Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
jamani msijifariji? nani anaweza kuwa mgombea binafsi na kushinda tanzania?????????? hizi sio zile wanazoita ndoto za mchana?????????? wananchi wa tanzania uelewa wao ni mdogo sana hatujafikia level hiyo wakuu, angalia tu kamati ya mwakyembe na kuchonga koooooote kule kumbe hakuna kitu!!!!!!!!!!! tuendelee kujenga demokrasia taratibu, tutafika tu..............
Kama ni ndoto mkuu waambie Chama Cha Majambazi waruhusu uone moto.