe cha majungu, ni kama palikuwa jobless corner.Askofu alifanya uamuzi mzuri kuhamishia makao makuu mjini Mbeya, waumini wa wilaya ya Rungwe wana nongwa sana hata mgogoro wa kanisa la Moravian uliofanya kule Kyela wajitenge ni sababu ya hawa hawa waumini wa Rungwe, Wanyaky wa Rungwe ni wabinafsi sana utadhani ni kama wale wa kutoka kwa mwenyekiti wa SACCOSS ya Kishmundu.
Hamishia makao maku ya kanisa lako Mchambawima Zanzibar, tutakuelewa tu.
 
hivi jF kuna wajinga kama ww mpka now??

BENKI azilipi kodi ya mwezi kama ww

wanalipa kodi miaka 5 kuendeleaa

Alafu unasema impossible as if u know something if it isnt SHIIT!!!!
Tatizo Lako unadhani ulipewa fuvu kwa ajili ya kushikilia meno
 
Ili kuishi katika dini ya kweli sasa watumishi wa dini wasilipwe wawe na kazi zao na sadaka zinazotolewa zitumike kusaidia yatima na kuboresha huduma za jamii, Askofu, wachungaji na wengineo wawe na kazi zao tukutane Jumapili ibadani tu
 
Kama vipi si wachonge kiti kingine pale Tukuyu hicho wamwaachie mwaikali huko aliko kesi iwe imeisha kwaamaana hili suala halitoisha Hadi nguvu za Giza zimetuka hapo si bure haiwezekani mtu mmoja akaitisa dayosisi yote
 
Back
Top Bottom