Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
mama
mama G umefika Dom lini???? au macho yangu na quality ya camera mliotumiaaa....
sawaMagufuli yuko ICU hawezi kutoboa hata mshindi wa tatu hataingia
Hizi hoja ni za hovyo sana kwa level zako aisee, au ni hasira?
Kwahio tususie uchaguzi??Uchaguzi hausimamiwi na rais bali tume ya uchaguzi, anaahidi yeye kama nani wakati tunajua fika kuwa yeye ndio huwa anaagiza box la kura linajisiwe? Hakuna uwezekano wowote wa ccm kushinda hata kama itashinda kwa zaidi ya 60%. Na hata hizo 60% ccm itafikisha kwa sababu tume sio huru, na kila taasisi ya nchi hii inadhani ina wajibu wa kuibeba ccm itangazwe washindi fullstop.
nawaona viti maalum
Jana tuliambiwa jiji la Dodoma litatikiswa hatari, mara wanafunzi wa UD, CBE kumbe ilikuwa propaganda utopolo.
Kwahio tususie uchaguzi??
Awajaenda ata na Mnyika wangenyimwa form sijui wangesemaje ndio wajue hakuna mtu mwenye shida ya kuwazuia haki yao demokrasia.
Vyama vingine vyote vimetii utaratibu uliowekwa wa kwenda na makatibu wao wa vyama isipokuwa CDM tu, hawa watu inabidi wabadilike wafuate vitabu kama wengine na kuacha kujiona wao ni special breed.
Lingetokea la kutokea huko wangeanza kulalama.
Wewe ndio umeutendea haki huu uzi (kinachoendelea Dodoma)..., sisi wengine humu ni porojo tu....
Ili nalo nenoAwajaenda ata na Mnyika wangenyimwa form sijui wangesemaje ndio wajue hakuna mtu mwenye shida ya kuwazuia haki yao demokrasia.
Vyama vingine vyote vimetii utaratibu uliowekwa wa kwenda na makatibu wao wa vyama isipokuwa CDM tu, hawa watu inabidi wabadilike wafuate vitabu kama wengine na kuacha kujiona wao ni special breed.
Lingetokea la kutokea huko wangeanza kulalama.
Mbona wao wanaita wenzao shithole au manyani na hulalamiki au ndio kunya anye kuku.....Ni ajabu sana kwamba unaweza kumtaja Mwenyenzi Mungu na kuwaita MABEBERU (kwa herufi kubwa) watu ambao wameumbwa kwa sura na mfano wa huyo Mwenyenzi Mungu!! Watu hao unaowaita MABEBERU wanachangia asilimia kubwa ya budget yetu ya kuendesha serikali na miradi ya maendeleo, na siku hizi wakitua KIA, mawaziri wanatupa takwimu!!😂 lakini kuweza kumtaja Mungu na kuita wanadamu wenzako MABEBERU, Wewe ni genious!!😂
Nami nashangaa.. labda maripota wamepigwa pini kwa maelekezo toka juuJamani mbona hakuna update ya uchukuaji wa fomu? kulikoni?
TushindeUnatakaje labda?
Kwani 2015 walishinda? Tatizo ni kutangazwaMwaka huu CCM hawashindi. Tutafanya kampeni ya kufa na kupona kuwaelimisha wananchi kuwa CCM haifai na tutawaeleza vizuri wachague Chama sahihi na chenye Sera sahihi na watu sahihi Chadema ili waweze pata maendeleo ya kweli.
We ndio mbutika kweli hivi ata umeangalia vyama vingine walivyochukua form?Lingetokea nini wewe,nyie ndiyo wanga.
Naona vima yanagonga pichu.
Go Lissu...Go Lissu..
Mkuu October uwe mvumilivuMkuu katika vitu Magufuli amefanikiwa ndani ya hii miaka mitano, ni kutengeneza wanafiki, waoga na wajinga wengi. Na yote haya ni kwasababu anajenga reli na bwawa la umeme.
Mkuu zitasheheni nyuzi za kuibiwa kura humu...Mkuu October uwe mvumilivu
By the way leo ni public holiday so wengi walijua nec hawatafungua ofisiUlitaka wawe wengi ili mseme ni maandamano muwapige mabomu? Mlikolalia ndiyo tulikoamkia.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app