Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Uchaguzi hausimamiwi na rais bali tume ya uchaguzi, anaahidi yeye kama nani wakati tunajua fika kuwa yeye ndio huwa anaagiza box la kura linajisiwe? Hakuna uwezekano wowote wa ccm kushinda hata kama itashinda kwa zaidi ya 60%. Na hata hizo 60% ccm itafikisha kwa sababu tume sio huru, na kila taasisi ya nchi hii inadhani ina wajibu wa kuibeba ccm itangazwe washindi fullstop.
Kwahio tususie uchaguzi??
 
Mataga vichwa vinauma Muujiza unaotembea Ni yeye kuchukua form!! Mataga walijua atanyimwa hahahaaa sasa Mataga wanawaza jina litatenguliwa kisha atapitishwa tena mataga watawaza hatoshinda and then what?? Mwamba anampa za usoJIWE oct 2020.
 
Awajaenda ata na Mnyika wangenyimwa form sijui wangesemaje ndio wajue hakuna mtu mwenye shida ya kuwazuia haki yao demokrasia.

Vyama vingine vyote vimetii utaratibu uliowekwa wa kwenda na makatibu wao wa vyama isipokuwa CDM tu, hawa watu inabidi wabadilike wafuate vitabu kama wengine na kuacha kujiona wao ni special breed.

Lingetokea la kutokea huko wangeanza kulalama.

Lingetokea nini wewe,nyie ndiyo wanga.

Naona vima yanagonga pichu.

Go Lissu...Go Lissu..
 
Awajaenda ata na Mnyika wangenyimwa form sijui wangesemaje ndio wajue hakuna mtu mwenye shida ya kuwazuia haki yao demokrasia.

Vyama vingine vyote vimetii utaratibu uliowekwa wa kwenda na makatibu wao wa vyama isipokuwa CDM tu, hawa watu inabidi wabadilike wafuate vitabu kama wengine na kuacha kujiona wao ni special breed.

Lingetokea la kutokea huko wangeanza kulalama.
Ili nalo neno

SUBIRI KIDOGO
 
Ni ajabu sana kwamba unaweza kumtaja Mwenyenzi Mungu na kuwaita MABEBERU (kwa herufi kubwa) watu ambao wameumbwa kwa sura na mfano wa huyo Mwenyenzi Mungu!! Watu hao unaowaita MABEBERU wanachangia asilimia kubwa ya budget yetu ya kuendesha serikali na miradi ya maendeleo, na siku hizi wakitua KIA, mawaziri wanatupa takwimu!!😂 lakini kuweza kumtaja Mungu na kuita wanadamu wenzako MABEBERU, Wewe ni genious!!😂
Mbona wao wanaita wenzao shithole au manyani na hulalamiki au ndio kunya anye kuku.....
 
Mwaka huu CCM hawashindi. Tutafanya kampeni ya kufa na kupona kuwaelimisha wananchi kuwa CCM haifai na tutawaeleza vizuri wachague Chama sahihi na chenye Sera sahihi na watu sahihi Chadema ili waweze pata maendeleo ya kweli.
Kwani 2015 walishinda? Tatizo ni kutangazwa
 
Lingetokea nini wewe,nyie ndiyo wanga.

Naona vima yanagonga pichu.

Go Lissu...Go Lissu..
We ndio mbutika kweli hivi ata umeangalia vyama vingine walivyochukua form?

Wote makatibu zao walikuwa wanapewa hati wanairudisha meza kuu na kuwatambulisha wagombea zao wanasimama kwenda kuchukua form; kuanzia CCM mpaka UDP.

Yaani kuna rituals kadhaa imebidi zisifuatwe kukosekana kwa katibu wa CDM ili tu watoke umo ndani. Hizi tabia za kujifanya wajuaji ndio zinawaleteaga shida.

Wameshaambiwa wanapewa siku tatu za kusaidiwa kabla ya kurudisha rasmi form NEC wanaweza kwenda kuonyesha form zao kama kuna mapungufu yoyote ya ujazaji waambiwe mapema kasoro zilipo, wakarekebishe ndio warudishe hakuna lengo la kuzuia mtu kisa makosa ya kujaza form.

Bado tu Tundu Lissu hana imani anataka afungue mkarabasha kuakiki kama kila kitu kimo na kupotezea watu muda hiki chama sijui kina matatizo gani. Kuwa mfuasi wa CDM lazima kuna kitu wafuasi wake wanatumia sio bure wao ghasia tu.
 
Mkuu katika vitu Magufuli amefanikiwa ndani ya hii miaka mitano, ni kutengeneza wanafiki, waoga na wajinga wengi. Na yote haya ni kwasababu anajenga reli na bwawa la umeme.
Mkuu October uwe mvumilivu
 
Shabbash jamaa upande ule anaharisha yale mavi membamba membamba
 
Back
Top Bottom