Hata mimi nimemsikia Marmo, sababu pekee aliyotoa ni muda.
Hukumu ya mahakama kuu olitamka wazi kuwa mgombea binafsi 2010.
Kama Zanzibar itafanya mabadiliko ya katiba pamoja na kura ya maoni kabla ya uchaguzi mwezi October, sembuse badiliko la katiba tuu bila hata referendum!.
Serikali ina dharau, imelidharau bunge, na imeidharau ile hukumu ya mahakama kuhusu mgombea binafsi, amini nawaambieni, mahakama kuu ya rufaa, itatoa hukumu ya kukazia utekelezaji wa hukumu ya kuruhusu mgombea binafsi. Hii ndio the only legacy Jaji Agustino Ramadhani, atawapa Watanzania zawadi kabla ya kustaafu rasmi Dec, 31, 2010.