Ha ha umati uliouona leo umekutia wazimu msafara urefu wake umekutia uchizi poleni mwambbie chato boy mwaka huu sio push up atakula vumbiHakuna kitu
Si ndo mliwaalika watunwaende kwa wingi kumsindikiza lissu hao ndo waliojitokeza bakini tu humu mitandaoni kujiaminisha mnakubalika ilakule nje kweupe sana
Tunamuelewa JPM na tutaendelea kuwa nae tena
Sisi huku Zanzibar tulishayazowa hayo ,kwani huzimiwa umeme tukatafutana. CCM ndio sera zao hizoNdio sera ya uchaguzi hiyo itakayo mtoa Magufuli madarakani kwa kupambana na media.
Wiki iliyoisha ilikuwa ITV leo ni Azam na Ayo Tv, nawatakua uchaguzi mwema.
Watu wakisema ni chama cha kutafuta sympathy sio wanazusha ndio ukweli wenyewe.
Umati gani ule mkuu mm mwenyewe nikinyanyua wana hapa kitaa nazidi umati wake acheni kumpaisha bwana,,, hata 30 wale hawafiki then mnakuja kutuambia ni umatiHa ha umati uliouona leo umekutia wazimu msafara urefu wake umekutia uchizi poleni mwambbie chato boy mwaka huu sio push up atakula vumbi
Kwa ivyo somo mnalijua wananchi awataki kusikia mambo ya kuzimiwa umeme sijui sauti.Sisi huku Zanzibar tulishayazowa hayo ,kwani huzimiwa umeme tukatafutana. CCM ndio sera zao hizo
Penye ukweli uongo hujitengaHapo vip!!
Leo nimeangalia msafara wa Lissu wakati anaenda kuchukua form na wakati anarudi, kwa kweli msafara wake ulikuwa kama msafara wa kugombea uenyekiti wa mtaa.
Kutokana na idadi ndogo ya watu walionekana kwenye msafara huu, ni ishara kuwa watanzania wameichoka Chadema, na wameshapoteza matumaini kama chama mbadala ya kushika dola ya nchi.
Pia ni wazi sasa watanzania wamejidhibitishia yakwamba chadema ni SACCOS na sio chama cha siasa.
Ule umati uliompokea Lissu kipindi kile akirejea nchi, haimaanisha wamempokea kwa lengo la kuumunga mkona katika harakati ya kugombea urais.. ule umati ulikuwa na watu wengi waliotaka kumuona tu Lissu kama kweli yupo hai au yalikuwa ni mambo ya siasa, pili kuna watu walienda kumpokea kwasababu ya haruma tu.. baada ya kunusurika kifo, jambo ambalo ni zuri ila watu hawa haimaanisha ndio waponyumba ya Lissu katika harakati yake ya kugombea Urais.
Kwa ivyo somo mnalijua wananchi awataki kusikia mambo ya kuzimiwa umeme sijui sauti.
Ila kwenu ile idadi ya watu wa sendoff ni umati mkubwa.Ha ha umati uliouona leo umekutia wazimu msafara urefu wake umekutia uchizi poleni mwambbie chato boy mwaka huu sio push up atakula vumbi
Zaidi ya watu bilion 1 duniani wamefuatilia mitandaoni uchukuaji wa fomu wa Lissu.
Shuhudia mwenyewe hapo
Mnatapatapa kama kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwaHapo vip!!
Leo nimeangalia msafara wa Lissu wakati anaenda kuchukua form na wakati anarudi, kwa kweli msafara wake ulikuwa kama msafara wa kugombea uenyekiti wa mtaa.
Kutokana na idadi ndogo ya watu walionekana kwenye msafara huu, ni ishara kuwa watanzania wameichoka Chadema, na wameshapoteza matumaini kama chama mbadala ya kushika dola ya nchi.
Pia ni wazi sasa watanzania wamejidhibitishia yakwamba chadema ni SACCOS na sio chama cha siasa.
Ule umati uliompokea Lissu kipindi kile akirejea nchi, haimaanisha wamempokea kwa lengo la kuumunga mkona katika harakati ya kugombea urais.. ule umati ulikuwa na watu wengi waliotaka kumuona tu Lissu kama kweli yupo hai au yalikuwa ni mambo ya siasa, pili kuna watu walienda kumpokea kwasababu ya haruma tu.. baada ya kunusurika kifo, jambo ambalo ni zuri ila watu hawa haimaanisha ndio waponyumba ya Lissu katika harakati yake ya kugombea Urais.
Sasa wewe gamba inakuhusu nini? Tazama followers wa Lissu na Jiwe ndiyo utakapo zimia kabisa hapo lumumbaHapo vip!!
Leo nimeangalia msafara wa Lissu wakati anaenda kuchukua form na wakati anarudi, kwa kweli msafara wake ulikuwa kama msafara wa kugombea uenyekiti wa mtaa.
Kutokana na idadi ndogo ya watu walionekana kwenye msafara huu, ni ishara kuwa watanzania wameichoka Chadema, na wameshapoteza matumaini kama chama mbadala ya kushika dola ya nchi.
Pia ni wazi sasa watanzania wamejidhibitishia yakwamba chadema ni SACCOS na sio chama cha siasa.
Ule umati uliompokea Lissu kipindi kile akirejea nchi, haimaanisha wamempokea kwa lengo la kuumunga mkona katika harakati ya kugombea urais.. ule umati ulikuwa na watu wengi waliotaka kumuona tu Lissu kama kweli yupo hai au yalikuwa ni mambo ya siasa, pili kuna watu walienda kumpokea kwasababu ya haruma tu.. baada ya kunusurika kifo, jambo ambalo ni zuri ila watu hawa haimaanisha ndio waponyumba ya Lissu katika harakati yake ya kugombea Urais.
Zaidi ya watu bilion 1 duniani wamefuatilia mitandaoni uchukuaji wa fomu wa Lissu
Walio mtazama au kumfuatilia mh Lissu leo kwenye vyombi mbali mbali wamewastua sana maccm ukimlinganisha na jiwe ambaye alipata watazamaji idadi ya namba za viatuHela za misafara hawana wahurumie tu
Kitu ambacho hujajua mkuu ni kwamba inatengenezwa mitego ya kila namna ya kuvuta macho na masikio ya watu kwa makusudi.Awajaenda ata na Mnyika wangenyimwa form sijui wangesemaje ndio wajue hakuna mtu mwenye shida ya kuwazuia haki yao demokrasia.
Vyama vingine vyote vimetii utaratibu uliowekwa wa kwenda na makatibu wao wa vyama isipokuwa CDM tu, hawa watu inabidi wabadilike wafuate vitabu kama wengine na kuacha kujiona wao ni special breed.
Lingetokea la kutokea huko wangeanza kulalama.
Wamesha sanda tayari wakati moto wenyewe haujawashwaMwaka huu mtaongelea lugha zote zikiwemo ziliko katika sayari nyingine!
Kwao kikubwa ni buku 7 tuLumumumba Buku 7 at work
Wana tweeta tu dadeeekiMtaweweseka sana, amewashika pabaya!