Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Aisee nieamini makamanda wa hapa JF ni bendera fuata upepo, hakuna hata mmoja mwanachama halisi wa Chadema, pereree tu

Mpaka sasa jamaa ameshachukua fomu hakuna hata picha moja

Chadema ni mitandaoni tu, tena kwa watu wachache wenye ID's nyingi
Mwaka huu lazima roho ziwatoke
 
You have nailed it. Yaan kila mtu ni mpiga mskofi hakuna mwenye uthubutu wa kuhoji as if wao ndio waajiri wetu.
Inashangaza sana unampa mtu kura akuongoze afu anaanza kukutisha
CCM inamtaji wa wajinga wengi sana.
 
Kabla ya ku comment huu upuuzi wako hapa labda nikuulize uliisoma vizuri na kuielewa comment yangu??? Au umekurupuka tu kuja kujibu baada ya kupewa hela za bundle na Polepole na Gwajima???
 
Aisee nieamini makamanda wa hapa JF ni bendera fuata upepo, hakuna hata mmoja mwanachama halisi wa Chadema, pereree tu

Mpaka sasa jamaa ameshachukua fomu hakuna hata picha moja

Chadema ni mitandaoni tu, tena kwa watu wachache wenye ID's nyingi
picha za nini unazozitaka?
 
Naona umeedit maana ulikuwa umeandika Bernard Membe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…