Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mwambie anunue fire extinguisher mapema kabisa kwa sasa hawatabiriki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mwambie anunue fire extinguisher mapema kabisa kwa sasa hawatabiriki
Ongeza bidii, you will be rewarded accordingly😅Kwa mambo yenyewe kma haya bora niendelee kusasambua mbususu tuu.
Vijana wa siku hizi nao wamezidi wanapenda slope sana yaani mtu anaoa kwa target kwamba huyu kila mwezi atakuwa analeta kiasi fulaniAya Mambo vijana wanaoa mwanamke ili mgawane kipato ni kufeli kifikra.
Sio eti unaoa kwa kuangalia vyeti au ana KAZI gani.
Kwa WAKATI tulionao Sasa,
Tafuta mwanamke aliyejitunza, mwenye maadili mema, mrembo na anayejitambua.
Afu mpe pesa zako ilulizotafuta kwa jasho lako azisimamie, Kisha Ndio umpangie wewe matumizi.
Kamwe kwenye Ndoa hamuwezi kubishana KIPUUZ NAMNA HII maana anajua Kwenye familia, Mila, desturi na maadili yetu waafrika wewe ni Nani kwake.
Suala la Mwanaume kuanza kupangia matumizi pesa za mkeo alizozitafuta kwa mgongo wa jasho la wazazi wake (wakwe zako) .
Ni kukiuka miiko,Mila na desturi zetu waafrica.
Huu uzungu uzungu vijana wanaouendekeza ndio chanzo Cha matatizo yote haya.
Kiukweli,
Inasikitisha Sana[emoji22]
Na busara yenye busara ni kuvunja ndoa tu, jamaa ajengee wazazi wake kabla hajafikisha 49 yrs then afu he ndoa na mke mwingine!Ubinafsi kwenye ndoa ni janga linaloangamiza. Hapo hawawezi kuongea lugha moja tena, ni heri busara ikatumika.
[emoji23][emoji23]Nyumba iandikwe jina la mwanaume kwa sababu tayari kuna mgogoro. Then kila kitu cha familia akiongoze mwanaume tu.
Hii ndiyo shida ya kuoa mke mnayelingana kipato[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Wote wamekopa na pesa imo kwenye account ya kila mmoja ila ukijumlisha fedha ya mke na Mme ndo wanakuwa jumla ya million 25Nadhani kuna pahala sijaelewa.
Jina lililokopa pesa ni la nani au pesa iliingia kwenye jina la akaunti ya nani?
Hatari aiseeMwanamke hata akija na mabegi yake tu! Mkishafunga ndoa hizo mali ni za kwenu wote na mkiachana mtagawana kisheria !
Labda usioe au uoe mwanamke mwema
Wazaz wao wanaish kwenye miti? Vijana tujenge maisha yetu tusije kuwapa shida watoto wetu mbelen.Kuna mke na mume wameanza mgogoro mkali ambao unatishia ndoa kuvunjika. Miaka miwili iliyopita walioana na sasa wana mtoto mmoja na wote ni waajiriwa wa serikali na wote wameanza kazi intake moja ila idara tofauti.
Wote wanatokea familia masikini ila familia ya mwanamke ina ahueni kidogo maana wazazi wake wanaishi nyumba ya kudumu ingawa ni ya zamani na imechakaa ila kwa mwanaume wazazi wake wanaishi nyumba za tembe na makuti.
Wote walikopa hela bank kama million 25 kwa kutaka angalau wawajengee wazazi na wakakubaliana kuanza kuwajengea wazazi wa mwanaume. Baada ya hela kuingia mwanamke amegoma kutoa hela anataka awajengee wazazi wake kwanza maana wamesumbuka kumsomesha.
Mwanaume anakataa anasema makubaliano yaheshimiwe lakini mwanamke anakataa. Baadae mwanaume akapendekeza basi hiyo hela wanunue kiwanja wajenge nyumba yao, mwanamke akasema sawa wewe kama mwanaume nunua kiwanja mimi nitajenga msingi wa nyumba panapobaki umalizie hela yangu inayobaki niwajengee wazazi maana wamenitoa mbali.
Mwishowe mwanamke akasema hivi ungenioa bila kazi ungesema hayo unayotaka nifanye, wewe kama mwanaume wajibika kuwajengea wazazi wako, kisha jenga nyumba yetu na mimi niwajengee wazazi wangu.
Jamaaa anawaza sana anatishia kuvunja ndoa, nini kifanyike? NB, Jamaa ana umri wa miaka 36 hivi mke wake miaka 27