Mgombea binafsi Tanzania: Tatizo ni nini?

Mgombea binafsi Tanzania: Tatizo ni nini?

Mchakato wa kuandika katiba ya JMT umekamilika na aliyekuwa mwenyekiti wa BMK aliikabidhi katiba hiyo iliyopendekezwa kwa marais wetu jana katika sherehe iliyofanyika uwanja wa Jamhuri pale Dodoma.

Binafsi sijapata fursa ya kuipitia katiba hiyo iliyopendekezwa ila nimesikia kuwa mgombea binafsi ameruhusiwa katika katiba hiyo. Pamoja na kuruhusiwa kwa mgombea binafsi inadaiwa pia kuwa masharti yaliyotolewa ni sawa na kuzuia uwepo wa huyo mgombea binafsi.

Sasa kwa yeyote aliyepata kuipitia katiba hiyo,tafadhali ninaomba ainishe hivyo vigezo/mashrti yaliyotolewa ili mtu aweze kukidhi kusimama kama mgombea binafsi katika chaguzi zijazo.
 
Ndugu wananchi, ninafikiria kuwatumikia wananchi kwenye nafasi ya kisiasa ila rafu za kushinda nafasi ya uma ya kisiasa ni kubwa sana! Sasa mimi nimonelea nijaribu kutafuta nafasi kwa kutumia tiketi ya mgombea binafsi. Ndio nauliza kama mgombea binafsi ameruhusiwa?
Kama sivyo basi nianze kutafuta chama kabisa!
 
Ndugu wananchi, ninafikiria kuwatumikia wananchi kwenye nafasi ya kisiasa ila rafu za kushinda nafasi ya uma ya kisiasa ni kubwa sana! Sasa mimi nimonelea nijaribu kutafuta nafasi kwa kutumia tiketi ya mgombea binafsi. Ndio nauliza kama mgombea binafsi ameruhusiwa?
Kama sivyo basi nianze kutafuta chama kabisa!

mkuu pole sana kwa rafu unazoziona ama kufanyiwa. Kama hujui kuwa mgombea binafsi ameruhusiwa ama la,huoni kuwa wewe haufai kuwa kiongozi wetu kweli?
 
mkuu pole sana kwa rafu unazoziona ama kufanyiwa.
Kama hujui kuwa mgombea binafsi ameruhusiwa ama la,huoni kuwa wewe haufai kuwa kiongozi wetu kweli?

'You are talking too much' Yan wewe kama ukiwa daktari mgonjwa atakufia. Badala umsaidie apone unaanza kwanza kumsimanga!
 
'You are talking too much' Yan wewe kama ukiwa daktari mgonjwa atakufia. Badala umsaidie apone unaanza kwanza kumsimanga!

Ndi maana mimi si daktari,na wewe ni aina ya wale wagonjwa wanaofika kwa daktari na kumwambia "mimi naumwa malaria".Umeenda kwa daktari akuandikie dawa au afanye "medical diagnosis"?

Mkuu, uongozi ni zaidi ya kujua "K" tatu,zaidi ya kujua kuropoka,zaidi ya kujua kuongea kwa sauti kubwa.
Jitathmini upya na ujipange.
 
Kwa hali ilivyo hivi sasa kuna kila dalili ya uwepo wa wagombea binafsi!

Hili wimbi kubwa la watangaza nia ya kugombea urais ndani ya CCM kuna uwezekano mkubwa wa baadhi ya watia nia kutokukubaliana na maamuzi ya kamati juu ya chama juu ya kumpata mgombea mmoja.

Wapo wanaoamini kwamba wao ndio wanaokubalika zaidi katika jamii kuliko ndani ya Chama, na hichi ndicho kitakachowasukuma kufikia maamuzi hayo, Wapo wanaoamini kwamba kwa hali yeyote ile ushindi ni lazima tu hata kama iweje.

Tayari makundi makubwa yameshamea huku yakihasimiana kwa maneno ya kipambe ili kujijenga zaidi na kuongeza ushawishi katika jamii.

Kama hichi kipengelele kinachomhusu mgombea binafsi kitafanyiwa kazi hadi kufikia uchaguzi mkuu basi tuyatarajie haya.
 
  • Thanks
Reactions: Gor
Mjue siku ccm imegawanyika ndio siku uwazi,uwajibikaji ,maendeleo yatakapoaza kuja kwa kasi nchini...hakika Tanzania hatuitajiki kusafiri kwa matumaini tukiwa katika nchi iliyojaa asali.
 
Kwa jinsi hali ya hewa kisiasa ilivyo,wengi wenu mtakatwa majina huo mwaka 2020.Hivyo basi mimi ninawashauri piganieni ugombea binafsi upitishwe kweshe sheria zetu za uchaguzi.
Huyu JPM ana visirani sana ,wengi mtachinjiwa mbali kwenye Chama.
 
Kwa jinsi hali ya hewa kisiasa ilivyo,wengi wenu mtakatwa majina huo mwaka 2020.Hivyo basi mimi ninawashauri piganieni ugombea binafsi upitishwe kweshe sheria zetu za uchaguzi.
Huyu JPM ana visirani sana ,wengi mtachinjiwa mbali kwenye Chama.
Hahahahaaaa!! Mayo waneeee [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Huo ndio ukweli, duh takutafuta soon
 
Tunapambana tule miaka saba kwanza...Hii mitano ni magumash "mara paaaaaap uchaguzi huu hapa na jana tu umeita watu WAPUMBAVU KABISA" Hitu tumiaka tutano ni kuwekana tu majaribuni na kupandishana presha za goti!
 
Hahahahaaaa!! Mayo waneeee [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Huo ndio ukweli, duh takutafuta soon
Nitafute basi Nsezaye,unafikiri inabidi waanze kutafuta mbadala,otherwise wajiandae kisaikolojia.Bora kukiwa na mgombea binafsi ukikatwa jina kisa upo tofauti na mwenyekiti,basi unagombea jimbo hilo hilo kama mgombea binafsi.
 
Tunapambana tule miaka saba kwanza...Hii mitano ni magumash "mara paaaaaap uchaguzi huu hapa na jana tu umeita watu WAPUMBAVU KABISA" Hitu tumiaka tutano ni kuwekana tu majaribuni na kupandishana presha za goti!
Halafu ki mchezo mchezo hoja ya Nkamia inaweza ikapita.Niliangalia MOBUTU LE ROI DU ZAIRE.Niliwashangaa wazaire walivyokuwa wanamwogopa na kumtukuza Mobutu.Kumbe hata Tanzania ndo inakoelekea sasa hivi.
 
Kwa jinsi hali ya hewa kisiasa ilivyo,wengi wenu mtakatwa majina huo mwaka 2020.Hivyo basi mimi ninawashauri piganieni ugombea binafsi upitishwe kweshe sheria zetu za uchaguzi.
Huyu JPM ana visirani sana ,wengi mtachinjiwa mbali kwenye Chama.
Visirani kivipi? Kamfanyia nani kisirani? Tusaidie hapo ili tuache kujadili kwa hisia ...
 
Kwa jinsi hali ya hewa kisiasa ilivyo,wengi wenu mtakatwa majina huo mwaka 2020.Hivyo basi mimi ninawashauri piganieni ugombea binafsi upitishwe kweshe sheria zetu za uchaguzi.
Huyu JPM ana visirani sana ,wengi mtachinjiwa mbali kwenye Chama.
Kule kwenye NEC wamepitisha kuwa hakuna mchujo baada yake watakuhukumu wananchi unaowaongoza kwa kukutua na kumpa wa upinzani,ikicheza vibaya na wapiga kura wako,ingekuwa powaa sana kma na wapizani wangecopy hii kitu.
 
kama fisadi na umewahi ibia hili taifa.. lazima ukatwe tu...

tanzania mpya haitaki wezi
 
Back
Top Bottom