Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha propaganda yaani leo mmeoga aibu ya kufunga mwaka nimeona masafara akiwa kwenye gari la wazi hakuna mtu mwenye muda naye yaani watu wako busy nashuguli zao tofauti na tulivyoaminishwa Jana kwa Jiji la Dodoma linaenda kutikiswa.Niko area D watu wabugujika machozi ya furaha kwa kutaka kumuona Mh, Lissu ..aaah Magufuli yuko ICU hawezi kutoboa hata mshindi wa tatu hataingia ,nadhani hii coalition yake na Tlp ndo itamsaidia kuingia top 5
Tena tunaenda kumpa kichapo cha Mbwa mwizi.Ni yeye lazima tumpe kichapo kitakatifu jiwe.
Huu uongo bado haukupi farijiko la moyo tafuta mwingine.Mkuu acha propaganda yaani leo mmeoga aibu ya kufunga mwaka nimeona masafara akiwa kwenye gari la wazi hakuna mtu mwenye muda naye yaani watu wako busy nashuguli zao tofauti na tulivyoaminishwa Jana kwa Jiji la Dodoma linaenda kutikiswa.
Chadema ya mitandaoni.
Kuna tatizo mahali...mitandaoni cdm kinatoa mwanga na matumaini ya ushindi.Chadema ya mitandaoni.
Mbowe alipima upepo akaamua kumuachia aibu hilo Lissu.Chadema wana hali mbaya awamu hii CCM itaibuka na ushindi mkubwa mno tofouti na matarajio ya wengi maana kila kitu kipo wazi..
Ushindi ni mweupe kwa CCM
Mkuu hata mimi nimeona mpaka nikashangaa kwamba huku ni kuzizima ama kuzima.Mkuu acha propaganda yaani leo mmeoga aibu ya kufunga mwaka nimeona masafara akiwa kwenye gari la wazi hakuna mtu mwenye muda naye yaani watu wako busy nashuguli zao tofauti na tulivyoaminishwa Jana kwa Jiji la Dodoma linaenda kutikiswa.
Mbowe alipima upepo akaamua kumuachia aibu hilo lisu.
Lisu pia anafahamu hilo ila anatengeneza CV tu.
Chadema itaambulia aibu kwa maeneo mengi sana.
Dodoma imernfimaaaaaaaaMambo ya hovyo sana
Kwa kweli hilo la kupanga miji, linanishangaza kila nikimwona Lukuvi na kiki za kukesha ofsini akishughulikia kesi za ardhi, lakini anashindwa kuweka mipango bora ya upimaji makazi katika halimashauri zetu. Hapo ndo nachoka kabisa kuwa bongo hii haina planners ila inaendeshwa bora liende. Tunasubiri hadi wahisani watufadhili kuboresha miji na majiji yetu.Ni shida ndugu yangu. Chini ya CCM hakuna tuliloweza kuliendesha kwa ufanisi. Kupanga makazi yetu tu na miji yetu imekuwa shida kila sehemu mitaa ya hovyo na uchafu tu. Chama kilichoshindwa hata kusimamia tu watu wajenge kwa ustaarabu na miji yetu na makazi yetu yapendeze leo hii wanasema eti wao tu ndo wanaweza kuongoza hii nchi. Ni aibu sana.
Nimejifunza kitu kuwa nikiona mtu anashabikia CCM basi uwa ninatia mashaka sana uelewa wake wa mambo
Yaani logically tuChadema wana hali mbaya awamu hii CCM itaibuka na ushindi mkubwa mno tofouti na matarajio ya wengi maana kila kitu kipo wazi..
Ushindi ni mweupe kwa CCM
Kwanza alivaa barakoa?Licha kwamba Leo ni siku ya mapumziko, mapokezi menyewe ndio hayo??
Somo la kuinanga nchi Yetu na kuisema vibaya huko ughaibuni, Litamwelimisha yeye mkufunzi!
Ndoa nyingi huvunjika Kwa sababu ya wanandoa kutangaziana udhaifu Wao nje, mmoja akisikia Tu, ndoa kwaheri
Tutaanzaje Sisi Watanzania kumpa Uraisi mtu aliye tutangaza vibaya huko nje, na juzi tu kule Kenya kasema uwongo juu Yetu?
Jamani, Watanzania Sisi ni wa bei ya juuu Kwa sasa, hata Beberu anajua
Siyo suala la kuahidi, uchaguzi unapaswa kuwa wa huru na haki. Maana hii siyo hisani ya Rais hadi mpaka aahidi.Mkipata mbunge hata mmoja, mutakua mumejitahidi sana. Mhe rais Magufuli ameahidi uchaguzi kua huru na haki ili mkose kichaka cha kufichia aibu itakayowapata.