chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Leta chanzo hapa sio sehemu ya udaku. Kumbuka hii haitasaidia October 28Maraisi wengi wa Africa hasa ukanda wa SADC wamesikika wakisema wangependa kujumuika na raisi mpya wa Tz mh.TAL, kwani huyu anayemaliza muda wake hawana mahusiano mazuri naye
Cyprian Musiba na Le mutuz wakiona hii roho zinawauma mpaka wanatamani kunywa sumu wafeHii ndio taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa , Kwamba mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA Mh Tundu Lissu , mtu aliyefufuliwa na Mungu kutoka katika wafu baada ya kutandikwa bila huruma risasi zaidi ya 38 na wanaoitwa watu wasiojulikana , amefuatiliwa na zaidi ya watu Bilion 1 kwenye mitandao ya kijamii duniani kote wakati akichukua rasmi fomu za kugombea Urais .
Taarifa za wadau wa siasa za bara la Africa zinadokeza kwamba hii inaweza kuwa ni idadi kubwa mno ya wafuatiliaji wa mambo ya kisiasa na yaweza kuvunja rekodi ya bara la Africa .
Asante sana chuma cha mjerumaniila tulikuwa tunajua ajira kwa wadogo zetu zilitolewa, mil 50 kila Kijiji zilitolewa, mishahara na madaraja kwa wafanyakazi viliongezeka, wakulima wakorosho walisaidiwa vyema na serekali, vyombo vya habari vimekuwa huru Sana awamu hii, ata watekaji wauaji awamu hii imepambana nao Sana. JPM BABA LAO
Zambia mbali mnoo,humuhumu tanzania kuna watuhawajui ata ni nini kinachoendelea mpaka sasa.Nadhani kuna wakati wanapenda kuchangamsha jukwaa.
Maana kwa uhakika wanaujua ukweli ndani ya mioyo yao.
Hapo Zambia tu kuna watu lukuki hawajui kinachoendelea kwenye nchi ya Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, nasubiri baada ya tarehe 28 october.Hii ndio taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa , Kwamba mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA Mh Tundu Lissu , mtu aliyefufuliwa na Mungu kutoka katika wafu baada ya kutandikwa bila huruma risasi zaidi ya 38 na wanaoitwa watu wasiojulikana , amefuatiliwa na zaidi ya watu Bilion 1 kwenye mitandao ya kijamii duniani kote wakati akichukua rasmi fomu za kugombea Urais .
Taarifa za wadau wa siasa za bara la Africa zinadokeza kwamba hii inaweza kuwa ni idadi kubwa mno ya wafuatiliaji wa mambo ya kisiasa na yaweza kuvunja rekodi ya bara la Africa .
Mitambo ya Internet ililemewa. Walipochunguza wakaona ni hiyo habari ndiyo iliyo mitamboni ndiyo sababu!!!Marehemu Ruge alisema ogopa Mungu na technology...tena ni billion na kadhaa
Mungu atawaduwaza wachakachuaji wezi wa kura wa CCM watasahaui kuiba kura, ya Malawi Congo zambia Ghana kenya Gambia yanaenda kutokea TanzaniaMazingira ya kupiga, kuhesabu na kutangaza kura hasa za urais yapo vilevile na probably yameharibika zaidi ya mwaka 2015. Hizo “views” kama ni kweli zisiwapumbaze na mkaanza kujitangazia ushindi.
As long as kura za uraisi zinatumwa kwa NEC na wao wanazichakata, tutakutana hapa early November na story tofauti kabisa. Simuoni Jiwe na maafisa wake wa TISS ndani ya koti la NEC wakiachia kile kiti kindezi
Kama anaweza, Lissu na team yake wanapaswa kuanza kuweka mikakati ya kuhakikisha kura atakazopata kwenye kila kituo cha kupigia kura zinatangazwa kama zilivyo. Muda wa kulialia jukwaani kwamba alipigwa risasi umeshapita. Ni kazi tu na mikakati sasa
Mwaka huu hawana uchaguzi wa kuiba lazima wamtangazeJamaa anafaa sana sema hatuna tume huru ya uchaguzi
Rudia tena hoja zako hazina mashikoLissu ni sauti kwa walio fungwa midomo, Lissu ni nuru kwa walio gizani, Lissu ni masikio kwa walio viziwi na lissu ni sauti kwa wasio na masikio.
Hatukujua kuwa kumbe hata mtera, bwawa la nyumba ya Mungu ni miradi iliyo jengwa na serikali,hatukujua kuwa hata ndege kumbe zilisha nunuliwa na serikali, kumbe hata meli na vivuko vilikuwepo tuuu[emoji23][emoji23][emoji23].
Mwenyezi Mungu tunazidi kukuomba umzidishie huyu kiumbe wako uliye mleta hapa duniani kututoa gizani. View attachment 1531832
Asa mkuu kwa akili yako unamchukulia serious ilo vuvuzela la Ufipa. Hao ni washereheshaji tu kazi yao kubwa ni kukata mauno na kuzungusha mikoni .We jamaa muongo balaa, unajua watu bilioni moja wewe?
Aha wapiMwaka huu hawana uchaguzi wa kuiba lazima wamtangaze
Mkuu subiri utaonaAha wapi
NdotoMkuu subiri utaona