Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na hata hao majaji wakiamua wawepo wagombea binafsi, utaambiwa hilo haliwezekani kabla ya uchaguzi wa mwaka huu, maana mpaka kupenge likae libadili hivyo vipengele , then raisi aridhie hiyo sheria, halafu mawasiliano n ya wepo kwa tume ya uchaguzi.
kama kuna uwezekano hao majaji wasiwe watanzania!!!
It is impossible and unconstitutional!
kama kuna uwezekano hao majaji wasiwe watanzania!!!
bila shaka utakuwa wakala wa mafisadi,! kwa taasisi zipi za kuwa na imani nazo? na serikali gani? unajaribu kulazimisha ng'ombe awe mbuzi....utadumaa na mawazo hata ya mafikirio yako tumejaribu uwazavyo, kwa ujumla taasisi za taifa la tanzania nimezipa talakaUjinga wa kutojiamini kama Taifa. Kwani hao kina Manento ambao mwanzo walikubaliana na Mtikila walikuwa Wakenya?
Jengeni imani na taasisi zenu. Ndio maana wakenya wanawashughulikia kila siku kwa kutojiamini kwenu. Watanzania bana!
Ujinga wa kutojiamini kama Taifa. Kwani hao kina Manento ambao mwanzo walikubaliana na Mtikila walikuwa Wakenya?
Jengeni imani na taasisi zenu. Ndio maana wakenya wanawashughulikia kila siku kwa kutojiamini kwenu. Watanzania bana!
Ujinga wa kutojiamini kama Taifa. Kwani hao kina Manento ambao mwanzo walikubaliana na Mtikila walikuwa Wakenya?
Jengeni imani na taasisi zenu. Ndio maana wakenya wanawashughulikia kila siku kwa kutojiamini kwenu. Watanzania bana!
Kwa kuwa hawataweza kwenda kinyume na (kama yatakuwepo) matakwa ya mwajiri wao.kama kuna uwezekano hao majaji wasiwe watanzania!!!