Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Jamaa ukianika hila zao wanakuwa wapole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serufika na TunduTupo njiani kumlaki Ni YEYE YULE View attachment 1530554
Mambo ya hovyo sanaMkuu katika vitu Magufuli amefanikiwa ndani ya hii miaka mitano, ni kutengeneza wanafiki, waoga na wajinga wengi. Na yote haya ni kwasababu anajenga reli na bwawa la umeme.
Na bado Cyprian Musiba anatamba kuwa atamfanyiziaMungu amlinde Tundu Lissu maana hata Sasa hamna hata mtu mmoja aliyekamatwa kwa shambulio la TL
Tuliza kishundu sindano isijekukatikia ndaniJidanganyeni tu magwanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko area D watu wabugujika machozi ya furaha kwa kutaka kumuona Mh, Lissu ..aaah Magufuli yuko ICU hawezi kutoboa hata mshindi wa tatu hataingia ,nadhani hii coalition yake na Tlp ndo itamsaidia kuingia top 5
Hii imekaa vizuri sana sanaHivi kuna mtu mwenye akili timamu atampigia kura mgombea wa CCM?
CCM inawadanganya Watanzania kuwa ndani ya miaka 4-5 wamejenga viwanda 8477 , viwanda vingi kuliko vile vya Japan vilivyojengwa kwa miaka 100. Very stupid.
Ajira za kwenye miradi mikubwa tu ni zaidi ya milioni 6.
Utawapaje kura watu waongo, wanafiki na wazandiki kiasi hiki.
Ajira zingekuwa nyingi hivi nisingeona classmates wangu wengi wakilishwa na mama zao.
Musiba ni kiongozi wa mapopoma usimjali sana.Na bado Cyprian Musiba anatamba kuwa atamfanyizia
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kuna mtindo unaweza kutokea wa kuficha fomu moja kutoka katika begi la fomu ya urais, hakikisha mnakagua kila fomu iliyomo na msisain kitu ambacho hakimo.
Hii itawasaidia wakati wa kurejesha fomu hiyo, ikumbukwe kama kutakuwa na fomu ina-MISS, fomu yenu ya urais haitapokelewa na mtakuwa mmejiondoa katika kinyang'anyiro cha uraisi.
#TANZANIA YA WATANZANIA, VITU BAADAE!
Muoneeni mwenzenu huruma mfupa usije ukashindikana kuunga.Tupo njiani kumlaki Ni YEYE YULE View attachment 1530554
Zero kabisa!Jidanganyeni tu magwanda
Mkuu hukumbuki 2015 alituhakikishia nini kimetokea jukwaani?Alifanyaje uyo mwana
Kwa kuwa wewe ushazoea kudanganywa unazaa zaa hovyo hapo ushwahilini kwenu pumbavu kabisa wewe.Jidanganyeni tu magwanda
Fursa tayariTupo njiani kumlaki Ni YEYE YULE View attachment 1530554