DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Aya Mambo ndiyo yalisababisha nikaachana na kuoa hawa wanaojiita wasomi.
Nilimuoa KIROHO SAFI mama watoto wangu na form iv division zero yake[emoji2]
Enzi hizo Kalikua Ni kafrend kangu afu ni kadenti kanasoma, Nilikafanyia screening tangu kakiwa form 2 nikaona kabisa kanafaa kua wife material.
ilikua Ni furaha iliyoje matokeo yalivyotoka na ikaonekana kamefeli division ZERO, Niliapproach nikakubaliwa nikavuta jiko fasta bila kupepesa.
Nilijivutia mke Safi, beautiful,bikra na aliyelelewa maadili mema.
Namshkuru mungu maisha yanasonga, hata walionibeza kwasasa tunaheshimiana.
Mwanaume ukibahatika kuoa mwanamke ambaye hajapitia mahusiano mengi na kutinduliwa huku na kule Kuna unafuu wake bwana[emoji4].
Na kupitia hili nmegundua Kuna tofauti KUBWA
-Kati ya KUSOMA na KUELIMIKA
-kua na akili ya DARASAN na akili ya maisha.
Namshkuru mungu,
Kwenye familia yangu always Mimi ndio KING na wife anajitambua kua yeye Ni QUEEN.
Kwa kinachoendelea kwenye familia ya mtoa Mada,
Nyumba Ina KINGS WAWILI, kila Mtu ana sharubu.
Lazima moto uwake.
Kupitia hili,
Wanawake na Wanaume wasomi wote mnapaswa mjitafakari sana.
Nilimuoa KIROHO SAFI mama watoto wangu na form iv division zero yake[emoji2]
Enzi hizo Kalikua Ni kafrend kangu afu ni kadenti kanasoma, Nilikafanyia screening tangu kakiwa form 2 nikaona kabisa kanafaa kua wife material.
ilikua Ni furaha iliyoje matokeo yalivyotoka na ikaonekana kamefeli division ZERO, Niliapproach nikakubaliwa nikavuta jiko fasta bila kupepesa.
Nilijivutia mke Safi, beautiful,bikra na aliyelelewa maadili mema.
Namshkuru mungu maisha yanasonga, hata walionibeza kwasasa tunaheshimiana.
Mwanaume ukibahatika kuoa mwanamke ambaye hajapitia mahusiano mengi na kutinduliwa huku na kule Kuna unafuu wake bwana[emoji4].
Na kupitia hili nmegundua Kuna tofauti KUBWA
-Kati ya KUSOMA na KUELIMIKA
-kua na akili ya DARASAN na akili ya maisha.
Namshkuru mungu,
Kwenye familia yangu always Mimi ndio KING na wife anajitambua kua yeye Ni QUEEN.
Kwa kinachoendelea kwenye familia ya mtoa Mada,
Nyumba Ina KINGS WAWILI, kila Mtu ana sharubu.
Lazima moto uwake.
Kupitia hili,
Wanawake na Wanaume wasomi wote mnapaswa mjitafakari sana.