Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Jamaa ukianika hila zao wanakuwa wapole
IMG_20200808_083637_084.JPG
 
Niko area D watu wabugujika machozi ya furaha kwa kutaka kumuona Mh, Lissu ..aaah Magufuli yuko ICU hawezi kutoboa hata mshindi wa tatu hataingia ,nadhani hii coalition yake na Tlp ndo itamsaidia kuingia top 5
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu atampigia kura mgombea wa CCM?
CCM inawadanganya Watanzania kuwa ndani ya miaka 4-5 wamejenga viwanda 8477 , viwanda vingi kuliko vile vya Japan vilivyojengwa kwa miaka 100. Very stupid.
Ajira za kwenye miradi mikubwa tu ni zaidi ya milioni 6.
Utawapaje kura watu waongo, wanafiki na wazandiki kiasi hiki.
Ajira zingekuwa nyingi hivi nisingeona classmates wangu wengi wakilishwa na mama zao.
Hii imekaa vizuri sana sana
 
Kuna mtindo unaweza kutokea wa kuficha fomu moja kutoka katika begi la fomu ya urais, hakikisha mnakagua kila fomu iliyomo na msisain kitu ambacho hakimo.

Hii itawasaidia wakati wa kurejesha fomu hiyo, ikumbukwe kama kutakuwa na fomu ina-MISS, fomu yenu ya urais haitapokelewa na mtakuwa mmejiondoa katika kinyang'anyiro cha uraisi.

#TANZANIA YA WATANZANIA, VITU BAADAE!

Good warning...

Chini ya hawa mabwana, lolote laweza kutokea...
 
Tunataka tuone social distance [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na mask chadema bana
 
Back
Top Bottom